Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Kama nchi Hadi kufikia mwaka huu 2022 Waziri anaweza kumzui Naibu Waziri kufanya kazi au Katibu Mkuu kuficha Fedha Waziri asilipwe na ikawa agenda basi tuna safari ndefu. Waziri unapitisha Fedha Bungeni bila kuwa na mamlaka na Fedha?
Naibu Waziri unapijibu majibu Bungeni kumbe hata haki na stahiki zako hazipo well defined? Nani wakufikiri na kutatua matatizo yenu? Mnalogana kisa per diem?
Kazi hazifanyiki kisa per diem? Then mnatuambua mnamwamini Mungu? Ladhani Kwa situation hii abayo JK amewahi kuikemea, JPM akakemea na Mama amekemea na Bado mnaendelea kubaini tu Kwa mfumo wa Sasa siyo rafiki kwenu wala kwetu.
Msipokibali kufumua mtaishia kulogana na kuuwama Kisha mnaacha pesa na madaraka mliyoshindwa kuyawekea mfumo
Nchi ina Mawaziri wachawi Karne hii? Wananchi tunaongozwa na wachacwi na tunasubiri maendeleo? We will never develope or rise from poverty if we continue believing nguvu za Giza.
Naibu Waziri unapijibu majibu Bungeni kumbe hata haki na stahiki zako hazipo well defined? Nani wakufikiri na kutatua matatizo yenu? Mnalogana kisa per diem?
Kazi hazifanyiki kisa per diem? Then mnatuambua mnamwamini Mungu? Ladhani Kwa situation hii abayo JK amewahi kuikemea, JPM akakemea na Mama amekemea na Bado mnaendelea kubaini tu Kwa mfumo wa Sasa siyo rafiki kwenu wala kwetu.
Msipokibali kufumua mtaishia kulogana na kuuwama Kisha mnaacha pesa na madaraka mliyoshindwa kuyawekea mfumo
Nchi ina Mawaziri wachawi Karne hii? Wananchi tunaongozwa na wachacwi na tunasubiri maendeleo? We will never develope or rise from poverty if we continue believing nguvu za Giza.