Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa!

Bas sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa Ningependa kupata Code kutoka kwa mlio oa Vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (DOs and DONT ) kwa mke.
Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
ivi imekuwaje serikali au kanisa imekupa cheti cha ndoa wakati hujahitimu??
 
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa!

Bas sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa Ningependa kupata Code kutoka kwa mlio oa Vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (DOs and DONT ) kwa mke.
Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Jaribu kuvaa viatu vyake. (Siyo viatu vya miguuni, bali kuijua hali yake).
 
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa!

Bas sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa Ningependa kupata Code kutoka kwa mlio oa Vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (DOs and DONT ) kwa mke.
Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
tuliooa huwa hatuombi msamaha. we are top in the house. hakuna mtu kukubabaisha
 
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa!

Bas sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa Ningependa kupata Code kutoka kwa mlio oa Vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (DOs and DONT ) kwa mke.
Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Don't force your wife to be yours alone. Mke ni wako na wa wana watakaofika Bei au Kukuzidi Penzi!!!
 
Back
Top Bottom