Elections 2010 Nimeshinda Kura za maoni Kuipepersuha Bendera ya CHADEMA

Elections 2010 Nimeshinda Kura za maoni Kuipepersuha Bendera ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Wakuu
Kwanza ninawashukuru sana kwa michango yenu..Ninawashukuru wote mlionipongeza na kunitakia kusonga mbele.
Kwa wale wanaotaka nidisclose my identity hasa Kiranga na Nyani Ngabu.Wamefika hatua wanaongea mengi sana kwamba eti sijiamini.Kwanza nineseme kwamba,nimeamua kwa utashi wangu kutojitokeza hadharani kwa sasa kwakuwa tayari nilijificha tangu mwanzo hivyo sina sababu ya kujitoa sasa.Wakati ukifika nitatoka kwa jina langu halisi na hili ninalotumia sasa litaendelea kutumika kama kawaida.Basdhi yetu wametoa mifano ya kina Dr Slaa na Kina Zitto kwamba wanatumia majina yao halisi.Wao wanatumia hivyo kwakuwa wao ni public figures but am not.Sijajificha eti kwa kuwa sijiamini,ninajiamini sana tena sana na ndio maana nimediriki kuthubutu kugombea.Sina rekodi yeyote chafu kwani mimi sio muumini wa mambo machafu.Nimekulia kwenye maadili ya dini na ninaamini katika usafi.Am very pure katika nyanja zote,I assure you Kiranga.Sijaamua kufanya hivyo kwakuwa sioni sababu ya kufanya hivyo.Nina njia nyingi tu za watu kunifahamu,sio lazima iwe hapa. Mtu yeyote mpenda maendeleo sio lazima umfahamu mtu physically ndio umuunge mkono,you can support me hata kwa kufahamu mawazo yangu tu.Wengi tu humu mnafahamu misimamo yangu hivyo sio lazima mnifhamu physically ndio mniunge mkono.Kiranga tena wewe ni rafiki yangu humu ulithubutu kuniomba urafiki humu JF,kwanini usiniamini sasa?mpaka useme kwamba mnachezewa mchezo wa kuigiza?Am very serious ninagombea,na ninatarajia kushinda...Naomba mniunge mkono if you want to.
 
Wakuu
Kwanza ninawashukuru sana kwa michango yenu..Ninawashukuru wote mlionipongeza na kunitakia kusonga mbele.
Kwa wale wanaotaka nidisclose my identity hasa Kiranga na Nyani Ngabu.Wamefika hatua wanaongea mengi sana kwamba eti sijiamini.Kwanza nineseme kwamba,nimeamua kwa utashi wangu kutojitokeza hadharani kwa sasa kwakuwa tayari nilijificha tangu mwanzo hivyo sina sababu ya kujitoa sasa.Wakati ukifika nitatoka kwa jina langu halisi na hili ninalotumia sasa litaendelea kutumika kama kawaida.Basdhi yetu wametoa mifano ya kina Dr Slaa na Kina Zitto kwamba wanatumia majina yao halisi.Wao wanatumia hivyo kwakuwa wao ni public figures but am not.Sijajificha eti kwa kuwa sijiamini,ninajiamini sana tena sana na ndio maana nimediriki kuthubutu kugombea.Sina rekodi yeyote chafu kwani mimi sio muumini wa mambo machafu.Nimekulia kwenye maadili ya dini na ninaamini katika usafi.Am very pure katika nyanja zote,I assure you Kiranga.Sijaamua kufanya hivyo kwakuwa sioni sababu ya kufanya hivyo.Nina njia nyingi tu za watu kunifahamu,sio lazima iwe hapa. Mtu yeyote mpenda maendeleo sio lazima umfahamu mtu physically ndio umuunge mkono,you can support me hata kwa kufahamu mawazo yangu tu.Wengi tu humu mnafahamu misimamo yangu hivyo sio lazima mnifhamu physically ndio mniunge mkono.Kiranga tena wewe ni rafiki yangu humu ulithubutu kuniomba urafiki humu JF,kwanini usiniamini sasa?mpaka useme kwamba mnachezewa mchezo wa kuigiza?Am very serious ninagombea,na ninatarajia kushinda...Naomba mniunge mkono if you want to.
Ni maneno mazuri yasiyo na jaziba yaliyoenda shule, GS hongera tena ndugu yangu Mungu akutangulie mimi binafsi sikufahamu lakini nimekufahamu kwa kauli zako ndiyo maana naku support hata kama si kwa mali bali hata kwa hali inatosha, inshalaah Mungu akinijaaria natarajia kugombea chaguzi zijazo kupitia Chadema, Mungu akubariki.

