Nimeshindwa kuelewa formula ya mahesabu ya mikopo ya benki hii

Hiyo siyo formula inayotumika kwenye mikopo , sababu interest sio kila mwezi itapigiwa hesabu kwenye hela iliyochokuliwa mwanzoni mwa mkopo
Em wewe weka formula yako maana mimi hiyo sijaweka kwa mwezi niliweka kwa mwaka ndomana T niliweka 6 nikimaanisha miaka sita sio miezi 72
 
Huo mchanganuo uko sawa probably hayo makato ya mwezi wame-include na gharama nyingine za mkopo.

Formula waliyotumia ni REDUCING BALANCE METHOD.

Mikopo ya benki ukitaka ikupe tija uwe na uwezo wa kuurejesha kwa kipindi kifupi let's say 6 months to 12 months or 18 months. Kadri unavoongeza muda wa marejesho ndivyo utakavyokamukiwa na kutokupata tija.

Pia uwe mdadasi wa kujua kuhusiana na INCLUSIVE COSTS na taarifa nyinginezo zinazoendana na mkopo iliuweze kufanya uamuzi sahihi. Usipokuwa mdadadisi theye won't give you all details.
 
Nimeenda benki fulani kwa uhitaji wa mkopo wa 8.4m wakanimbia riba 18%....

Hayo marejesho mbona hamna wizi hapo!?

Ujue hiyo million 8 kwenye biashara inaweza ikazalisha faida ya hadi 6M au hata zaidi ndani ya mwaka mmoja!

Tatizo ni kwamba watu wanakopa wanaenda kufanya harusi na kula bata au kutatua matatizo ya kifamiliaa, hapo ni lazima uone bank ni wezi tu!
 
Wana aina flani ya uyapeli ndo maana hawaweki wazi mahesabu yao
Basically waomba mikopo wengi huwa wapo too excited hata hawaombi kuprintiwa ile payment plan ili waidadavue kabla mtu hajaingia king mazima

Bank hawana kosa kimsingi. Wao wapo pale kibiashara zaidi
 
Au kununua vitz
 
Tatizo nyie watumwa wa umma mnakuwa kama vipofu pindi mkihitaji mikopo sijui shuleni mlifundishwa nini kima nyie mnaishi maisha ya hovyo kwa sababu mna makato mengi ya mikopo amambayo hatuoni uwekezaji wake
 
Mkopo wa bank ni faida kwa bank siku zote wanakwambia 18% ukija kupiga hesabu inakuwa umelipa 75 -80%, ila ndo hivyo ukiwa na shida utaenda mwenyewe
 
Tatizo nyie watumwa wa umma mnakuwa kama vipofu pindi mkihitaji mikopo sijui shuleni mlifundishwa nini kima nyie mnaishi maisha ya hovyo kwa sababu mna makato mengi ya mikopo amambayo hatuoni uwekezaji wake
Matusi hayo
 
Nimefoward


Kuna mzee mmoja kakopa crdb 30m kwa mshahara wake. Amekatwa kwenye mshahara wake wee mpaka kufika mwisho kajikuta amelipa 68m

[emoji2298] Tulishaambiwa riba ni haraam hatukomi....... Wangapi wamechkua overdraft (mikopo ya biashara) wameishia kuumbuka kwa kuuziwa nyumba zao walizoweka kama security!!!!!! Mungu Hadhihakiwi
 
[emoji2298] Tulishaambiwa riba ni haraam hatukomi....... Wangapi wamechkua overdraft (mikopo ya biashara) wameishia kuumbuka kwa kuuziwa nyumba zao walizoweka kama security!!!!!! Mungu Hadhihakiwi
Wapi wanatoa bila riba au faida tuende fasta
 

Sure!!! Mie naona kuna watu wanafanya vizuri kwa kukopa kwa zile taasisi za kukopesha like BRAC kuliko hata wanaokopa bank
 
Ndio maana pia nliamua kutochukua loan Baada y miaka kadhaa y mahangaiko n bayport
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…