Muramwaito
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 309
- 620
Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Mithali 23
13 Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
14 Utampiga kwa fimbo, Na kumwokoa nafsi yake na Kuzimu
Sijui we ni Baba au ni mama ila kama ni Baba umepwaya kwenye nafasi yako ya kuwalea hao Watoto kana Kwamba miti (i.e chanzo cha fimbo) haipo
Mahali ambapo hakuna Baba Watoto kamwe hawawezi kukua B'se Mama anamapenzi na watoto wake kwasababu ya kuwa na mguso nao tangu tumboni Ndio maana mama Hawezi kumlea MTOTO
Lakini kama Baba yupo na WATOTO hawasikii wala kutii Sauti ya mzazi ni HATARI sana, na Ndio Baba wengi waliojaa kwenye NDOA nyingi kimuonekano wa nje wanaonekana ni wababa ila NDANI yao hakuna mkao wa ubaba Ndio maana malezi ya watoto yanawashinda wanachojua wao ni kuhudumia tu, mtoto kaenda shule, amekula na kulala basi Lakini malezi ya watoto ni zero