Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Nimerud home mida hii, tungi nimekuota wangu mmoja kaanguka na baiskeli kaumia sana😂 Watoto wamekupandisha handasiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimerud home mida hii, tungi nimekuota wangu mmoja kaanguka na baiskeli kaumia sana😂 Watoto wamekupandisha handasiii
13 form two mwakanAna umri gan huyo msumbufu mkuu.
Waende tu kwakwelii mpka sasa buku jero limeenda, Kila nikiweka bando linabebwa, vitu vinajidowload tu , wamekorokochoa yaani nimeboeka vibaya mno.Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Ahahah wao kiboko mimi nilikuta simu yote ina magem ya mpira kila kona nakoenda mpira na bando la mwezi GB 35 nikakuta GB 16 wakati uhi nimejiunga siku tatu nyumaWaende tu kwakwelii mpka sasa buku jero limeenda, Kila nikiweka bando linabebwa, vitu vinajidowload tu , wamekorokochoa yaani nimeboeka vibaya mno.
Utasikia mara ohh, hongera. Mara, nawatamani sana yaani. Mimba ikitungwa ni mimba,ila jiandae na vituko viaivyoisha. Waugue,wale,walie,..... Housegirl anaelea mapacha, sijui alipwe nini aiseHuwa nawashangaa sana wanao-wish kuwa na mapacha humu ndani, ni wasumbufu sana yaani.
Wanafilisi sanaa Hawa madogo hawajui uchumi umeyumba.Ahahah wao kiboko mimi nilikuta simu yote ina magem ya mpira kila kona nakoenda mpira na bando la mwezi GB 35 nikakuta GB 16 wakati uhi nimejiunga siku tatu nyuma
Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Sasa inahusiana vp pia kusema hao waalimu ndo walichagua kufanya hyo kazi?Inahusiana nini?
Zamani watu wanaanza shule,wakiwa na miaka 7 kuendelea. Sasa hivi,mtoto wa mwaka na nusu eti anafundishwa madudu mbali mbali. Naonaga tu ni wazazi kukimbia majukumu,na wengine kutapeli watu;mwalimu aliesomea,hata akimpokea atakupa ukweli. Kuna umri watoto si wa kupelekwa shule. Af watu wanajiuliza ohhh, mbona wanasoma bado wadogo,shule nzuri,ada ndefu,af wanatoka hawana kitu kichwani. Mtoto amehalibiwa na wazazi. Sasa na huyu anaesema bora waende shule, natamani hii post angeisoma mke wake na ashuke na nondo tuone. Yeye siku tu keshachoka. Mama yao je?Shida mnaachia shule iwalelee watoto. Onaona hata hujui pa kuanzia unamsukuma dogo shule.
Mkuu acha uongo... Hii chaiiWamevunjavunja flat TV ya laki 9 na Redio ya laki 8 watoto raha kuna mmoja alidondosha kabati la laki 8 akavunja vyombo vyote
Watoto ni baraka na ni uhai na ni furaha! Kuna wengine hawana hata wa kusingiziwa na wanatamani mno kuitwa wazaziðŸ˜Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Halafu wengi wao wamekaa kisharishari na kiugomvugomvi. Hawana cha mkubwamkubwa wala mdogomdogo. Wanachokozana, wanajibizana, wanapigana, wanalizana. Kutwa kucha kazi ni kuamua kesi zao tu. Kwa kweli januari sio mbali warudi zao shuleni tu. Yaani inafika mahali hadi kuwaacha pekeyao uende kazini unaogopa unahisi lazima kitanuka tuKuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Mbona wakibamizwa shuleni mnapiga kelele?Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
😂😂Kupunguza kero najifanya naumwa ili watulie walau kidogo... Sofa wamevunja, nimewapambia kamti ka krismas kamenyofolewa kote sebule iko Kama karakana