Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa nini wa tanzania ni wepesi wa kutumia offensive language iliyo wazi?!
"offensive language" "iliyo wazi" ndio ikoje hiyo?
offensive language isiyowazi..................ni ile isiyokuwa defined kama tusi katika jamii husika lakini mlengwa aka dhani/fahamu kuwa ametusiwa......mfano hapa labda kama shyrose alipoulizwa kama anatafuta mume
muahahaha .................nisome uzuri 'Mlengwa atadhani katusiwa' :tongue:.................mimi sikudhani kuwa katusiwa labda lakini bi shy yeye alidhani hivyo ndo maana akarusha ngumi!
mmmmh kiranga kama mashambulizi yako umeyaelekeza sipo hivi!?
Nafikiri huwezi kumtaka mtu abadilike 'uwezo' wake........tukichukulia kuwa ameweka juhudi zote lakini amefika kuwa na Uwezo huo unaouona( hana exposure, hajui kujieleza, akiingia kwenye debate analia lia, ...........- if indeed this is true) basi kosa ni la chama chake.
Nafikiri tunaweza kuilaumu chadema kwa
kutuwekea mtu below par (if she is) labda kwa kuwa hawakuwa na choice nyengine kwa sababu she is the best among waliojitokeza kuwania nafasi hiyo
(hapa pia linakuja suala la how big was their sample. best amoung two? the only contender? ............)
and if you want to stretch the point unaweza kutoa lawama kwa watu wote wa Kilombero, kwa kushindwa kutoa mgombea bora zaidi ya huyo aliyejitokeza sasa
in short ni kuwa you cant blame a machine for its low COP but the maker for not making a better machine
Ngabu kwani kupata mume lazima?
Wenzio wakija tunapindisha mjadala hapa waweza tumeza .............hebu mie!:love:
Twende kwenye PM basi au vipi?
Kiranga nimejaribu kufuatilia hoja zako kuhusu Regia, nasikitika kuwa zina harufu ya wivu. Ukiacha hivi vimaneno vya kiingereza ulivyoweka hapa, basi huna hoja kabisa. Kwanza naamini nivi vimaneno umevikariri, sidhani kama unaelewa maana yake...
Labda ututhibitishie kuwa unamfahamu Regia zaidi ya huku kwenye internet, lakini huwez sema mtu hana initiative kwa sababu amekubali ushauri aliyopewa, au hana exposure (husemi kwa nini).
Lakini nahisi pia kwamba inaweza kuwa unatumiwa na baadhi ya wapinzania wa Regia. Kama ndivyo, wasiliana na Malaria sugu, na Tumain wakuambie wao wanalipwa kiasi gani isijekuwa unadhulumiwa ndugu yangu...
..........Hongera my sista kwa kuwa muwazi na kuamua kutoa jina lako kamili .Kila la heri......hakika utafanikiwa tu kuingia mjengoni.
Hapa kama unakubali kuwa Shyrose alitusiwa. Sasa ule ubishi wako kwenye ile thread ulikuwa wa nini? Gaijin bana...you are all over the place.....:love:
Ha ha ha ha umemshtukia>
The guy yuko double standard(ized) kuliko maflip floper wote uliowahi kusikia (dont mention John Kerry please).
Ha ha ha ha umemshtukia>
The guy yuko double standard(ized) kuliko maflip floper wote uliowahi kusikia (dont mention John Kerry please).
Hahahahaaa..Kerry gave one of the classic lines in American political history...to this day I still can't get over it....
YouTube - ‪Kerry's #1 Flip Flop‬‎