Lighton

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
1,424
Reaction score
2,333
Ndiyo hii haiitaji maelezo mengi, kama kichwa kinavyojieleza "Nimeshindwa kuacha punyeto" nimejikuta naskip tu siku lakini siku mizuka ya punyeto ikija nashindwa kujizuia.

Nakirusha tu shwaaa, dah unyamaa sana. Mliobarkiwa karama za maombi mtuombeee please, hali ni mbaya.

========

Ushauri wa wadau juu ya jambo hili

 
Una umri gan?
 
nimeshindwa kuacha punyeto
Sio dhambi, na haiui hakuna palipoandikwa kwamba ukipiga utakufa au utapata ulemavu, endelea kujichukulia sheria mkononi mkuu walioendelea wamechonga mpaka midoli ya kuinyandua nayo, jimalize mkuu kikubwa hujabaka mtu na kumlawiti Ila umejibaka na kujilawiti mwenyewe kwa kupitia mkono wako hufungwi jela kwa kesi km hio, na sio kosa la jinai
 
Kaoe utaacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…