Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

Peril22

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
1,710
Reaction score
2,951
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.

Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.

NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
 
Unataka ukimbie majukumu. Baba sio jina la ubatizo baba ni majukumu.
Mkiwakimbia wakifanikiwa mnaanza oo huyu ni mtoto wangu hanitunzi we ulimtunza. Upendo unajengwa hauoti tu kama magugu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Huyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi kwangu, nikakubali. Akalazimisha nitoke kazini nikaishi nae au nihakikishe Kila baada ya wiki naenda kumuona kitu ambacho hakiwezekani Kwa mazingira ya kazi yangu. Hapo ndipo mtiti uliopoanza.

Akaanza kwenda Kwa waganga usiku na mchana. Huko akaambiwa Mimi Nina mke na watoto wawili ndio maana siendi kwake muda mwingi nipo Kwa hiyo mke wangu(kifupi Mimi sijawahi kuoa na hiyo mtoto wake ndio mtoto wangu wa kwanza).

Ikafika kipindi akahamia kabisa Kwa huyo sijui ndo ostadh sijui vitu gani Kila siku ni kupigwa Dua ili nirudishe mapenzi kwake niachane na huyo anaedai ni mke wangu. Kwangu nikawa nachukulia Kama ujinga flan tu. Mambo ni mengi mkuu.
 
Hivi mnajua mngekuwa mnatumia kinga hadi pale mtakapokomaa akili ingekuwa poa sana na mngeiepusha dunia na matatizo mengi sana!!

Au kama vipi kuna wenzio wako kwa sijui NOFAP huko, ungejiunga nao ingekuwa fureeesh kweli.
Kwakweli hapa nilifanya kosa kubwa linalonigharimu pakubwa kiongozi.
 
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Back to the point,
nimebahatika kupata mtoto na Sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu TOTALY isiwepo hata chembe ya mawasiliano. Jeh inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini Cha kufanya coz nipo mwisho.

NB
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na Mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa Kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
Kamchukue muishi pamoja tafadhali, all will be well, hujui huko aliko anapitia mangapi magumu
 
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Back to the point,
nimebahatika kupata mtoto na Sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu TOTALY isiwepo hata chembe ya mawasiliano. Jeh inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini Cha kufanya coz nipo mwisho.

NB
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na Mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa Kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi kwangu, nikakubali. Akalazimisha nitoke kazini nikaishi nae au nihakikishe Kila baada ya wiki naenda kumuona kitu ambacho hakiwezekani Kwa mazingira ya kazi yangu. Hapo ndipo mtiti uliopoanza.

Akaanza kwenda Kwa waganga usiku na mchana. Huko akaambiwa Mimi Nina mke na watoto wawili ndio maana siendi kwake muda mwingi nipo Kwa hiyo mke wangu(kifupi Mimi sijawahi kuona na hiyo mtoto wake ndio mtoto wangu wa kwanza).

Ikafika kipindi akahamia kabisa Kwa huyo sijui ndo ostadh sijui vitu gani Kila siku ni kupigwa Dua ili nirudishe mapenzi kwake niachane na huyo anaedai ni mke wangu. Kwangu nikawa nachukulia Kama ujinga flan tu. Mambo ni mengi mkuu.
Duh hapa ulifanya haraka, wanawake wengine ni for Public Consumption only
 
Huyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi
Mwanajeshi wewe😂😂
 
Huyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi kwangu, nikakubali. Akalazimisha nitoke kazini nikaishi nae au nihakikishe Kila baada ya wiki naenda kumuona kitu ambacho hakiwezekani Kwa mazingira ya kazi yangu. Hapo ndipo mtiti uliopoanza.

Akaanza kwenda Kwa waganga usiku na mchana. Huko akaambiwa Mimi Nina mke na watoto wawili ndio maana siendi kwake muda mwingi nipo Kwa hiyo mke wangu(kifupi Mimi sijawahi kuona na hiyo mtoto wake ndio mtoto wangu wa kwanza).

Ikafika kipindi akahamia kabisa Kwa huyo sijui ndo ostadh sijui vitu gani Kila siku ni kupigwa Dua ili nirudishe mapenzi kwake niachane na huyo anaedai ni mke wangu. Kwangu nikawa nachukulia Kama ujinga flan tu. Mambo ni mengi mkuu.
Mchane ukweli asipobadilika weka tinted kabisa usitoe hata mia, kesi itapelekwa ustawi wa jamii halafu kule ndio utatoa kiasi mlichokubaliana.
 
Acha kutoa huduma, atakupeleka ustawi wa jamii, huko unaenda kumuua nyani bila kumuangalia usoni, duniani hapa mtu akikuletea fyongo na wewe nenda nae hvyo hvyo haya mambo ya kusema tuna mtoto sijui nini yanawatesa wengi
 
Story ipo nusu sasa hilo tatizo la kukushauri lipo wapi hapo?

Ila usimuache mtoto wako wala usije ukakubali alelewe na baba mwingine lazima baadae ujutie
 
Mke mwema hutoka kwa Bwana,hii dandia yetu hovyo ndio mara nyingi inatufikisha kwenye mambo kama haya,sasa tayari umeshanasa,ukisikia wanandoa inatakiwa mvumiliane ni mambo kama hayo,umeshayaingia maji mkuu sharti uyaoge...
 
Huyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi kwangu, nikakubali. Akalazimisha nitoke kazini nikaishi nae au nihakikishe Kila baada ya wiki naenda kumuona kitu ambacho hakiwezekani Kwa mazingira ya kazi yangu. Hapo ndipo mtiti uliopoanza.

Akaanza kwenda Kwa waganga usiku na mchana. Huko akaambiwa Mimi Nina mke na watoto wawili ndio maana siendi kwake muda mwingi nipo Kwa hiyo mke wangu(kifupi Mimi sijawahi kuona na hiyo mtoto wake ndio mtoto wangu wa kwanza).

Ikafika kipindi akahamia kabisa Kwa huyo sijui ndo ostadh sijui vitu gani Kila siku ni kupigwa Dua ili nirudishe mapenzi kwake niachane na huyo anaedai ni mke wangu. Kwangu nikawa nachukulia Kama ujinga flan tu. Mambo ni mengi mkuu.
Hatari sana

Pole mkuu ila huyo mwanamke wako ana matatizo ya akili in short umeyavaa makurumbembe sasa unakipata kimbembe

Yaan nikiisoma story yako nakosa kwa kuanzia nakosa kwa kumalizia ninachoona umeingia kwenye mahusiano na mjinga/kichaa mmoja kisha mbaya zaidi ukamtia na mimba kabisa hilo ndio kosa ulilolifanya

Cha kukushauri usimuusimuache maana wanasema 'anaetaka kitambi acha kimtambie mwenyewe', wewe ulitaka kitambi ukamtomba ukamjaza ndani kikaja kitambi sasa kile kitambi ulichokitaka kinakutambia wewe mwenyewe

Ushaelewa?

Huo mzigo ni wako anachotakiwa kufanya kwa huyo mwanamke wako ambae mimi namuona chizi fresh au chizi maarifa (ashakhum sio matusi) anataka ukaribu wako kwake yaan wewe uwe beneath nae kwa kila kitu na kila Jambo

Nitarudi tena kuja kumalizia..
 
Mke mwema hutoka kwa Bwana,hii dandia yetu hovyo ndio mara nyingi inatufikisha kwenye mambo kama haya,sasa tayari umeshanasa,ukisikia wanandoa inatakiwa mvumilianae ni mambo kama hayo,umeshayaingia maji mkuu sharti uyaoge...
Kifupi sisi sio wanandoa mkuu. Ni kwamba nimempa mimba na tukakubaliana nitamtunza mpaka mtoto akifika umri wa kwenda shule namchukua mtoto maisha mengine yanaendelea.

Mahusiano Mimi na yeye yamekoma tangu akiwa na mimba ya miezi minne baada ya kuona mambo yanakuwa mengi Mimi nikabaki kumhudumia tu
 
Hatari sana

Pole mkuu ila huyo mwanamke wako ana matatizo ya akili in short umeyavaa makurumbembe sasa unakipata kimbembe

Yaan nikiisoma story yako nakosa kwa kuanzia nakosa kwa kumalizia ninachoona umeingia kwenye mahusiano na mjinga/kichaa mmoja kisha mbaya zaidi ukamtia na mimba kabisa hilo ndio kosa ulilolifanya

Cha kukushauri usimuusimuache maana wanasema 'anaetaka kitambi acha kimtambie mwenyewe', wewe ulitaka kitambi ukamtomba ukamjaza ndani kikaja kitambi sasa kile kitambi ulichokitaka kinakutambia wewe mwenyewe

Ushaelewa?

Huo mzigo ni wako anachotakiwa kufanya kwa huyo mwanamke wako ambae mimi namuona chizi fresh au chizi maarifa (ashakhum sio matusi) anataka ukaribu wako kwake yaan wewe uwe beneath nae kwa kila kitu na kila Jambo

Nitarudi tena kuja kumalizia..
Aisee nimekubali, unaweza kujitunza, ukawa smart katika Kila ufanyalo ila ukaja kujaa sehemu ya kifala sana.
 
Back
Top Bottom