Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa nao ni maTICHER ama ticha konde?
Wakwangu huwa haharibu vitu, wee anajua mziki wake, atapata adhabu hata ya kufagia uwanja. Si endekezaji mtoto mimi. Sasa hivi wanacheza mpira na wenzake au michezo mingine nje. Ndani marufuku, anaangalia katuni kwa adabu zote bila kuharibu. Hata mtoto wa mdogo wangu akiwepo wanajua hakuna kuharibu vitu.Kupunguza kero najifanya naumwa ili watulie walau kidogo... Sofa wamevunja, nimewapambia kamti ka krismas kamenyofolewa kote sebule iko Kama karakana
Kwani unatupiwa bure?!Mnavyotudharau walimu sasa!?
Huko shule huyo mtoto aliyekuchosha wewe waenda mtupia nani?
Lakini ni Kazi Kama kazi nyingine na wameamua wenyewe kwa mapenzi yao kwa kuona ndicho wanamudu kufanya, ama?Ndio ujue waalimu wana kazi sana
🤣🤣🤣 Tabu Tu! wako wawili mdogo NI baunsa na mkubwa nae baunsa hakuna anaekubali kushindwa, kila baada ya Dakika 2 au 3 utasikia kimewaka! Unabaki kukemea Tu, na adhabu nafukuzia kwenda kulala ata iwe saa 5 asubuiBado kula sana na kila dakika ....akiingia juice akitoka ndizi .....akipakua huwezi amini atamaliza
Wacha we!! Kwani nyie kuzaa mlishikiwa bunduki!! Mbona mwatamani shule zifunguliwe!!!Lakini ni Kazi Kama kazi nyingine na wameamua wenyewe kwa mapenzi yao kwa kuona ndicho wanamudu kufanya, ama?
Kula chuma cha KILINGALA hicho, nipo kongo saa hii, nakiiba iba, nikirudi huko, sio kuongea tu kilingala, hata mabusu ya kilingala mixer french,mpaka na yale MAMBO yetu yale NITAKUTENDA kilingala lingala.🥰Babe watoto washaguvuruga kichwa sasa unanena kilugha!!
Na bado likizo ndio kwanzaa mbichi mbichi.🤣Kupunguza kero najifanya naumwa ili watulie walau kidogo... Sofa wamevunja, nimewapambia kamti ka krismas kamenyofolewa kote sebule iko Kama karakana
😂😂😂😂😂Watoto wa elfu mbili nao wana watoto full vuruguWatoto wa zku izi ni kaz mtoto analala saa6 usku na saa12 ameamka unajiuliza anawai kaz wap?
😂 Watoto wamekupandisha handasiiiHapa Nina wangu wa tatu, wa jirani wa kushoto wa nne, wa nyumba ya opposite 3, wa nyasa toka mtaa wa pili wawili. Wote wapo sebuleni kwangu, zogo lake mpaka Natamani beer ya mapema.
Nmechekaa sanaUlilaZimishwa kuzaa?