Nimeshtusha kusikia Mawaziri na Manaibu Waziri wanalogana na kuchukiana kisa safari za Mikoani kuja kutafuta namna yakuwatumbua wasio na hatia

Nimeshtusha kusikia Mawaziri na Manaibu Waziri wanalogana na kuchukiana kisa safari za Mikoani kuja kutafuta namna yakuwatumbua wasio na hatia

Kama nchi Hadi kufikia mwaka huu 2022 Waziri anaweza kumzui Naibu Waziri kufanya kazi au Katibu Mkuu kuficha Fedha Waziri asilipwe na ikawa agenda basi tuna safari ndefu. Waziri unapitisha Fedha Bungeni bila kuwa na mamlaka na Fedha? Naibu Waziri unapijibu majibu Bungeni kumbe hata haki na stahiki zako hazipo well defined? Nani wakufikiri na kutatua matatizo yenu? Mnalogana kisa per diem? Kazi hazifanyiki kisa per diem? Then mnatuambua mnamwamini Mungu? Ladhani Kwa situation hii abayo JK amewahi kuikemea, JPM akakemea na Mama amekemea na Bado mnaendelea kubaini tu Kwa mfumo wa Sasa siyo rafiki kwenu wala kwetu. Msipokibali kufumua mtaishia kulogana na kuuwama Kisha mnaacha pesa na madaraka mliyoshindwa kuyawekea mfumo

Nchi ina Mawaziri wachawi Karne hii? Wananchi tunaongozwa na wachacwi na tunasubiri maendeleo? We will never develope or rise from poverty if we continue believing nguvu za Giza.
Bora walogane lakini hili la KULA ILA WASIVIMBEWE ni UHAINI KWA TAIFA.
 
Usishangae wala kushtuka kwani haya mambo yako wazi kabisa labda husomi sana na kufuatilia mambo yao

Wakati wa kampeni mbona mpaka mbunge miaka ya nyuma alionekana akizunguka Mbuyu uchi huku V8 ime park pembeni?

Hawa wanatafuta ulozi na kulrogana kila siku na wanaliwa hela zao kibao na kina hadi
 
Nenda Moro goro maporini huko utakuta V8 zimetulia unaweza kusema zimeporwa njia kumbe zipo kwa mganga
 
Kama nchi Hadi kufikia mwaka huu 2022 Waziri anaweza kumzui Naibu Waziri kufanya kazi au Katibu Mkuu kuficha Fedha Waziri asilipwe na ikawa agenda basi tuna safari ndefu. Waziri unapitisha Fedha Bungeni bila kuwa na mamlaka na Fedha? Naibu Waziri unapijibu majibu Bungeni kumbe hata haki na stahiki zako hazipo well defined? Nani wakufikiri na kutatua matatizo yenu? Mnalogana kisa per diem? Kazi hazifanyiki kisa per diem? Then mnatuambua mnamwamini Mungu? Ladhani Kwa situation hii abayo JK amewahi kuikemea, JPM akakemea na Mama amekemea na Bado mnaendelea kubaini tu Kwa mfumo wa Sasa siyo rafiki kwenu wala kwetu. Msipokibali kufumua mtaishia kulogana na kuuwama Kisha mnaacha pesa na madaraka mliyoshindwa kuyawekea mfumo

Nchi ina Mawaziri wachawi Karne hii? Wananchi tunaongozwa na wachacwi na tunasubiri maendeleo? We will never develope or rise from poverty if we continue believing nguvu za Giza.
Umenikumbusha mbali. Alipata kusema mmoja wa viongozi wetu waandamizi "Watu wananisakama sana lakini nimegundua wanachotaka ni cheo changu. Basi kama ni hivyo mimi naachia ngazi" Hapo yakafuata makofi ya kushangilia uamuzi huo.
 
Hilo ni ajabu la dunia.

Waziri unakuwa mchawi,

Yawezekana ni kweli sasa inakuwaje mpaka kule juu wakiri hizi imani mbovu.

