Nimeshazichoka vurugu za watoto, bora shule zifunguliwe

Nimeshazichoka vurugu za watoto, bora shule zifunguliwe

Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.

Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.


Mithali 23

13 Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.

14 Utampiga kwa fimbo, Na kumwokoa nafsi yake na Kuzimu



Sijui we ni Baba au ni mama ila kama ni Baba umepwaya kwenye nafasi yako ya kuwalea hao Watoto kana Kwamba miti (i.e chanzo cha fimbo) haipo



Mahali ambapo hakuna Baba Watoto kamwe hawawezi kukua B'se Mama anamapenzi na watoto wake kwasababu ya kuwa na mguso nao tangu tumboni Ndio maana mama Hawezi kumlea MTOTO


Lakini kama Baba yupo na WATOTO hawasikii wala kutii Sauti ya mzazi ni HATARI sana, na Ndio Baba wengi waliojaa kwenye NDOA nyingi kimuonekano wa nje wanaonekana ni wababa ila NDANI yao hakuna mkao wa ubaba Ndio maana malezi ya watoto yanawashinda wanachojua wao ni kuhudumia tu, mtoto kaenda shule, amekula na kulala basi Lakini malezi ya watoto ni zero
 
mtoto alivyo ni jinsi ulivyomlea,kweli mzazi unadiriki kusema "hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu."
sisi zamani mkisha kula cha mchana lazima ukalale hata kama hauna usingizi kuamka saa 12 jioni saa 3 lazima ukalale tena kuna msemo maarufu tulikuwa tunaambiwa kalaleni mkue....mzazi usimyime mtoto fimbo ila napo angalizo usizidishe...kaazi kwelikweli ila inawezekana pamoja tupo kwenye dunia ya utandawazi bado unaweza kumuepusha mtoto na malezi ya "kijuniya"
Wenzako wakila lazima wakachunge mbuzi wewe unalazimishwa kulala? Hongera
 
Hawa watoto ni kama wanachajiwa na jua, yaani hawachoki! Na wakiharibu vitu, ukawauliza walikuwa wanatafuta nini, wanakutazama tu.

Bora warudi shule, walimu pia wakafaidi "battery life" yao!
 
MMkuu
Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.

Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shu

Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.

Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Mkuu hao ni watoto wako vumilia kama vile walimu wanavyo vumilia.
 
Kuna siku nipo na jamaa angu, katoka kazini kachoka kapitiliza chumbani alale kumbe watu wadogo wapo dirishani kwake kelele hadi sio poa.

Nikasikia tu ameropoka kwa gadhabu, "Bwana eeeeh mkacheze barabarani huko.".
 
Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.

Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Ndo mkiambiwa muboreshe maslahi ya walimu muwe munaelewa.....

Kama wewe mwenyewe watoto wako wanakupa changamoto je walimu vipi
 
Back
Top Bottom