Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Kweli aisee tumetofautianaMimi mpira sishabikii kabisaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aisee tumetofautianaMimi mpira sishabikii kabisaaaaaaa
Yah kaka nazikubali sana japokuwa Barcelona msimu uliopita wameniangusha sana ila tutaludi tu kwenye form.... Combination ya Lamal na Nico williams(anasajiliwa soon) itawalaza watu na viatu.Na wewe unashibikia hizi timu
Yaani sijawahi hisi raha yoyote kutazama mpira hata timu zenyewe sizifahamu na sijawahi bet 😂😂😂😂Kweli aisee tumetofautiana
Pia Mimi ndio timu pekee ninazozipenda duniani Liverpool na Barcelona kutoka moyoni kabisaYah kaka nazikubali sana japokuwa Barcelona msimu uliopita wameniangusha sana ila tutaludi tu kwenye form.... Combination ya Lamal na Nico williams(anasajiliwa soon) itawalaza watu na viatu.
Yaa ni kweli wapo watu wa aina Yako Mimi Kuna jamaa yangu anapenda basketball tuYaani sijawahi hisi raha yoyote kutazama mpira hata timu zenyewe sizifahamu na sijawahi bet 😂😂😂😂
Kwahiyo bongo ndio Kuna talent Sasa hivi kuzidi europe?Zamani ndo nilikuwa naipenda mpira wa Europe, maana zilikuwepo talent za maana
Ila Europe saiv stat ndo huyo Mpabe, vini, Saka, siwezi
Sisi tuliowaona akina zidane, canavaro, toto, de Lima, Dunga, jay jay, begkamp, gigs, ndo tuli enjoy European football
Angalau kidogo Yanga Kuna boli la maana.Kwahiyo bongo ndio Kuna talent Sasa hivi?
Hujui mpira kama unaona yanga Kuna bolo kuzidi ulayaAngalau kidogo Yanga Kuna boli la maana.
Yaani nikae nichek mechi staa wa team cole palmer?
We hujui mpiraHujui mpira kama unaona yanga Kuna bolo kuzidi ulaya
Wewe kweli hujielewi yaani kabisa unataka kufananisha huo uchafu wa yanga na ulaya yaani unasema ulaya hamna talent hivi unaakili timamu kweliWe hujui mpira
Sasa uko ULAYA unafurahia mpira Gani? Na talent hamna
We ndo mbumbumbu Sasa huko ULAYA Kuna Nini.Wewe kweli hujielewi yaani kabisa unataka kufananisha huo uchafu wa yanga na ulaya
MPILA NDO NINI?Wewe kama Mimi na nimejitahidi kuuelewa mpila wa bongo ilawapi
Lakini ata ivyo tatizo nalijua sababu nilianza kupenda mpila wa ulaya kabla wa bongo
Kaangalie nafasi ya timu iliyocheza na yanga kwenye ligi Yao ipo ya 15 halafu yanga ndio bingwa tanzania na kachezea kichapo halafu uje ufute huu ushuzi wako hapaWe ndo mbumbumbu Sasa huko ULAYA Kuna Nini.
Me nimeangalia mpira zamani.
Hapa bongo mpira inapigwa mzuri tu.
Tatizo nyie madogo mnadharau vya kwenu mnaona kila kitu kizuri kipo ULAYA
Tatzo bdo Africa tunafkra za utumwa sasa ata uspo shabikia kwa wengne npow tu ww unaona mpra wa bongo n mbaya sasa ww nan wakwenu anacheza uko ulaya au na we n unatuletea umalaya umalaya wa kzamanSijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa tanzania naona kama uchafu Fulani hivi juplisha na viwanja vyao wanavyochezea naona kama jalalani mfano hizi timu za simba na yanga naonaga watu wanabishana mpaka kutukanana na kununua vijezi wengine mpaka wanashindwa kuingiza pesa ila kusema ukweli sijatokea kuzielewa Mimi timu zangu ni mbili tu duniani Fc Barcelona na Liverpool ndio napendezwa na soka lao ila hapa bongo Sina timu aisee yaani ligi naiona kama uchafu hivi sijui nyie wenzangu
We unapima nafasi Yanga ukiwapeleka ULAYA waka enjoy manzingira, viwanja vizuri, mishahara we unadhani watakuwa hivi.Kaangalie nafasi ya timu iliyocheza na yanga kwenye ligi Yao ipo ya 15 halafu yanga ndio bingwa tanzania halafu uje ufute huu ushuzi wako hapa
Mzee Mimi sio jinga jinga kama wewe ambalo linashabikia timu za serikali ya ccm simba na yanga Mimi nafuata mpira mzuri tanzania mpira hamna ni uchafu wa jalalaniTatzo bdo Africa tunafkra za utumwa sasa ata uspo shabikia kwa wengne npow tu ww unaona mpra wa bongo n mbaya sasa ww nan wakwenu anacheza uko ulaya au na we n unatuletea umalaya umalaya wa kzaman
Nilifikiri kwamba kwa sababu tangu unaanza kuandika hujaweka alama yoyote ya uandishi basi angalau mwishoni utaweka kituo!Sijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa tanzania naona kama uchafu Fulani hivi juplisha na viwanja vyao wanavyochezea naona kama jalalani mfano hizi timu za simba na yanga naonaga watu wanabishana mpaka kutukanana na kununua vijezi wengine mpaka wanashindwa kuingiza pesa ila kusema ukweli sijatokea kuzielewa Mimi timu zangu ni mbili tu duniani Fc Barcelona na Liverpool ndio napendezwa na soka lao ila hapa bongo Sina timu aisee yaani ligi naiona kama uchafu hivi sijui nyie wenzangu
We unapima nafasi Yanga ukiwapeleka ULAYA waka enjoy manzingira, viwanja vizuri, mishahara we unadhani watakuwa hivi.
Saiv ULAYA hakuna talent na European football haivutii
Jibu swali timu iliyocheza na yanga ni ya 15 mbona imeichezeshea kichapo yanga ambayo bingwa sio unaniletea mifano ambayo haitotokea Sasa yanga ya tanzania uipeleke ulaya kufanya nini halafu soka la ulaya talent kibao sema wewe hujui mpiraWe unapima nafasi Yanga ukiwapeleka ULAYA waka enjoy manzingira, viwanja vizuri, mishahara we unadhani watakuwa hivi.
Saiv ULAYA hakuna talent na European football haivutii