Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Zawadi ni uchawi tosha kwenye mahusiano.......Gifts are for the ladies 🤗Baaaas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zawadi ni uchawi tosha kwenye mahusiano.......Gifts are for the ladies 🤗Baaaas
Hukutakiwa kuoa muda wako ulikuwa hujafikaWakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Kabisa Kabisa 🥴Zawadi ni uchawi tosha kwenye mahusiano.......Gifts are for the ladies 🤗
🤗🙏Kabisa Kabisa 🥴
Are you serious? Yaani itakuwa unatania hapa! Itakuwaje unaoa ya kujua nini unatakiwa kufanya na kutofanya katika ndoa yako? Kwa hiyo ulioa kwa sababu gani hasa? Kwa nini ukaharakisha kuoa bila ya kujifunza unachotakiwa kufanya katika ndoa?Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Hii asijuie kipato changu alivoking’ang’anizi huyu si atanitoa koromeo na anajua nafanya kaziAndika urithi
Asijue kipato chako
Usilete ndugu kwako waishi
Asijue ratiba yako
Usiache kumpa zawad
Msifie kila siku
Mwpe hela
Mtoe out
Usile housegirl
Nunua magari mawili
Usimtafutie kazi
Mlipe mshahara
Kila siku acha hela mezani...
Hyo 50/50 hapa haitakuepo mkuu utajionea mwenyeweUsikubali 50/50 ndani ya nyumba yako
Mwanaume ndio mwenye kauli ya mwisho
mkuu kama umesoma vizuri nimeandika based on ExperienceAre you serious? Yaani itakuwa unatania hapa! Itakuwaje unaoa ya kujua nini unatakiwa kufanya na kutofanya katika ndoa yako? Kwa hiyo ulioa kwa sababu gani hasa? Kwa nini ukaharakisha kuoa bila ya kujifunza unachotakiwa kufanya katika ndoa?
ohooooMuheshimu, mpende, mjali, mskilize ssana. Muombee sanaa
Na tangu uchumba anaing’ang’ania Yaan sijui nimkatishaje tamaa ndo ndoto yakeAsishike sim yako
Man downKataa Ndoa Linda uchumi wako
Kuwa makini tu na yaliyotokea Igurusi usiku wa kuamkia leoWakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Kwa hiyo Babu unatumia sana hiyo "mbwinu eeh".Hii husaidia sana kumaliza migogoro ndani ya Ndoa.........
mmmh hapa kuna vingine vina utata!Hakikisha anadeki nyumba yote, anafua nguo zote mpaka na mazulia, afagie uwa na kukata nyasi, apike Milo yote mitatu, afute mabuibui na kusafisha vioo, alime mboga mboga, amuoshe mbwa na kumpikia mbwa, asisuke Bali uwe unamnyoa na wembe, asiende sokoni Bali uwe unamletea kila kitu.
Mwisho hakikisha ndani ya miaka 3 awe na watoto 3.
Hakikisha hajipaki mafuta zaidi ya mafuta ya kula.
Fanya hivyo mkuu utanishukuru baadae usimwonee mwanamke huruma kwenye majukumu yake yalio kwenye maandiko na kumtaftia msaidizi.
Na kwa nini asishike????Na tangu uchumba anaing’ang’ania Yaan sijui nimkatishaje tamaa ndo ndoto yake
Kwamba akilipiza atakuja kukuambia amelipiza eehNa akilipiza ndoa imeisha
Hii mbinu kusema kweli naitumia sana, maana tangu nimeanza kuitumia miaka 45 iliyopita, imefanya Bibi yenu aendelee kunivumiliaKwa hiyo Babu unatumia sana hiyo "mbwinu eeh".
On a serious note; s'times ni rahisi sana kumfanya mkeo afurahi. Yaani hata Ile umemnunulia ka-muhindi ka kuchoma; tunafurahi kwelikweli. Ile tu mtu amenifikiria, akaamua kuniletea zawadi jamani.
wale jamaa zako wa kataa ndoa sasa sio tena washauri wako, achana nao kabisaa labda ukutane nao tu kazini, ibadani au mazishini 🐒Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
1. Usiwe na muda maalumu wa kurudi home. Mfano leo saa 4 usiku, kesho saa 1 usiku, keshokutwa saa 6 usiku. Siku nyingine hutoki kabisa home.Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.