Nimeshindwa kuelewa formula ya mahesabu ya mikopo ya benki hii

Nimeshindwa kuelewa formula ya mahesabu ya mikopo ya benki hii

Nimeenda benki fulani kwa uhitaji wa mkopo wa 8.4m wakanimbia riba 18%....
Mkuu, kwenye calculation za mkopo kuna formula kuu mbili:

1. Straight method
2. Reducing method

Watu wa bank kuna mambo huwa hawayaweki wazi. Ili la mikopo likiwa ni moja wapo.

Lingine ni suala la fixed deposit. Always maelezo wanayotoa kwa wateja ni tofauti ni kile ambacho utapata siku ya mwisho. Mfano:

1. Suala la kodi-hili huwa hawalisemi kabisaa yaani.

Yapo mengi sana!
 
Nimefoward


Kuna mzee mmoja kakopa crdb 30m kwa mshahara wake. Amekatwa kwenye mshahara wake weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mpaka kufika mwisho kajikuta amelipa 68m
Kudadadeki
 
Hayo marejesho mbona hamna wizi hapo!?
Ujue hiyo million 8 kwenye biashara inaweza ikazalisha faida ya hadi 6M au hata zaidi ndani ya mwaka mmoja!
Tatizo ni kwamba watu wanakopa wanaenda kufanya harusi na kula bata au kutatua matatizo ya kifamiliaa, hapo ni lazima uone bank ni wezi tu!
Mkuu kuna watu hawajui.

Bank zina Riba nafuu ukiliinganisha na taasisi nyingine za kifedha.

Ukiijulia mikopo, utaifaidi mnoo
 
Shida ndo zinafanya watu wakope...Ila hizi taasisi za kifedha dah...wengine Wana hadi 35% marejesho ya kiasi unachokopa.....!
 
itoshe tu kusema tayari umeshaingia mkenge utakatwa kwanzia mtt anaingia darasa la kwanza Hadi anamaliza darasa la 7. Umechukua 8 alaf unarudisha 14 nikama unarudisha mara mbili ya mkopo
 
Waislam haturuhusiwi kula riba wala kuliwa riba ...ndio maana dini imekataza kutona na unyonyaji uliopo
 
Waislam haturuhusiwi kula riba wala kuliwa riba ...ndio maana dini imekataza kutona na unyonyaji uliopo
Lakini unyonyaji unaofanywa na benki za kiislam ni mkubwa zaidi ya huu
 
Yaani hawa no NMB kabisa, wameninyang'anya duka kibaya Wanechukua na Fridge ya mjomba ang nililokuw nimemhifadhia, saivi mi nadaiwa fridge la watu,

mikopo mibaya wazee[emoji848][emoji848]
 
Mkuu, kwenye calculation za mkopo kuna formula kuu mbili:

1. Straight method
2. Reducing method

Watu wa bank kuna mambo huwa hawayaweki wazi. Ili la mikopo likiwa ni moja wapo.

Lingine ni suala la fixed deposit. Always maelezo wanayotoa kwa wateja ni tofauti ni kile ambacho utapata siku ya mwisho. Mfano:

1. Suala la kodi-hili huwa hawalisemi kabisaa yaani.

Yapo mengi sana!
Kama humwambii mteja ukweli juu ya biaashara yako ni sawa na wizi tuu
 
Mkuu, ninaamini kuwa ingesaidia sana kwa kuliweka jina LA Benki hiyo hadharani ili kusaidia Wananchi wengine kuikwepa hiyo Dhahama.
Unawalaumu kwa kwa ribs za kisiri siri...halafu wewe unafanya siri siri kuwafichia jina lao??
Ninaamini kwamba hata ukiweka wazi jina lao hawawezi wakakujua kutokana na jina unalotumia humu JF.
Na hata wakijua, kwani ulichowaandika ni Uongo??
Funguka, Usaidie Wengine....
 
Nimeenda benki fulani kwa uhitaji wa mkopo wa 8.4m wakanimbia riba 18%.

Baada ya kupewa makato yakawa 195,820 kwa mwezi kwa miaka 6. Sasa nawauliza mbona kiuhalisia sio 18% kama wanavyotuambia kwenye matangazo yao? Wanajibu kwa mujibu wa calculator yao ipo sahihi, hapa ina maana mpaka marejesho itakua ni 14,099,040 ndani ya miaka 6.

Hawa jamaa wanatumia formula gani kufanya calculations zao, kuna dalili ya wengi kupigwa maana kuna usiri mwingi sana. Ni vizuri ikawekwa wazi ili kabla hujaenda kuchukua mkopo ujue na marejesho yake yatakuwa vipi.
Hiyo riba ni kwa kila mwaka.Mikopo ya muda mrefu iko hivyo ni karibia unalipa mara mbili
 
Back
Top Bottom