winchester
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 247
- 250
Ningetegemea ungemsaidia hata kuweka screen shot ya hiyo Excell calculator but umeishia maneno matupu tuu, kiufupi hatuwezi kukuamini ukisemacho, tena yawezekana wewe ni mmoja wao huko bank.
Hiyo siyo formula inayotumika kwenye mikopo , sababu interest sio kila mwezi itapigiwa hesabu kwenye hela iliyochokuliwa mwanzoni mwa mkoponi milion 9 mkuu
interest=P×R×TView attachment 1650689
Historically banks zilianzishwa na kundi la mafias wkt wakitafuta njia za kuiba kihalali/kwa kutumia kalamu,so ukisema ni wezi wala hujakosea maana ndio asili yao.
Em wewe weka formula yako maana mimi hiyo sijaweka kwa mwezi niliweka kwa mwaka ndomana T niliweka 6 nikimaanisha miaka sita sio miezi 72Hiyo siyo formula inayotumika kwenye mikopo , sababu interest sio kila mwezi itapigiwa hesabu kwenye hela iliyochokuliwa mwanzoni mwa mkopo
Nafikiri alikuwa waziri piaKaramagi yule aliyekuwa mbunge wa Bukoba?
Huo mchanganuo uko sawa probably hayo makato ya mwezi wame-include na gharama nyingine za mkopo.Nimeenda benki fulani kwa uhitaji wa mkopo wa 8.4m wakanimbia riba 18%.
Baada ya kupewa makato yakawa 195,820 kwa mwezi kwa miaka 6. Sasa nawauliza mbona kiuhalisia sio 18% kama wanavyotuambia kwenye matangazo yao? Wanajibu kwa mujibu wa calculator yao ipo sahihi, hapa ina maana mpaka marejesho itakua ni 14,099,040 ndani ya miaka 6.
Hawa jamaa wanatumia formula gani kufanya calculations zao, kuna dalili ya wengi kupigwa maana kuna usiri mwingi sana. Ni vizuri ikawekwa wazi ili kabla hujaenda kuchukua mkopo ujue na marejesho yake yatakuwa vipi.
ni milion 9 mkuu
interest=P×R×TView attachment 1650689
Nimeenda benki fulani kwa uhitaji wa mkopo wa 8.4m wakanimbia riba 18%....
Basically waomba mikopo wengi huwa wapo too excited hata hawaombi kuprintiwa ile payment plan ili waidadavue kabla mtu hajaingia king mazimaWana aina flani ya uyapeli ndo maana hawaweki wazi mahesabu yao
TrueHuo mchanganuo uko sawa probably hayo makato ya mwezi wame-include na gharama nyingine za mkopo.
Formula waliyotumia ni REDUCING BALANCE METHOD....
Au kununua vitzHayo marejesho mbona hamna wizi hapo!?
Ujue hiyo million 8 kwenye biashara inaweza ikazalisha faida ya hadi 6M au hata zaidi!
Tatizo ni kwamba watu wanakopa wanaenda kufanya harusi na kula bata au kutatua matatizo ya kifamiliaa, hapo ni lazima uone bank ni wezi tu!
Matusi hayoTatizo nyie watumwa wa umma mnakuwa kama vipofu pindi mkihitaji mikopo sijui shuleni mlifundishwa nini kima nyie mnaishi maisha ya hovyo kwa sababu mna makato mengi ya mikopo amambayo hatuoni uwekezaji wake
Nimefoward
Kuna mzee mmoja kakopa crdb 30m kwa mshahara wake. Amekatwa kwenye mshahara wake wee mpaka kufika mwisho kajikuta amelipa 68m
Wapi wanatoa bila riba au faida tuende fasta[emoji2298] Tulishaambiwa riba ni haraam hatukomi....... Wangapi wamechkua overdraft (mikopo ya biashara) wameishia kuumbuka kwa kuuziwa nyumba zao walizoweka kama security!!!!!! Mungu Hadhihakiwi
18% ni kwa mwaka.
Ukikopa miaka 6 inakuwa 18%x6.
Binafsi sielewi inakuwaje mtu unakopa mkopo kwa muda mrefu hivyo ?
Key Points.
1. Kadri unavyokaa na pesa ya mkopo muda mrefu ndivyo Riba na pesa ya jumla ya marejesho itajavyokuwa kubwa.
( Umirudisha pesa yao mapema maana yake atakopeshwa mtu mwingine ).
2. Watu wengi wanapenda mikopo ya muda mrefu kwa kufurahia tu kiasi cha pesa watakachobaki nacho kwenye mshahara baada ya makato, bila kuangalia Total amount na muda wa malipo ).
Note: Kopa mkopo, lipa kwa maumivu ndani ya muda mfupi kadri uwezavyo, utalipa pesa kidogo.
Wapi wanatoa bila riba au faida tuende fasta