Nimeshindwa kushabikia mpira wa Tanzania

Nimeshindwa kushabikia mpira wa Tanzania

Bongo Hakuna mpira Mzee ,kuna siasa na kujifurahisha ....

Imagine lazima uwe shabiki WA "Simba au Yanga "

Fala kabisa 😂

Tofauti na hapo ,watu wataaanza kukuuliza kwani unashabikia timu gani ukisema hata mashujaa ,hapo utatukanwa tusi moja hata shetan anaweza kusimama😂😂😂
Yaani unalazimisha kushabikia simba na yanga aisee mpira wa bingo ni uchafu sana tena ukisema mfano wewe ni azam utasikia jitu azam Haina mashabiki Sasa najiuliza unasemaje timu ya mpira Haina shabiki
 
Mzee Mimi sio jinga jinga kama wewe ambalo linashabikia timu za serikali ya ccm simba na yanga Mimi nafuata mpira mzuri tanzania mpira hamna ni uchafu wa jalalani
🤣🤣🤣 tengeneza yako ya Gen z uwenda ikawa nzr
 
Tatizo letu kubwa Watanzania hatupendi kusikia ukweli.
muulize Sheffield United tu kitimu kidogo england ambacho kipo ligi daraja la kwanza yaani sio ligi kuu atafananisha na timu Gani tanzania
 
Bw.mdogo unakimbiza kuandika thread.
Hongera kwa hilo, ila rekebisha uandishi wako.
 
Mimi mwenyewe mpira WA bongo siupendi kabisa ....

Quality mbaya ...

Viwanja vibaya ,vinavipara ....

Hata uchezaji Ni mbovu Hakuna vipaji kiufupi tunaforce ....

Nikitoka kwenye screen ya mpira WA ulaya ,ball la man city lilivokuwa linatembea kwenye kapeti aisee harafu ukarudi kwenye screen mpira WA kibongo sijui singida vs Yanga aiseee mpaka mood ya kuangalia mpira inaisha 😂...

Labda Kwa vile nimekuwa nikiangalia mpira WA ulaya Kwanza ,harafu ndio nikafata WA bongo ....
Hapa kuna aina mbili za watu kuna mpenzi wa mpira na shabiki wa mpira, mpenzi wa mpira huyu automatically anakuwa ni mlevi wa mpira haujalishi unachezwa na nani au na mazingira ya aina gani. Mara nyingi mpenzi wa mpira ameucheza huu mpira mitaani huko hivyo umwambii kitu kuhusu mpira iwe ni ndondo, ligi kuu, au mashindano yoyote yale kwake ni burudani.

Hawa mashabiki wa mpira ndio hawa sasa, tunaosikia wanaosema kuwa mechi ya ligi kuu ni takataka, hawa ni wale vijana waliojiona wamekulia maisha ya kiushua, mpira kuucheza hawaujui labda acheze play station. Na kutokana na mazingira ya geti kali kwao, hata mechi zile za mtaani kakosa kuangalia.
 
Hapa kuna aina mbili za watu kuna mpenzi wa mpira na shabiki wa mpira, mpenzi wa mpira huyu automatically anakuwa ni mlevi wa mpira haujalishi unachezwa na nani au na mazingira ya aina gani. Mara nyingi mpenzi wa mpira ameucheza huu mpira mitaani huko hivyo umwambii kitu kuhusu mpira iwe ni ndondo, ligi kuu, au mashindano yoyote yale kwake ni burudani.

Hawa mashabiki wa mpira ndio hawa sasa, tunaosikia wanaosema kuwa mechi ya ligi kuu ni takataka, hawa ni wale vijana waliojiona wamekulia maisha ya kiushua, mpira kuucheza hawaujui labda acheze play station. Na kutokana na mazingira ya geti kali kwao, hata mechi zile za mtaani kakosa kuangalia.
Wewe kweli kilaza kwahiyo hamna mchezaji wa kishua ambaye anapiga mpira kuliko wewe mvuta bangi wa mtaani Kwa akili Yako timamu halland ambaye amekua kishua na wewe nani anajua mpira unataka umdanganye nani hapa mpira hauna wakishua Wala wa mtaani anaeujua anaeujua tu
 
Sijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa tanzania naona kama uchafu Fulani hivi jumlisha na viwanja vyao wanavyochezea kama kwenye matuta ya viazi basi naona kama jalalani mfano hizi timu za simba na yanga naonaga watu wanabishana mpaka kutukanana na kununua vijezi vyao ambavyo ni fake wengine mpaka wanashindwa kuingiza pesa ila kusema ukweli sijatokea kuzielewa Mimi timu zangu ni mbili tu duniani Fc Barcelona na Liverpool ndio napendezwa na soka lao ila hapa bongo Sina timu aisee yaani ligi naiona kama uchafu hivi sijui nyie wenzangu
Lakini, kwa kawaida kushabiki jambo au kitu huwa ni mapenzi tu ya mtu husika, yaani hisia za ndani. Huwa huyu anapenda hiki, lakini yule hakipendi kabisa.