GO Slaa GO.
 
Wakuu
Kwanza ninawashukuru sana kwa michango yenu..Ninawashukuru wote mlionipongeza na kunitakia kusonga mbele.
Kwa wale wanaotaka nidisclose my identity hasa Kiranga na Nyani Ngabu.Wamefika hatua wanaongea mengi sana kwamba eti sijiamini.Kwanza nineseme kwamba,nimeamua kwa utashi wangu kutojitokeza hadharani kwa sasa kwakuwa tayari nilijificha tangu mwanzo hivyo sina sababu ya kujitoa sasa.Wakati ukifika nitatoka kwa jina langu halisi na hili ninalotumia sasa litaendelea kutumika kama kawaida.Basdhi yetu wametoa mifano ya kina Dr Slaa na Kina Zitto kwamba wanatumia majina yao halisi.Wao wanatumia hivyo kwakuwa wao ni public figures but am not.Sijajificha eti kwa kuwa sijiamini,ninajiamini sana tena sana na ndio maana nimediriki kuthubutu kugombea.Sina rekodi yeyote chafu kwani mimi sio muumini wa mambo machafu.Nimekulia kwenye maadili ya dini na ninaamini katika usafi.Am very pure katika nyanja zote,I assure you Kiranga.Sijaamua kufanya hivyo kwakuwa sioni sababu ya kufanya hivyo.Nina njia nyingi tu za watu kunifahamu,sio lazima iwe hapa. Mtu yeyote mpenda maendeleo sio lazima umfahamu mtu physically ndio umuunge mkono,you can support me hata kwa kufahamu mawazo yangu tu.Wengi tu humu mnafahamu misimamo yangu hivyo sio lazima mnifhamu physically ndio mniunge mkono.Kiranga tena wewe ni rafiki yangu humu ulithubutu kuniomba urafiki humu JF,kwanini usiniamini sasa?mpaka useme kwamba mnachezewa mchezo wa kuigiza?Am very serious ninagombea,na ninatarajia kushinda...Naomba mniunge mkono if you want to.


GS una uhuru wako ambao mtu hatakiwi kuuingilia endelea na msimamo wako huo huo ..haya ya mengine kujua wewe ni nani au unafanya nini hiyo mpendwa haituhusu
zaidi tunakutakia mafanikio katika harakati zako Be blessed
 
Ni maneno mazuri yasiyo na jaziba yaliyoenda shule, GS hongera tena ndugu yangu Mungu akutangulie mimi binafsi sikufahamu lakini nimekufahamu kwa kauli zako ndiyo maana naku support hata kama si kwa mali bali hata kwa hali inatosha, inshalaah Mungu akinijaaria natarajia kugombea chaguzi zijazo kupitia Chadema, Mungu akubariki.

GO Slaa GO.

Asante sana Luteni my dia..hivi ndivyo tunavyotaka iwe,sio lazima tufahamiane kwa macho au kwa simu lakini kwa mitazamo ya humu inatosha kabisa kuungana mkono..
 
GS,

Wakuu
Kwanza ninawashukuru sana kwa michango yenu..

Twaib, Naam

Ninawashukuru wote mlionipongeza na kunitakia kusonga mbele.

Muungawana shukrani ati

Kwa wale wanaotaka nidisclose my identity hasa Kiranga na Nyani Ngabu.Wamefika hatua wanaongea mengi sana kwamba eti sijiamini.

Hakika, wanaojiamini katika ulingo wa uongozi wa umma hawajifichi, wanaojificha hawajiamini. Tutajuaje kama unapanga kuuza nchi au umeandika "Mein Kampf" ya Tanzania kutaka kuwachoma moto wahindi wote kama hujatupa jina lako ?

