Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
umeoa?Aisee kumbe JF kuna watu wapo serious hivi!
Nondo kali sana za husia zinashushwa hapa!
Ninasoma comments, wadau tujuane!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeoa?Aisee kumbe JF kuna watu wapo serious hivi!
Nondo kali sana za husia zinashushwa hapa!
Ninasoma comments, wadau tujuane!
Usipochepuka tuu basi mengine yote hayatakuletea shida na mkeo.Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa!
Bas sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa Ningependa kupata Code kutoka kwa mlio oa Vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (DOs and DONT ) kwa mke.
Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Raisi ni mfariji mkuu katika nchi na mume ndiye mfariji mkuu ndani ya nyumba.Na hiko kitu anapenda! Anataka matatzo yake yote yawe yangu
Usimfanyie kitu usichopenda kufanyiwaWakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
"It's the little things that matter the most"Zawadi ni kitu muhimu sana kwenye maisha ya Ndoa.
Ukikosa zawadi ya laki 1 mpelekee hata Ice cream ya Barhessa.
Huwa inasaidia sana kumfanya mwenza wako kuwa na furaha
hakikisha account inasoma 7 digits always yani isikauke.
Olewa sasa nina hamu ya wali wa harusiBaaaas
Bado natafakari sana bro...Mungu anipiganieOlewa sasa nina hamu ya wali wa harusi
Mbona masharti mazito,Andika urithi
Asijue kipato chako
Usilete ndugu kwako waishi
Asijue ratiba yako
Usiache kumpa zawad
Msifie kila siku
Mwpe hela
Mtoe out
Usile housegirl
Nunua magari mawili
Usimtafutie kazi
Mlipe mshahara
Kila siku acha hela mezani...
Na akilipiza ndoa imeishaUsi cheat, na ikitokea ume cheat hakikisha hajui. Na ikitokea amejua hahahahaa atalipiza tu
Hii husaidia sana kumaliza migogoro ndani ya Ndoa........."It's the little things that matter the most"
Mkuu umenipiga kwenye mshono.[emoji23]Kama babake ni m'mbulu mama ake muhaya, hakuna formula itakayo kusaidia hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]