Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Duh ni hatariKupunguza kero najifanya naumwa ili watulie walau kidogo... Sofa wamevunja, nimewapambia kamti ka krismas kamenyofolewa kote sebule iko Kama karakana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh ni hatariKupunguza kero najifanya naumwa ili watulie walau kidogo... Sofa wamevunja, nimewapambia kamti ka krismas kamenyofolewa kote sebule iko Kama karakana
Mkuu ata uwanunulie nn ase ndan kuna ps 4 wacheze game hawataki wanachukua biskel wanaeendesha washaitoboa toboa na meetings sumali sijatengeneza nimeacha sasa wameamia kwenye tv na kelele watoto kama hao unawasaidiajeWanunulie vitu vigumu (durable) vya kuchezea.
OkayMpwayungu Village kashaacha dharau bhana
Mkuu kumbe wewe ni mwalimu ?Mnavyotudharau walimu sasa!?
Huko shule huyo mtoto aliyekuchosha wewe waenda mtupia nani?
Hisabati mkuuMkuu kumbe wewe ni mwalimu ?
Hongera sana bila shaka ni wa somo la Physics.
Sawa mkuuHisabati mkuu
Nipo masomoni,sipo kaziniSawa mkuu
Kwahiyo sasa hivi upo upo una pata breakfast mana ndio muda wenyewe huu😅
Au una sahihisha madaftari.
Pamoja mkuu.Nipo masomoni,sipo kazini
Moja ya watu nawaheshimu mno ni walimu aseee. Mko na kazi kubwa sana hasa nikikumbuka namna nilikuwa mtundu shuleni !! Big up sana kwa walimu aseeeMnavyotudharau walimu sasa!?
Huko shule huyo mtoto aliyekuchosha wewe waenda mtupia nani?
🤣🤣Umebakiza utukutu wa kwenye papuchiMoja ya watu nawaheshimu mno ni walimu aseee. Mko na kazi kubwa sana hasa nikikumbuka namna nilikuwa mtundu shuleni !! Big up sana kwa walimu aseee
Kwenye maQu ni kwetu sote maana hakuna asiyehusudu hiyo makitu. Ni aidha unatomba au unatombwa 😀😀😀. Kutiana raha sana😆🤣🤣Umebakiza utukutu wa kwenye papuchi
malipo ni hapahapa wazazi wako walikuwa wanateseka hivohivoKuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Cc: Mpwayungu VillageMnavyotudharau walimu sasa!?
Huko shule huyo mtoto aliyekuchosha wewe waenda mtupia nani?