Kwanza nineseme kwamba,nimeamua kwa utashi wangu kutojitokeza hadharani kwa sasa kwakuwa tayari nilijificha tangu mwanzo hivyo sina sababu ya kujitoa sasa.

Lakini mwanzo hukuwa na kofia ya kugombea uongozi wa umma, kwa hiyo kulinganisha ya mwanzo na ya sasa si sawa. Ingekuwa sawa hata kwenye kampeni yako ungejificha.

Wakati ukifika nitatoka kwa jina langu halisi na hili ninalotumia sasa litaendelea kutumika kama kawaida.

Wakati ukifika? Wakati gani na mtu ushatangaza nia ya kutaka kugombea ubunge? Ushashinda kura za maoni? Wakati ndio huu. Ukileta ngoja ngoja hapa kusubiri wakati ufike hata huko bungeni utakuwa mtu wa ngoja ngoja kusubiri wakati ufike, hatimaye miaka mitano inaisha unasubiri wakati ufike huna ulofanya. Usisubiri kesho kinachoweza fanyika leo. Haya mambo ya ahadi zisizo hata timeline si ndiyo tunayakataa kutoka CCM? Sasa wewe mgombea wa chama mbadala mbona unaturudisha kule kule kwenye ahadi na ahadi hata kwa vitu vidogo tu? Kama unataka kutuchezesha marede katika kujua identity yako tu tunaweza kukuamini kwamba hutatuchezesha marede katika complex issues ?

Basdhi yetu wametoa mifano ya kina Dr Slaa na Kina Zitto kwamba wanatumia majina yao halisi.Wao wanatumia hivyo kwakuwa wao ni public figures but am not.

This is exactly what I mean when I say hujiamini. Mtu ushatangaza nia ya kugombea ubunge, wapiga kura wako wamekuamini umeshinda kura ya maoni, bado unajiona si public figure! Essentially unachosema hapa ni kwamba huwezi ku deal na public, na kwa maana nyingine huwezi uongozi, unasuasua, unaogopa, hujiamini.Mimi sitaki kiongozi anayesuasua na kutojiamini, we have enough of those and they are the one who got us where we are today.

Sijajificha eti kwa kuwa sijiamini,ninajiamini sana tena sana na ndio maana nimediriki kuthubutu kugombea.

Katika uchaguzi, wanaojificha hawajiamini, wanaojiamini hawajifichi.

Sina rekodi yeyote chafu kwani mimi sio muumini wa mambo machafu.

Utatuhakikishiaje hili wakati hata jina lako hatulijui? For all we know TAKUKURU tayari washaku nab na unaogopa scandal.

Nimekulia kwenye maadili ya dini na ninaamini katika usafi.

Kukulia katika maadili ya dini si hoja, kuna makasisi wanawafanyia ubazazi watoto.

Am very pure katika nyanja zote,

Hapa unajionyesha si muoga na unayekosa kujiamini tu, bali ni muongo na mnafiki pia. Binadamu yeyote anayeweza kusema hivi ni muongo na mnafiki, inawezekana hata mjinga. Hakuna kilicho pure katika dunia hii, let alone binadamu aliye pure katika nyanja zote. Kama unafikiri wewe ni pure katika nyanja zote naanza kutilia mashaka uelewa wako na elimu yako.

I assure you Kiranga.

How can you assure me of anything while I don't even know your name?

Sijaamua kufanya hivyo kwakuwa sioni sababu ya kufanya hivyo.

Inaonekana hujaelewa public ervice ni nini. Mara nyingine public service si kuhusu unachotaka kufanya wewe, bali watu wanachokutaka ufanye. Wewe umeenda katika job interview, muajiri anakuuliza maswali, unajua kazi hii? Hebu nieleze kama unaijua, una credentials? wewe ni nani? wewe unamwambia muajiri, I assure you I know this job, give me the job, don't ask me about my credentials and who am I, but I assure you I can do the job well. Unafikiri utapata hiyo kazi? Muajiri akifikiri kwamba kuna kitu unaficha utamlaumu ?

