Nimeshindwa kushabikia mpira wa Tanzania

Nimeshindwa kushabikia mpira wa Tanzania

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Sijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa Tanzania naona kama uchafu Fulani hivi jumlisha na viwanja vyao wanavyochezea kama kwenye matuta ya viazi basi naona kama jalalani mfano hizi timu za simba na yanga naonaga watu wanabishana mpaka kutukanana na kununua vijezi vyao ambavyo ni fake

Wengine mpaka wanashindwa kuingiza pesa ila kusema ukweli sijatokea kuzielewa Mimi timu zangu ni arsenal ndio napendezwa na soka lao ila hapa bongo Sina timu aisee yaani ligi naiona kama uchafu hivi sijui nyie wenzangu
 
Sijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa tanzania naona kama uchafu Fulani hivi yaani hizi timu za simba na yanga naonaga watu wanabishana mpaka kutukanana na kununua vijezi ila kusema ukweli sijatokea kuzielewa Mimi timu zangu ni mbili tu duniani Fc Barcelona na Liverpool ndio napendezwa na soka lao ila hapa bongo Sina timu aisee yaani ligi naiona kama uchafu hivi sijui nyie wenzangu
Uchafu?
 
Sijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa tanzania naona kama uchafu Fulani hivi yaani hizi timu za simba na yanga naonaga watu wanabishana mpaka kutukanana na kununua vijezi ila kusema ukweli sijatokea kuzielewa Mimi timu zangu ni mbili tu duniani Fc Barcelona na Liverpool ndio napendezwa na soka lao ila hapa bongo Sina timu aisee yaani ligi naiona kama uchafu hivi sijui nyie wenzangu
Bora usiangalie
 
Wewe kama Mimi na nimejitahidi kuuelewa mpila wa bongo ilawapi

Lakini ata ivyo tatizo nalijua sababu nilianza kupenda mpila wa ulaya kabla wa bongo
Yaani mtu nikumuadisia anaweza kuona utani yaani nimejaribu kuangailia mechi za bongo misimu mingi Ili niwe nalikubali ila NIMESHINDWA aisee yaani nikitoka tu kuangalia game ya bongo halafu Liverpool au barcalona zikacheza naona kama nilikua naangalia uchafu Fulani hivi
 
Sijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa tanzania naona kama uchafu Fulani hivi yaani hizi timu za simba na yanga naonaga watu wanabishana mpaka kutukanana na kununua vijezi ila kusema ukweli sijatokea kuzielewa Mimi timu zangu ni mbili tu duniani Fc Barcelona na Liverpool ndio napendezwa na soka lao ila hapa bongo Sina timu aisee yaani ligi naiona kama uchafu hivi sijui nyie wenzangu
Baada ya kufurumushwa kwenye ule uzi wako wa kumtafutia mzungu mke ndio umeanza kutusema na mpira wetu?
 
Sijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa tanzania naona kama uchafu Fulani hivi yaani hizi timu za simba na yanga naonaga watu wanabishana mpaka kutukanana na kununua vijezi ila kusema ukweli sijatokea kuzielewa Mimi timu zangu ni mbili tu duniani Fc Barcelona na Liverpool ndio napendezwa na soka lao ila hapa bongo Sina timu aisee yaani ligi naiona kama uchafu hivi sijui nyie wenzangu
Mimi mpira sishabikii kabisaaaaaaa
 
Back
Top Bottom