Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Sasa hivi inatakiwa uanze kutumia akili
 
Like your mom or your wife?
My mom was a teacher, she has already retired. My pop used to tell me kwamba either mkeo awe homewife au kama ni kazi basi awe nurse au primary school teacher. Gladly, mine nilimuachisha kazi wakati ndoa yetu ikiwa changa. She resisted sana ila it was for greater good. Saivi alhamdulilah kanawili sio kama wenzake ambao bado wako kazini.
 
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Siku moja moja unampakia mkongo , kumpoteza maboya. (It's a sex decoy)
 
Back
Top Bottom