Nimeshindwa kuelewa formula ya mahesabu ya mikopo ya benki hii

Nimeshindwa kuelewa formula ya mahesabu ya mikopo ya benki hii

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nimefoward


Kuna mzee mmoja kakopa crdb 30m kwa mshahara wake. Amekatwa kwenye mshahara wake weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mpaka kufika mwisho kajikuta amelipa 68m
 
18% ni kwa mwaka.

Ukikopa miaka 6 inakuwa 18%x6.

Binafsi sielewi inakuwaje mtu unakopa mkopo kwa muda mrefu hivyo ?

Key Points.

1. Kadri unavyokaa na pesa ya mkopo muda mrefu ndivyo Riba na pesa ya jumla ya marejesho itajavyokuwa kubwa.
( Umirudisha pesa yao mapema maana yake atakopeshwa mtu mwingine ).

2. Watu wengi wanapenda mikopo ya muda mrefu kwa kufurahia tu kiasi cha pesa watakachobaki nacho kwenye mshahara baada ya makato, bila kuangalia Total amount na muda wa malipo ).

Note: Kopa mkopo, lipa kwa maumivu ndani ya muda mfupi kadri uwezavyo, utalipa pesa kidogo.
hakuna mtu mwenye mshahara mzuri anayekubali kurudisha mkopo muda mrefu kiasi hicho.

mtu keshakwambia anakopa 8mln,ni wazi mtu huyu kipato chake mshahara hakizidi laki 5.hapo akijichanganya kwenye makato anabaki na namba za viatu kwe ye salary sleep.
lakini pia ukumbuke kuna 1/3 ya mshahara hii ndio inabana hata wenye kutaka kurudisha pesa kwa kipindi kifupi.
 
Jamani mbona BOT na wizara husika mpo kimya huku mabenki yakifanya utapeli huu. Kwa nini wasitoe angalau mchanganuo ambao unaeleweka kirahisi kwa wateja, mfano. ukikopa milioni 10 utakatwa kiasi gani kila mwezi kwa mwaka, miaka 2, mitatu nk. siyo kuficha ficha mtu anakuja kushangaa makato makubwa kwenye mapato yake ya mwezi kuliko alivyo tarajia.

Kabla ya watu kuchukua hii mikopo wanatakiwa kusoma na kuelewa mkataba wa mikopo
Kama riba ni 18% unatakiwa kujua kama hiyo calculation inakua flat au reducing.
Wateja wengi huwa hawasomi mikataba, wanakuaga desparate sababu ya uhitaji wanasign tuu zile form halafu pesa zikiisha ndio wanaanza kulia

Pia ukiona umeonewa au umeibiwa beba documents zako nenda BOT pale wa dawati la malalamiko ya wateja, utahudumiwa na kwa hiyo complain yako unaweza kuwa msaada kwa wengine
 
hakuna mtu mwenye mshahara mzuri anayekubali kurudisha mkopo muda mrefu kiasi hicho.

mtu keshakwambia anakopa 8mln,ni wazi mtu huyu kipato chake mshahara hakizidi laki 5.hapo akijichanganya kwenye makato anabaki na namba za viatu kwe ye salary sleep.
lakini pia ukumbuke kuna 1/3 ya mshahara hii ndio inabana hata wenye kutaka kurudisha pesa kwa kipindi kifupi.
Unazungumza as if huo mkopo anachukua na kwenda kutupa jalalani.

Kimahesabu hiyo pesa anayokopa ndiyo inayopasawa kurudisha huo mkopo.

Kama anakopa, halafu pesa ya malipo anategemea strictly kutoka chanzo kingine binafsi namshauri asikope.
 
Unazingumza as if huo mkopo anaenda kutupa.

Kimahesabu hiyo pesa anayokopa ndiyo inayopasawa kurudisha huo mkopo.

Kama anakopa, halafu pesa ya malipo anategemea strictly kutoka chanzo kingine binafsi namshauri asikope.
unazungumzia wafanyabishara au wafanyakazi ndugu??


watu wanakopa wakajenge na kununua viwanja wewe unasema kitu tofauti kabisa.
 
