stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Utakatwa masikioTafuta hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakatwa masikioTafuta hela
Hamia ZanzibarYaani wanachambana tu hamna mpira
Yaani ni vitukoo ukiwaona wanavyobishana kuhusu hizo timu zao utacheka mtu amechoka kachakaa na maisha yaani kapauka ila kwenye ubishi wa simba na yanga hakubali kushindwa mtauana🤣🤣🤣🤣🤣Yani hata Gigy money anaweza tu kua msemaji wa team coz kitu muhimu ni ujue kuchamba tu.
Tafuta helaHamia Zanzibar
Tafuta helaUtakatwa masikio
Mpira wa Africa huwa unafatilia?Ligi imejaa mipasho zaidi kuliko mpira wenyewe uwanjani,
Mara sijui Manara,sijui Ali kamwe,mengi wanayo yaongea ni mipasho tu wala hayahusiani na mpira.
Sifuatilii.Mpira wa Africa huwa unafatilia?
Basi una sababu zako zingine binafsi na wala sio habari za mipasho.Sifuatilii.
Hayo wasema wewe.Basi una sababu zako zingine binafsi na wala sio habari za mipasho.
Kwahiyo unataka kusema umeshindwa kufatilia ligi ya Egypt kwasababu nawao wana mipasho? Hoja yako ni mfu.Hayo wasema wewe.
Ni wapi nimesema sifuatilii ligi ya Egypt coz ya mipasho? mbona unakua na akili za kijinga kiasi hicho? kwani una umri gani? isije ikawa napigizana kelele ka kitoto cha darasa la pili,Kwahiyo unataka kusema umeshindwa kufatilia ligi ya Egypt kwasababu nawao wana mipasho? Hoja yako ni mfu.
Hapo juu unesema kuwa haufatilii ligi ya kibongo sababu ya mipasho mingi. Nikakuuliza swali je ligi ya Misri unafatilia ukanijibu haufatilii. Nikakuuliza kama haufatilii hata ligi ya Misri basi una sababu zako zingine ukiachana na mipasho. Ukanijibu hayo umesema wewe. Sasa huoni unavyojichanganyaNi wapi nimesema sifuatilii ligi ya Egypt coz ya mipasho? mbona unakua na akili za kijinga kiasi hicho? kwani una umri gani? isije ikawa napigizana kelele ka kitoto cha darasa la pili,
Nafuatilia ligi za Europe na Brazil,usitake nifuatilie ligi ambazo unataka wewe,mipasho nimeongelea ligi ya Bongo,huko kwingine ninaweza nikawa na sababu zangu zingine,acha kukariri.
Kumbe hata hujui unasimamia nini!Hapo juu unesema kuwa haufatilii ligi ya kibongo sababu ya mipasho mingi. Nikakuuliza swali je ligi ya Misri unafatilia ukanijibu haufatilii. Nikakuuliza kama haufatilii hata ligi ya Misri basi una sababu zako zingine ukiachana na mipasho. Ukanijibu hayo umesema wewe. Sasa huoni unavyojichanganya
Kwahiyo Misri ipo Amerika Kusini?Kumbe hata hujui unasimamia nini!
Hakuna sehemu uliyoniuliza kua ligi ya Misri nafuatilia?
Umeuliza Mpira wa Afrika unafuatilia? angalia comment yako #148
Pia soma comment yangu #155 naona unaropoka tu kama vile umekate brake kwenye mteremko.
Wewe punguani nitolee stress zako za maisha yako hapa,umeuliza Africa kwa ujumla,hukutaja nchi,unaonekana akili zako zilisha ganda kitambo tu,hapa unaishia kuruka ruka tu,kwani Ligi ya Bongo haipo Afrika?Kwahiyo Misri ipo Amerika Kusini?
Yote kwa yote, wale wote ambao hawafuatilii mpira wa bongo na badala yake wanafuatilia ya ulaya tu, hao ni watoto waliozaliwa miaka ya hivi karibuni.Kumbe hata hujui unasimamia nini!
Hakuna sehemu uliyoniuliza kua ligi ya Misri nafuatilia?
Umeuliza Mpira wa Afrika unafuatilia? angalia comment yako #148
Pia soma comment yangu #155 naona unaropoka tu kama vile umekate brake kwenye mteremko.
Hayo ni mawazo ya kipumbavu sana kwa mtu anayejitambua,ligi ya Tz nilikua naifuatilia toka enzi zile inatangazwa rtd na kina Ahmed jongo na charles hilary,ila siku hizi upuuzi wa mipasho ndio umeleta vituko.Yote kwa yote, wale wote ambao hawafuatilii mpira wa bongo na badala yake wanafuatilia ya ulaya tu, hao ni watoto waliozaliwa miaka ya hivi karibuni.