Nina njia nyingi tu za watu kunifahamu,sio lazima iwe hapa.

Ingekuwa hutaki kufahamika kama mgombea hapa wala usingesema kwamba unagimbea, watu tusingejua na wala tusingekuuliza.Maadam umesema tutakuuliza.

Mtu yeyote mpenda maendeleo sio lazima umfahamu mtu physically ndio umuunge mkono,you can support me hata kwa kufahamu mawazo yangu tu.

Sawa, na mimi sijakuomba tuonane ninywe chai na wewe, nataka kujua mawazo yako tu. Na siyo mawazo unayotaka kunipa wewe tu hapa, nataka kuwa na uwezo wa kupata jina lako, nijue labda ulishaandika newspaper article, labda ulishakamatwa na polisi etc etc.

Wengi tu humu mnafahamu misimamo yangu hivyo sio lazima mnifhamu physically ndio mniunge mkono.

Unataka ubunge lakini inaelekea hata maana ya neno "physically" hujui.Halafu hujui kama hujui. Unatia aibu.

Kiranga tena wewe ni rafiki yangu humu ulithubutu kuniomba urafiki humu JF,kwanini usiniamini sasa?

Mimi jumuiya nzima ya JF ni rafiki zangu, lakini lazima niwe na priorities.Hata kama mtu ni ndugu yangu wa damu anataka kuingia bungeni lakini hataki kuambia watu yeye ni nani nitapata mashaka na nia yake na siwezi kum support.

mpaka useme kwamba mnachezewa mchezo wa kuigiza?

Mpaka dakika hii huwezi kunihakikishia kwamba wewe ni mgombea kweli na si muhuni tu unayetuchezea akili hapa. Mgombea wa jimbo gani sasa? Jina lako nani?

Am very serious ninagombea,na ninatarajia kushinda...Naomba mniunge mkono if you want to

You are not serious at all, at least not about your campaign. It seems you are more serious about maintaining your privacy than about your campaign, and to me that is selfish.And selfish people have no place in public service.
 
GS una uhuru wako ambao mtu hatakiwi kuuingilia endelea na msimamo wako huo huo ..haya ya mengine kujua wewe ni nani au unafanya nini hiyo mpendwa haituhusu
zaidi tunakutakia mafanikio katika harakati zako Be blessed

Ukishaingia katika race ya public office uhuru huu unatoka, huwezi kwenda kwenye job interview halafu ukasema una uhuru wa kutoingiliwa, especially kama watu wanataka kukujua jina tu.
 
GS,



Twaib, Naam



Muungawana shukrani ati



Hakika, wanaojiamini katika ulingo wa uongozi wa umma hawajifichi, wanaojificha hawajiamini. Tutajuaje kama unapanga kuuza nchi au umeandika "Mein Kampf" ya Tanzania kutaka kuwachoma moto wahindi wote kama hujatupa jina lako ?



Lakini mwanzo hukuwa na kofia ya kugombea uongozi wa umma, kwa hiyo kulinganisha ya mwanzo na ya sasa si sawa. Ingekuwa sawa hata kwenye kampeni yako ungejificha.



Wakati ukifika? Wakati gani na mtu ushatangaza nia ya kutaka kugombea ubunge? Ushashinda kura za maoni? Wakati ndio huu. Ukileta ngoja ngoja hapa kusubiri wakati ufike hata huko bungeni utakuwa mtu wa ngoja ngoja kusubiri wakati ufike, hatimaye miaka mitano inaisha unasubiri wakati ufike huna ulofanya. Usisubiri kesho kinachoweza fanyika leo. Haya mambo ya ahadi zisizo hata timeline si ndiyo tunayakataa kutoka CCM? Sasa wewe mgombea wa chama mbadala mbona unaturudisha kule kule kwenye ahadi na ahadi hata kwa vitu vidogo tu? Kama unataka kutuchezesha marede katika kujua identity yako tu tunaweza kukuamini kwamba hutatuchezesha marede katika complex issues ?



