Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #101
Kwani Uzi unasomekaje au kusoma hujuiAnatuchanganya uyu kama kwake ni taka taka sisi ndio unatupa furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Uzi unasomekaje au kusoma hujuiAnatuchanganya uyu kama kwake ni taka taka sisi ndio unatupa furaha
Uliacha au hujui mpira? Wanaojua mpira wametokea huku huku kwenye matuta ya viazi ni mwisho wa siku wapo zao mbele.Ndio maana nikauacha sababu niliona ni takataka ya Hali ya juu yaani ni jalalani viwanja kama matuta ya viazi yaani ni vichekesho wachezaji wakiwa uwanjani kama wakulima
Wewe unaejua upo wapi mbona hatukujui hatukuoni huko mbele unapopazungumziaUliacha au hujui mpira? Wanaojua mpira wametokea huku huku kwenye matuta ya viazi ni mwisho wa siku wapo zao mbele.
Ingekuwa mchezo wa mpira una mentality kama yako, basi kusingekuwa na mashindano ya pamoja lakini ndio maana kuna world cup, kuna AFCON, kuna CAF champions league na FIFA club world cup. Hayo ni mashindano jumuishi, ingekuwa mpira una bagua basi kusingekuwa na mashindano yanawaleta mabara yote pamoja. Kuwa na akili dogo.
Ni takataka ukijiona unashabikia mpira wa tanzania ujue umefanywa zuzu na CCM kiufupi umasikini utaambatana nao mpaka kufa kwakoapo kwenye taka taka ungejaribu ata kulifanya ilo neno likawa kidogo laini kwa afya ya sisi tunaofatilia mpira wa tz🤣
Ndio maana nilikwambia hapo juu uwe na akili. Akili yako imelala sana, hata uwezo wa kuchanganua mambo hauna. Sasa unataka kunijua wakati humu watu tunatumia anonymous.Wewe unaojua upo wapi mbona hatukujui Bora Mimi nilieacha Toka utotoni
danganya maboya wenzio hujui mpira Wala nini na hata kuucheza hujawahi unataka uanze uongo wako hapa yaani mijitu ya jamii forum sijui kwanini haipendi kusema ukweliNdio maana nilikwambia hapo juu uwe na akili. Akili yako imelala sana, hata uwezo wa kuchanganua mambo hauna. Sasa unataka kunijua wakati humu watu tunatumia anonymous.
Kumbe hata wewe umeona yaani viwanja kama mashamba ya mpungaTatizo kubwa ni viwanja,Kuangalia mpira wa bongo inabidi uwe jasiri sana, soka halina mvuto wachezaji ni kama wanaruka ruka tu mpira hautulii chini yaan bora mpira umeingia tu kwenye wavu,
Dogo nenda pm kuna ujumbe wako kuleKweli aisee ngoja na Mimi niachane nao maana nimejilazimisha naona kama naangalia wakulima
Njoo pia ufurahie soka la marasta pale Stamford Bridge. VIVA CHELSEA [emoji91][emoji91][emoji91]Mimi nashabikia fc Barcelona na Liverpool
La Liga Haina quality yoyote,game hazitazamiki,Bora uangalie Brighton vs hull city kuliko Valencia vs Sevillatime has changed
kufatilia mpira Europe is not cool any more. unaonekana mtumwa tu.
sema its ur choice,
la liga has better football quality,
Tafuta helatime has changed
kufatilia mpira Europe is not cool any more. unaonekana mtumwa tu.
sema its ur choice,
la liga has better football quality,
Tafuta helaHata wengi tu wataona fikra zako pia ni uchafu.
Au we ndo mzee MAGOMA🤔
Unajitekenya afu unacheka kwa nguvu.
Yaah ni kweliNjoo pia ufurahie soka la marasta pale Stamford Bridge. VIVA CHELSEA [emoji91][emoji91][emoji91]
Dogo ni Likitumbua kabisa.Nilifikiri kwamba kwa sababu tangu unaanza kuandika hujaweka alama yoyote ya uandishi basi angalau mwishoni utaweka kituo!
Tafuta hela nyani weweDogo ni Likitumbua kabisa.