Ndiyo maana huitwa ni ushabiki, ni kama ambavyo wewe ulivyo shabiki wa huo mwandiko wako, japo hauna aya, nukta, mkato wala alama. Lakini, mwenyewe unaupenda.

Utashangaa anaweza kutokea mtu akauita huo mwandiko ni uchafu, ila bado mwenyewe unaupenda tu.

Ova
 
Lakini, kwa kawaida kushabiki jambo au kitu huwa ni mapenzi tu ya mtu husika, yaani hisia za ndani. Huwa huyu anapenda hiki, lakini yule hakipendi kabisa.

Ndiyo maana huitwa ni ushabiki, ni kama ambavyo wewe ulivyo shabiki wa huo mwandiko wako, japo hauna aya, nukta, mkato wala alama. Lakini, mwenyewe unaupenda.

Utashangaa anaweza kutokea mtu akauita huo mwandiko ni uchafu, ila bado mwenyewe unaupenda tu.

Ova
Mpira wa tanzania ni uchafu kama wa jalalani
 
Wewe kweli kilaza kwahiyo hamna mchezaji wa kishua ambaye anapiga mpira kuliko wewe mvuta bangi wa mtaani Kwa akili Yako timamu halland ambaye amekua kishua na wewe nani anajua mpira unataka umdanganye nani hapa mpira hauna wakishua Wala wa mtaani anaeujua anaeujua tu
Umesoma ukaelewa, au umekurupuka tu kujibu? Nimezungui shabiki vs mpenzi wa mpira. Halland ni mpenzi wa mpira na uwezi kusikia hata siku moja akatoa kauli kuwa mashindano ya sehemu fulani ni takataka.
 
Umesoma ukaelewa, au umekurupuka tu kujibu? Nimezungui shabiki vs mpenzi wa mpira. Halland ni mpenzi wa mpira na uwezi kusikia hata siku moja akatoa kauli kuwa mashindano ya sehemu fulani ni takataka.
Acha habari zako umesema wa mtaani ndio wanajua mpira nimekuuliza halland na wewe wa mtaani nani anajua mpira sio unaleta habari za mpenzi wa mpira upo moyoni mwake halland mpaka umsemee
 
Sijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa Tanzania naona kama uchafu Fulani hivi jumlisha na viwanja vyao wanavyochezea kama kwenye matuta ya viazi basi naona kama jalalani mfano hizi timu za simba na yanga naonaga watu wanabishana mpaka kutukanana na kununua vijezi vyao ambavyo ni fake

Wengine mpaka wanashindwa kuingiza pesa ila kusema ukweli sijatokea kuzielewa Mimi timu zangu ni mbili tu duniani Fc Barcelona na Liverpool ndio napendezwa na soka lao ila hapa bongo Sina timu aisee yaani ligi naiona kama uchafu hivi sijui nyie wenzangu
Eeh wacha wee!
 

Attachments

  • IMG_20240721_223411.jpg
    IMG_20240721_223411.jpg
    130.8 KB · Views: 1
Baada ya kufurumushwa kwenye ule uzi wako wa kumtafutia mzungu mke ndio umeanza kutusema na mpira wetu?
Hawa vijana wakikaa na wazungu siku mbili tatu kila kitu wanakidharau hapo subiri zitakuja nyuzi nyingi za uchafu..
 
Acha habari zako umesema wa mtaani ndio wanajua mpira nimekuuliza halland na wewe wa mtaani nani anajua mpira sio unaleta habari za mpenzi wa mpira upo moyoni mwake halland mpaka umsemee
Wewe kweli bogus, sasa kama Halland angekuwa sio mpenzi wa mpira, angeucheza? Mbona una akili ndogo kiasi hiki. Kuandika unaandika hovyo, kusoma nako na kuelewa hovyo, kufanya reasoning nako hovyo.
 
Wewe kweli bogus, sasa kama Halland angekuwa sio mpenzi wa mpira, angeucheza? Mbona una akili ndogo kiasi hiki. Kuandika unaandika hovyo, kusoma nako na kuelewa hovyo, kufanya reasoning nako hovyo.
Kwahiyo wewe nguchiro Kila anaecheza mpira ni mpenzi wa mpira hivi mbona akili Yako fupi sana
 
Back
Top Bottom