Nimeshazichoka vurugu za watoto, bora shule zifunguliwe

Nimeshazichoka vurugu za watoto, bora shule zifunguliwe

Kupunguza kero najifanya naumwa ili watulie walau kidogo... Sofa wamevunja, nimewapambia kamti ka krismas kamenyofolewa kote sebule iko Kama karakana
Ukisema ujidai msafi sana kila wakichafua unasafisha, lazima mgongo upinde hapo panadol zitakuwa zinakuhusu kila siku
Ila mie napenda wtt aisee no matter what. Sijui kwa sbb nilikuwa mwalimu 🤣
 
Madogo naona wako kawaida tuu ila hapa wanavyo hadithiwa utadhani ni mazombie
Sisi wakati wetu tulikuwa tuna kwea mpka minazi 😄
Kweli, hawatupati hata robo. Mie nikikaa nikiwaza nilivokua mtundu hatari. Kila siku kesi.
Yaani hawa wtt wangu hamna alonifikia hata nusu ya utundu wangu.
Mie ndio nilikuwa wa kike pekee lkn huo utundu wangu hao kaka zangu hawajawahi kunifikia.
 
Kweli, hawatupati hata robo. Mie nikikaa nikiwaza nilivokua mtundu hatari. Kila siku kesi.
Yaani hawa wtt wangu hamna alonifikia hata nusu ya utundu wangu.
Mie ndio nilikuwa wa kike pekee lkn huo utundu wangu hao kaka zangu hawajawahi kunifikia.
Hawa wazee wa sahv wana lalamika mtt kuchezea remote
Wengine tulikuwa tuna panda juu ya nyumba tuna shuka na bomba za simtank 😄
 
Hii sio chai ni ukweli mtupu watoto raha hivi zile clip za mtoto kachezea kopo la rangi akapaka makochi yote na yeye akaoga rangi unafikiri uongo, mmoja alioga rangi akaenda kumuonyesha mama yake
😂
 

Attachments

  • VID-20230930-WA0010.mp4
    1.1 MB
Walete tuition hapa, likizo ni kusoma namba za kirumi moja hadi mia, hakuna mambo mengi.
 
Wtt ni malaika 😂😂😂
Mmoja alichukua simu ya mama yake smartphone si unajua vyombo hua vinaoshwa na yeye akaibeba akaenda kuiosha saaafi kabisa kwenye kibeseni kisha akamaliza akaiweka kabatini akaenda kumuita mama yake aje aone alivyomuoshea simu yake mama yake alikua amelala alichoenda kukiona alifurahi mwenyewe, watoto raha
 
Watoto wamevurugwa kama wazazi wao basi tafrani🤣🤣🤣
Muheshimiwa rais ikikupendeza shule zifunguliwe March kabisa.
😂
 

Attachments

  • IMG-20230105-WA0021.jpg
    IMG-20230105-WA0021.jpg
    48.7 KB · Views: 1
Mmoja alichukua simu ya mama yake smartphone si unajua vyombo hua vinaoshwa na yeye akaibeba akaenda kuiosha saaafi kabisa kwenye kibeseni kisha akamaliza akaiweka kabatini akaenda kumuita mama yake aje aone alivyomuoshea simu yake mama yake alikua amelala alichoenda kukiona alifurahi mwenyewe, watoto raha
Hasara, na akiwa mdogo ndio hujui hata umfanye nini
 
Back
Top Bottom