Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ukomeh hivo hivo 😂🤐 nimekoma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukomeh hivo hivo 😂🤐 nimekoma!
I second you...Don't panic
Sasa hivi inatakiwa uanze kutumia akiliWakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Nilikua natumbua macho nasubiri hii Comment tu 🤣Sasa hivi inatakiwa uanze kutumia akili
Yeah ni kweli Mkuu, hawa wengine inaweza kuwa kutwanga Maji kwenye kinu 🙌Inafanya kazi tu kwa mwanamke anayejitambua.
Umeoa ushindwe nunua gari, basi we kiazi mviringo.
Kama babake ni m'mbulu mama ake muhaya, hakuna formula itakayo kusaidia hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hiko kitu anapenda! Anataka matatzo yake yote yawe yangu
Aah we
mi sina hata gari
Huna muke ww
nishajifunza saizi nataka live experience kutoka kwa walio oa!!Ilitakiwa ujifunze kabla hujaingia kwenye ndoa
Work hard to hear your wife's heart and meet her needsnishajifunza saizi nataka live experience kutoka kwa walio oa!!
Wewe Lucha bado muhuni huwezi jua haya
Like your mom or your wife?Utakuja kunielewa mbele ya safari. Great wives are house wives.
My mom was a teacher, she has already retired. My pop used to tell me kwamba either mkeo awe homewife au kama ni kazi basi awe nurse au primary school teacher. Gladly, mine nilimuachisha kazi wakati ndoa yetu ikiwa changa. She resisted sana ila it was for greater good. Saivi alhamdulilah kanawili sio kama wenzake ambao bado wako kazini.Like your mom or your wife?
Siku moja moja unampakia mkongo , kumpoteza maboya. (It's a sex decoy)Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Alooo!!Andika urithi
Asijue kipato chako
Usilete ndugu kwako waishi
Asijue ratiba yako
Usiache kumpa zawad
Msifie kila siku
Mwpe hela
Mtoe out
Usile housegirl
Nunua magari mawili
Usimtafutie kazi
Mlipe mshahara
Kila siku acha hela mezani...