This is exactly what I mean when I say hujiamini. Mtu ushatangaza nia ya kugombea ubunge, wapiga kura wako wamekuamini umeshinda kura ya maoni, bado unajiona si public figure! Essentially unachosema hapa ni kwamba huwezi ku deal na public, na kwa maana nyingine huwezi uongozi, unasuasua, unaogopa, hujiamini.Mimi sitaki kiongozi anayesuasua na kutojiamini, we have enough of those and they are the one who got us where we are today.



Katika uchaguzi, wanaojificha hawajiamini, wanaojiamini hawajifichi.



Utatuhakikishiaje hili wakati hata jina lako hatulijui? For all we know TAKUKURU tayari washaku nab na unaogopa scandal.



Kukulia katika maadili ya dini si hoja, kuna makasisi wanawafanyia ubazazi watoto.



Hapa unajionyesha si muoga na unayekosa kujiamini tu, bali ni muongo na mnafiki pia. Binadamu yeyote anayeweza kusema hivi ni muongo na mnafiki, inawezekana hata mjinga. Hakuna kilicho pure katika dunia hii, let alone binadamu aliye pure katika nyanja zote. Kama unafikiri wewe ni pure katika nyanja zote naanza kutilia mashaka uelewa wako na elimu yako.



How can you assure me of anything while I don't even know your name?



Inaonekana hujaelewa public ervice ni nini. Mara nyingine public service si kuhusu unachotaka kufanya wewe, bali watu wanachokutaka ufanye. Wewe umeenda katika job interview, muajiri anakuuliza maswali, unajua kazi hii? Hebu nieleze kama unaijua, una credentials? wewe ni nani? wewe unamwambia muajiri, I assure you I know this job, give me the job, don't ask me about my credentials and who am I, but I assure you I can do the job well. Unafikiri utapata hiyo kazi? Muajiri akifikiri kwamba kuna kitu unaficha utamlaumu ?



Ingekuwa hutaki kufahamika kama mgombea hapa wala usingesema kwamba unagimbea, watu tusingejua na wala tusingekuuliza.Maadam umesema tutakuuliza.



Sawa, na mimi sijakuomba tuonane ninywe chai na wewe, nataka kujua mawazo yako tu. Na siyo mawazo unayotaka kunipa wewe tu hapa, nataka kuwa na uwezo wa kupata jina lako, nijue labda ulishaandika newspaper article, labda ulishakamatwa na polisi etc etc.



Unataka ubunge lakini inaelekea hata maana ya neno "physically" hujui.Halafu hujui kama hujui. Unatia aibu.



Mimi jumuiya nzima ya JF ni rafiki zangu, lakini lazima niwe na priorities.Hata kama mtu ni ndugu yangu wa damu anataka kuingia bungeni lakini hataki kuambia watu yeye ni nani nitapata mashaka na nia yake na siwezi kum support.



Mpaka dakika hii huwezi kunihakikishia kwamba wewe ni mgombea kweli na si muhuni tu unayetuchezea akili hapa. Mgombea wa jimbo gani sasa? Jina lako nani?



You are not serious at all, at least not about your campaign. It seems you are more serious about maintaining your privacy than about your campaign, and to me that is selfish.And selfish people have no place in public service.

Duu,umenichambua mpaka nasikia kulia..Anyway,No comment nikijibu nitaharibu..Sawa bana..Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake.
 
Duu,umenichambua mpaka nasikia kulia..Anyway,No comment nikijibu nitaharibu..Sawa bana..Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake.

usilie ndo mwanzo wa maisha ulojichagulia, mengi yanakuja mele yako, uwe tayari
 
Duu,umenichambua mpaka nasikia kulia..Anyway,No comment nikijibu nitaharibu..Sawa bana..Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake.
Ushaanza kunitia wasiwasi.....kama ndo hivi ukikutana na siasa za maji taka kwenye kampeni si utasusa kabisa?
 
Duu,umenichambua mpaka nasikia kulia..Anyway,No comment nikijibu nitaharibu..Sawa bana..Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake.

Hivi wewe unajua ukisema "No comment" tayari ushatoa comment? the comment being "No comment" ?