Jinsi mkopo unapochukua muda mrefu kukaa nao, Riba yake nayo inakua iko juu kuliko mikopo ya kipindi kifupi mfano miezi 3/6/12
 
unazungumzia wafanyabishara au wafanyakazi ndugu??


watu wanakopa wakajenge na kununua viwanja wewe unasema kitu tofauti kabisa.
Kukopa kwenda kununua kiwanja au kujenga nyumba ya kuishi ni upumbavu.

Unless ulikuwa umepanga na pesa yako ya pango inatosha kuwa rejesho la mkopo kwa kila mwezi.
 
biashara sio kila mtu ana nafsi ya kuifanya.
Hata Ajira ni biashara.

Unauza MUDA WAKO na UJUZI.

Ndio maana wengine wanalipwa kwa saa, kwa mwezi au mwaka.

Na Mishahara inatofautiana.

e.g Senzo wa Simba kaajiriwa pia, ukimhitaji unapanda dau kama walivyofanya YANGA.

The same applies to the MEDIA PERSONALITIES kama kina Zembwela, Kitenge, Ambagile
 
Nimefoward


Kuna mzee mmoja kakopa crdb 30m kwa mshahara wake. Amekatwa kwenye mshahara wake weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mpaka kufika mwisho kajikuta amelipa 68m
Kwa muda gan mkuu
 
Japo kukopa Ni hiari lakini hivi viwango vya riba vinatakiwa kupunguzwa....
Viko hapo kwa sababu maalum,nyie ambao ni watumishi hamuwezi jua ,sababu kuu ni kwamba mazingira ya biashara ya tzn kufaulu ni madogo sana kwa hiyo risk factors ziko juu ndio maana wanaweka riba kubwa na dhamana ya kuzidi
 
Viko hapo kwa sababu maalum,nyie ambao ni watumishi hamuwezi jua ,sababu kuu ni kwamba mazingira ya biashara ya tzn kufaulu ni madogo sana kwa hiyo risk factors ziko juu ndio maana wanaweka riba kubwa na dhamana ya kuzidi

Mimi Ni mkulima...
 
Riba inakuwa 5.4M kwa miaka sita
ni milion 9 mkuu
interest=P×R×T
Screenshot_2020-12-15-14-35-20.jpg
 
Tumia Excel kufanya mahesabu ya mkopo wako, kwa kutumia loan amortization schedule , Kama ni ngumu unaweza unaweza Google formula ya mkopo . Nimeangalia hiyo iko sawa tu , riba ni 18% kwa mwaka, hakuna wizi hapo
Ningetegemea ungemsaidia hata kuweka screen shot ya hiyo Excell calculator but umeishia maneno matupu tuu, kiufupi hatuwezi kukuamini ukisemacho, tena yawezekana wewe ni mmoja wao huko bank.
 
Mbona hawaweki formula wazi?? Kwa nn hawasemi mkopo wa miaka 2 riba% kadhaa miaka 4 riba ni % kadhaa ?? Wao wanasema mkopo wetu riba ni 18%?
Ukienda bank wakisema riba ni asilimia 18 uje hiyo ni ya mwaka. Kwa kila mwaka utakao kaa na huo mkopo. Hiyo ni standard, kama ukienda kwa muuza chipsi ukisema zege inajulikana ni chipsi mayai. Swali la pili muulize hiyo riba inakuwa calculated kwenye original or reducing balance
 
Ukienda bank wakisema riba ni asilimia 18 uje hiyo ni ya mwaka. Kwa kila mwaka utakao kaa na huo mkopo. Hiyo ni standard, kama ukienda kwa muuza chipsi ukisema zege inajulikana ni chipsi mayai. Swali la pili muulize hiyo riba inakuwa calculated kwenye original or reducing balance
Nakumbuka itakuwa kwenye reduced balance mkuu....
 
Back
Top Bottom