Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Nimefoward
Kuna mzee mmoja kakopa crdb 30m kwa mshahara wake. Amekatwa kwenye mshahara wake weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mpaka kufika mwisho kajikuta amelipa 68m
hakuna mtu mwenye mshahara mzuri anayekubali kurudisha mkopo muda mrefu kiasi hicho.18% ni kwa mwaka.
Ukikopa miaka 6 inakuwa 18%x6.
Binafsi sielewi inakuwaje mtu unakopa mkopo kwa muda mrefu hivyo ?
Key Points.
1. Kadri unavyokaa na pesa ya mkopo muda mrefu ndivyo Riba na pesa ya jumla ya marejesho itajavyokuwa kubwa.
( Umirudisha pesa yao mapema maana yake atakopeshwa mtu mwingine ).
2. Watu wengi wanapenda mikopo ya muda mrefu kwa kufurahia tu kiasi cha pesa watakachobaki nacho kwenye mshahara baada ya makato, bila kuangalia Total amount na muda wa malipo ).
Note: Kopa mkopo, lipa kwa maumivu ndani ya muda mfupi kadri uwezavyo, utalipa pesa kidogo.
Jamani mbona BOT na wizara husika mpo kimya huku mabenki yakifanya utapeli huu. Kwa nini wasitoe angalau mchanganuo ambao unaeleweka kirahisi kwa wateja, mfano. ukikopa milioni 10 utakatwa kiasi gani kila mwezi kwa mwaka, miaka 2, mitatu nk. siyo kuficha ficha mtu anakuja kushangaa makato makubwa kwenye mapato yake ya mwezi kuliko alivyo tarajia.
Unazungumza as if huo mkopo anachukua na kwenda kutupa jalalani.hakuna mtu mwenye mshahara mzuri anayekubali kurudisha mkopo muda mrefu kiasi hicho.
mtu keshakwambia anakopa 8mln,ni wazi mtu huyu kipato chake mshahara hakizidi laki 5.hapo akijichanganya kwenye makato anabaki na namba za viatu kwe ye salary sleep.
lakini pia ukumbuke kuna 1/3 ya mshahara hii ndio inabana hata wenye kutaka kurudisha pesa kwa kipindi kifupi.
unazungumzia wafanyabishara au wafanyakazi ndugu??Unazingumza as if huo mkopo anaenda kutupa.
Kimahesabu hiyo pesa anayokopa ndiyo inayopasawa kurudisha huo mkopo.
Kama anakopa, halafu pesa ya malipo anategemea strictly kutoka chanzo kingine binafsi namshauri asikope.
Kukopa kwenda kununua kiwanja au kujenga nyumba ya kuishi ni upumbavu.unazungumzia wafanyabishara au wafanyakazi ndugu??
watu wanakopa wakajenge na kununua viwanja wewe unasema kitu tofauti kabisa.
biashara sio kila mtu ana nafsi ya kuifanya.Kukopa kwenda kununua kiwanja au kujenga nyumba ya kuishi ni upumbavu.
Hata Ajira ni biashara.biashara sio kila mtu ana nafsi ya kuifanya.
Kwa muda gan mkuuNimefoward
Kuna mzee mmoja kakopa crdb 30m kwa mshahara wake. Amekatwa kwenye mshahara wake weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mpaka kufika mwisho kajikuta amelipa 68m
benki zote za bongo ni hivyo hivyo,mkuu lipa deni la watu
this is the point to take...mm binafsi nataka kukopa lakini sitaki makato yazidi miaka 318% ni kwa mwaka.
Ukikopa miaka 6 inakuwa 18%x6.....
Viko hapo kwa sababu maalum,nyie ambao ni watumishi hamuwezi jua ,sababu kuu ni kwamba mazingira ya biashara ya tzn kufaulu ni madogo sana kwa hiyo risk factors ziko juu ndio maana wanaweka riba kubwa na dhamana ya kuzidiJapo kukopa Ni hiari lakini hivi viwango vya riba vinatakiwa kupunguzwa....
Viko hapo kwa sababu maalum,nyie ambao ni watumishi hamuwezi jua ,sababu kuu ni kwamba mazingira ya biashara ya tzn kufaulu ni madogo sana kwa hiyo risk factors ziko juu ndio maana wanaweka riba kubwa na dhamana ya kuzidi
ni milion 9 mkuuRiba inakuwa 5.4M kwa miaka sita
6 mkuuDuuh kwa miaka mingapi mkuu?
Ningetegemea ungemsaidia hata kuweka screen shot ya hiyo Excell calculator but umeishia maneno matupu tuu, kiufupi hatuwezi kukuamini ukisemacho, tena yawezekana wewe ni mmoja wao huko bank.Tumia Excel kufanya mahesabu ya mkopo wako, kwa kutumia loan amortization schedule , Kama ni ngumu unaweza unaweza Google formula ya mkopo . Nimeangalia hiyo iko sawa tu , riba ni 18% kwa mwaka, hakuna wizi hapo
Karamagi yule aliyekuwa mbunge wa Bukoba?Wajanja wanaenda kwa Karamagi posta riba 12% kwa mwaka. Wabunge wengi wanakopa huko
Ukienda bank wakisema riba ni asilimia 18 uje hiyo ni ya mwaka. Kwa kila mwaka utakao kaa na huo mkopo. Hiyo ni standard, kama ukienda kwa muuza chipsi ukisema zege inajulikana ni chipsi mayai. Swali la pili muulize hiyo riba inakuwa calculated kwenye original or reducing balanceMbona hawaweki formula wazi?? Kwa nn hawasemi mkopo wa miaka 2 riba% kadhaa miaka 4 riba ni % kadhaa ?? Wao wanasema mkopo wetu riba ni 18%?
Nakumbuka itakuwa kwenye reduced balance mkuu....Ukienda bank wakisema riba ni asilimia 18 uje hiyo ni ya mwaka. Kwa kila mwaka utakao kaa na huo mkopo. Hiyo ni standard, kama ukienda kwa muuza chipsi ukisema zege inajulikana ni chipsi mayai. Swali la pili muulize hiyo riba inakuwa calculated kwenye original or reducing balance