No wonder unakuja hapa kusema kwamba hutaki kusema kwamba wewe ni mgombea ubunge. Unatoa comment kusema kwamba hutaki kutoa comment.

Halafu baada ya kutoa comment ya no comment, unaendelea ku comment mambo mengine. Total incoherency, totally naked contradictions.

Ndivyo utakavyokabiliana na upinzani wako bungeni hivi? Shooting yourself left right and centre ?

Unajionyesha huwezi ku deal na challenge. Au ukipewa challenge nazo utaziomba zisikujue jina ?
 
Hivi ni vichekesho, nacheka kwa nguvu.

This would have been funny if it wasn't so serious. Huyu ni mtu anayegombea ubunge na ana chance kabisa ya kuingia mjengoni.

Ndiyo quality ya leadership yetu, hata a passionate debate ya JF tu inamshinda, akiingia mjengoni ataweza kushindana na the CCM apparatus na the mtandao apparatchik huyu ? Ataweza ku deal na machinations za vingunge na vikwete huyu kama JF inamshinda?

To make matters even worse, huu ndio uongozi mbadala wa CHADEMA !!!!
 
Duu,umenichambua mpaka nasikia kulia..Anyway,No comment nikijibu nitaharibu..Sawa bana..Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake.

kwa namna hii ...................hatuna mbunge hapo! ndio maana ukampa big up Ms Banji.....kitu kidogo mnaki blow out of proportion! unataka ubunge toughen up!


btw sio kila tunaokuja hapa tunajua misimamo yako.
(mie kwa kweli sijui una misimamo gani katika masuala mengi, na kama mgombea ubunge ningependa kujua................kama utakuwa tayari tupe nafasi ya kuwasilisha masuala yetu yanayohitaji misimamo yako)
 
Hongera mpendwa GS!

Naenda kutafuta leseni ya udereva wa VIP. Naomba kazi ya kukuendesha mheshimiwa mbunge.

Go GS Gooooooo!!
 
Ushaanza kunitia wasiwasi.....kama ndo hivi ukikutana na siasa za maji taka kwenye kampeni si utasusa kabisa?

Sawa tu.Endelea kuwa na wasiwasi mpaka mwisho..Hakuna Kulala mpaka kieleweke.
 
Hivi wewe unajua ukisema "No comment" tayari ushatoa comment? the comment being "No comment" ?

No wonder unakuja hapa kusema kwamba hutaki kusema kwamba wewe ni mgombea ubunge. Unatoa comment kusema kwamba hutaki kutoa comment.

Halafu baada ya kutoa comment ya no comment, unaendelea ku comment mambo mengine. Total incoherency, totally naked contradictions.

Ndivyo utakavyokabiliana na upinzani wako bungeni hivi? Shooting yourself left right and centre ?

Unajionyesha huwezi ku deal na challenge. Au ukipewa challenge nazo utaziomba zisikujue jina ?

Huo ni mtazamo wako.Kwangu mimi itabaki vile vile kwamba i wanted to comment seriously lakini kwasababu fulani fulani nikaona nisicomment,kama wewe unaona hivyo ni comment basi ni wewe to me sio.Huwa naweza kukabiliana na challenges mbalimbali lakini sio hizi za kulazimishana...Kama wewe unaona siziwezi its ok,mimi mwenyewe najitambua.Ubarikiwe sana...
 
kwa namna hii ...................hatuna mbunge hapo! ndio maana ukampa big up Ms Banji.....kitu kidogo mnaki blow out of proportion! unataka ubunge toughen up!


btw sio kila tunaokuja hapa tunajua misimamo yako.
(mie kwa kweli sijui una misimamo gani katika masuala mengi, na kama mgombea ubunge ningependa kujua................kama utakuwa tayari tupe nafasi ya kuwasilisha masuala yetu yanayohitaji misimamo yako)

Kwenye bold..Wewe wasema.
Hapo kwenye red wapi nimempa Shyrose big up?tafadhali jamani tusisingiziane.kama humunielewa basi ungeniuliza..
 
GS my bad ..........alotoa big up kwa Ms Banji ni Woman of Substance

vibes mnazotoa hapa JF zinafanana ndio nikateleza....kumradhi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom