Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,710
- 2,951
Habarini za asubuhi waungwana.
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.
Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.
Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.
Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.
NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.
Ahsanteni.
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.
Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.
Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.
Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.
NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.
Ahsanteni.