mountain climber
JF-Expert Member
- Aug 31, 2024
- 311
- 461
Kwa
Kwan we ulilazimishwa kuzaa mkuu?Lakini ni Kazi Kama kazi nyingine na wameamua wenyewe kwa mapenzi yao kwa kuona ndicho wanamudu kufanya, ama?
Vinginevyo Kama wameingia kutafuta hayo Maslahi, hapo kazi wanayo haswa!