GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
We nuna tuu mama.Nina katabia ka kununa siku mbili Tatu ni kwamba hakafai huko ndoani [emoji3][emoji3]
Tena kwa mie ambaye kuna muda ninakuwa sitaki maongezi na kuchekeana.
Hii inakuwa poa.
Muhimu mwisho wa siku utoe ushirikiano.