Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Nizitafute mara ngapi,nipo nusu kwa nusuTafuta hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nizitafute mara ngapi,nipo nusu kwa nusuTafuta hela
Tafuta helaNizitafute mara ngapi,nipo nusu kwa nusu
Vituko vitupu lkn ndio nchi yetu hii, hakuna namnaPicha linaanza lazima ushabikie Simba au Yanga ...
Tanzania Hakuna mpira ,hata mashabiki Ni glory hunter tu ....
Ndio maana wanashabikia timu mbili tu zinazoshinda ,mbaya Zaidi hidi kiongozi WA nchi ambao wanamiliki club zingine ,unakuta wanapenda hizo timu🤔😂...
MTU anamiliki singida united lakin Ni shabiki WA Yanga ,...hii utaona bongo tu ,
,au kocha WA mtibwa sugar unakuta Ni shabiki WA Simba ...
Hapa ndio niliona mpira WA bongo Ni utapeli tu 😂
We Jamaa unataka tukutukane utusakazie ban au sio yaan unatutukania Nchi yetu Wewe raia wa Nchi gani?nikiangalia mpira wa Tanzania naona kama uchafu Fulani hivi jumlisha na viwanja vyao wanavyochezea kama kwenye matuta ya viazi
SijuiWe Jamaa unataka tukutukane utusakazie ban au sio yaan unatutukania Nchi yetu Wewe raia wa Nchi gani?
Tafuta helaUliyo andika hapa ndio uchafu wenyewe sasa taka taka za jalalani kabisa
Ushazoe kukaakaa Jikoni na Beki 3 wenu haya ndio madhara yake sasa, wamama msiruhusu watoto wenu wa kiume wakaekae Jikoni na mabeki 3 wenu mnaharibu watoto ona sasa hiiSijui
Ukweli usemwee ligi ya tanzania ni uchafu takatakaHata mimi nimeshindwa kabisa hiyo kitu. Ikitokea nimeangalia labda nipo mahali na washkaji halafu muda huo game ya bongo ipo on TV.
Ila siwezi kuwasha TV yangu au kwenda mahali kuangalia mechi za kibongo. Bora nilale tu.
Sikujua km na Wewe ndio wale wale nimekuvuaHata mimi nimeshindwa kabisa hiyo kitu. Ikitokea nimeangalia labda nipo mahali na washkaji halafu muda huo game ya bongo ipo on TV.
Ila siwezi kuwasha TV yangu au kwenda mahali kuangalia mechi za kibongo. Bora nilale tu.
Kama umeshazoea kuangalia game za leagues za Ulaya ukiangalia mipira ya bongo utachukia sana. Sijui huwa watu wanaenjoy nini.
Ligi imejaa mipasho zaidi kuliko mpira wenyewe uwanjani,Ukweli usemwee ligi ya tanzania ni uchafu takataka
Yaani wanachambana tu hamna mpiraLigi imejaa mipasho zaidi kuliko mpira wenyewe uwanjani,
Mara sijui Manara,sijui Ali kamwe,mengi wanayo yaongea ni mipasho tu wala hayahusiani na mpira.
Tafuta helaSikujua km na Wewe ndio wale wale nimekuvua
Mtaacha lini lakini hizi tabia nyinyi wakina Mauzinde?Tafuta hela
Tafuta helaMtaacha lini lakini hizi tabia nyinyi wakina Mauzinde?
Ni sawa na mtu umetoka kula Biriani halafu ukaribishwe ugali wa sembe na pilipili hoho.Hata mimi nimeshindwa kabisa hiyo kitu. Ikitokea nimeangalia labda nipo mahali na washkaji halafu muda huo game ya bongo ipo on TV.
Ila siwezi kuwasha TV yangu au kwenda mahali kuangalia mechi za kibongo. Bora nilale tu.
Kama umeshazoea kuangalia game za leagues za Ulaya ukiangalia mipira ya bongo utachukia sana. Sijui huwa watu wanaenjoy nini.
Wewe wa kuponda Taifa lako na vyote vilivyomo alafu unaishi TandaleTafuta hela
Tafuta helaWewe wa kuponda Taifa lako na vyote vilivyomo alafu unaishi Tandale
Yani hata Gigy money anaweza tu kua msemaji wa team coz kitu muhimu ni ujue kuchamba tu.Yaani wanachambana tu hamna mpira