Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

1. Kila siku kabla ya kulala muwe na Ibada ya familia Kwa Mungu wenu.
2.usiruhusu mke wako ajiunge vikoba.
3.usiruhusu mke wako akuzidi pesa..kama anafanya kazi yenye kipato kikubwa kuliko wewe mfanyie sabotage ya maana ashushwe cheo au afukuzww..na kama ana biashara kubwa kukuzidi akupe umiliki kama hataki mhujumu mpaka afilisike awe mama wa nyumban.
 
Zawadi ni kitu muhimu sana kwenye maisha ya Ndoa.

Ukikosa zawadi ya laki 1 mpelekee hata Ice cream ya Barhessa.

Huwa inasaidia sana kumfanya mwenza wako kuwa na furaha
Luca Graham-- 7 years
Once i was 11 years old, my daddy told me.
Go and get yourself a wife, or you'll be lonely
jina lako inanikumbushaga sana huo wimbo wa huyo luca
 
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Hebu tumuone huyo mke tukushauri kulingana na mwonekano wake
 
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Rule namba moja: MKE HAPIGWI

Rule namba benga: MKE SIYO PUNCHING BAG

Rule ya mwanaTatu: MKE HAZABULIWI
 
Back
Top Bottom