Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Ukweli upi kujielewa ndio maana yake nini mzee wa Yombo reliniKwahiyo kusema ukweli ndio Dharau hivi unajielewa kweli wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli upi kujielewa ndio maana yake nini mzee wa Yombo reliniKwahiyo kusema ukweli ndio Dharau hivi unajielewa kweli wewe
Ndio, labda unitajie wachezaji waliolazimishwa kucheza mpira kwa viboko.Kwahiyo wewe nguchiro Kila anaecheza mpira ni mpenzi wa mpira
Una miaka mingapi tokea utoke Tanzania?Nishatoka tanzania Mzee siishi tanzania mzee usinipake mavi ya hiyo nchi nimeshakuambia mikosi ya huko
Kwahiyo usipocheza mpira unakua sio mpenzi wa mpiraNdio, labda unitajie wachezaji waliolazimishwa kucheza mpira kwa viboko.
Siku 3Una miaka mingapi tokea utoke Tanzania?
Kabla ya kukujibu hilo swali, naomba kwanza unitajie wachezaji wanaocheza mpira huku wakiwa hawana mapenzi na mpira. Kama hauna list ya wachezaji maanake umekubali kuwa wote wanaocheza mpira ni wapenzi wa mpira.Kwahiyo usipocheza mpira unakua sio mpenzi wa mpira
Hivi unaakili kweli Kuna mwanaume asiecheza mpira duniani hapa kwenye makuzi yakeKabla ya kukujibu hilo swali, naomba kwanza unitajie wachezaji wanaocheza mpira huku wakiwa hawana mapenzi na mpira. Kama hauna list ya wachezaji maanake umekubali kuwa wote wanaocheza mpira ni wapenzi wa mpira.
Wewe umeongea ukweliWachezaji wa Tanzania hawana elimu ya kutosha na vipaji juu ya kucheza huo mchezo. Ukilinganisha na Europe utaona kabisa wachezaji wa huku ni pure amateurs.
Wapo wengi tu mfano mmoja wapo ni wewe? wewe mpira hukucheza.Hivi unaakili kweli Kuna mwanaume asiecheza mpira duniani hapa kwenye makuzi yake
Wewe ni mama yangu ningekua sijacheza ningesema mpira wa tanzania takataka sababu hauna vigezo vya football hivi unaakili timamuWapo wengi tu mfano mmoja wapo ni wewe? wewe mpira hukucheza.
Kama ulicheza mpira ulichezea ulaya?Wewe ni mama yangu
Nimekuuliza wewe ni mama yangu mpaka unasema sikucheza mpira jibu swali sio unaniuliza maswali mengineKama ulicheza mpira ulichezea ulaya?
Halafu Kuna jitu linakaa kabisa linafananisha mpira wa bongo na ulaya nahisi akili za muafrica hua zinapunguaPicha linaanza lazima ushabikie Simba au Yanga ...
Tanzania Hakuna mpira ,hata mashabiki Ni glory hunter tu ....
Ndio maana wanashabikia timu mbili tu zinazoshinda ,mbaya Zaidi hidi kiongozi WA nchi ambao wanamiliki club zingine ,unakuta wanapenda hizo timu🤔😂...
MTU anamiliki singida united lakin Ni shabiki WA Yanga ,...hii utaona bongo tu ,
,au kocha WA mtibwa sugar unakuta Ni shabiki WA Simba ...
Hapa ndio niliona mpira WA bongo Ni utapeli tu 😂
Una option mbili ya kukataa kuwa mpira hukuucheza au uliucheza. Na kama ulicheza basi ni wazi unakiri kuwa nawewe ni takataka vile vile kwasababu umecheza mpira wa kibongo ambao unasema ni takataka. Nimekuanzia mbali na mwisho nimekuleta kwenye kibano. Mpuuzi weweNimekuuliza wewe ni mama yangu mpaka unasema sikucheza mpira jibu swali sio unaniuliza maswali mengine
Kujifanya unapenda Ligi za watu na kuacha kushabikia vya nyumbani kwako ko Ushamba na UlimbukeniYaani naonaga kama takataka nimeshajilazimisha sana kupenda soka la bongo ila moyo ndio unakataa aisee
Ndio maana nikauacha sababu niliona ni takataka ya Hali ya juu yaani ni jalalani viwanja kama matuta ya viazi yaani ni vichekesho wachezaji wakiwa uwanjani kama wakulimaUna option mbili ya kukataa kuwa mpira hukuucheza au uliucheza. Na kama ulicheza basi ni wazi unakiri kuwa nawewe ni takataka vile vile kwasababu umecheza mpira wa kibongo ambao unasema ni takataka. Nimekuanzia mbali na mwisho nimekuleta kwenye kibano. Mpuuzi wewe
Anatuchanganya uyu kama kwake ni taka taka sisi ndio unatupa furahaKujifanya unapenda Ligi za watu na kuacha kushabikia vya nyumbani kwako ko Ushamba na Ulimbukeni