Au wanataka kusema mwendazake naye alirogwa,
 
Kama nchi Hadi kufikia mwaka huu 2022 Waziri anaweza kumzui Naibu Waziri kufanya kazi au Katibu Mkuu kuficha Fedha Waziri asilipwe na ikawa agenda basi tuna safari ndefu. Waziri unapitisha Fedha Bungeni bila kuwa na mamlaka na Fedha? Naibu Waziri unapijibu majibu Bungeni kumbe hata haki na stahiki zako hazipo well defined? Nani wakufikiri na kutatua matatizo yenu? Mnalogana kisa per diem? Kazi hazifanyiki kisa per diem? Then mnatuambua mnamwamini Mungu? Ladhani Kwa situation hii abayo JK amewahi kuikemea, JPM akakemea na Mama amekemea na Bado mnaendelea kubaini tu Kwa mfumo wa Sasa siyo rafiki kwenu wala kwetu. Msipokibali kufumua mtaishia kulogana na kuuwama Kisha mnaacha pesa na madaraka mliyoshindwa kuyawekea mfumo

Nchi ina Mawaziri wachawi Karne hii? Wananchi tunaongozwa na wachacwi na tunasubiri maendeleo? We will never develope or rise from poverty if we continue believing nguvu za Giza.
Naomba kuuliza......Hivi Wizara haiwezi kuongozwa na Makatibu Wakuu tu, mpaka kuwa na Waziri na Naibu Waziri ambao wakati mwingine hata hawana weledi/vigezo/ujuzi/maarifa na uzoefu wa Wizara husika? Tukiwa tunajipambanua kujenga nchi, kwanini tusipunguze gharama kama hizo za kuwa na utitiri wa Mawaziri?

Nadhani kama Nchi tutafute mfumo utakao tutoa hapa tulipo na kutupeleka mbali na kwa haraka. Naomba mnijuze umuhimu wa Mawaziri....
 
Hilo ni ajabu la dunia.

Waziri unakuwa mchawi,

Yawezekana ni kweli sasa inakuwaje mpaka kule juu wakiri hizi imani mbovu.

Au wanataka kusema mwendazake naye alirogwa,
Mawaziri wote na wabunge washirikina vibaya sana yaani ni machawii[emoji2]
 
Suala la uchawi ni la dunia nzima.. cha msingi mawaziri wazingatie wanachohitajika kufanya. Kama ni uchawi kila mtu ni mchawi

Unaendekeza ushirikina hadi unadhani kila mtu ni mchawi kama wewe!
 
Kama nchi Hadi kufikia mwaka huu 2022 Waziri anaweza kumzui Naibu Waziri kufanya kazi au Katibu Mkuu kuficha Fedha Waziri asilipwe na ikawa agenda basi tuna safari ndefu. Waziri unapitisha Fedha Bungeni bila kuwa na mamlaka na Fedha? Naibu Waziri unapijibu majibu Bungeni kumbe hata haki na stahiki zako hazipo well defined? Nani wakufikiri na kutatua matatizo yenu? Mnalogana kisa per diem? Kazi hazifanyiki kisa per diem? Then mnatuambua mnamwamini Mungu? Ladhani Kwa situation hii abayo JK amewahi kuikemea, JPM akakemea na Mama amekemea na Bado mnaendelea kubaini tu Kwa mfumo wa Sasa siyo rafiki kwenu wala kwetu. Msipokibali kufumua mtaishia kulogana na kuuwama Kisha mnaacha pesa na madaraka mliyoshindwa kuyawekea mfumo

Nchi ina Mawaziri wachawi Karne hii? Wananchi tunaongozwa na wachacwi na tunasubiri maendeleo? We will never develope or rise from poverty if we continue believing nguvu za Giza.
Nilijua sisi tu ndio tuna njaa kumbe hadi mawaziri?
 
Aliyegundua kuna wachawi lazima ana imani za kichawi. Period!
Uchawi ni kitu cha mwisho kabisa mtu kukiamini. Yaani hata mazingaobwe yanatazamwa kama uchawi.
Waganga na wakemea pepo wanazidi kupata nguvu... Huku watu wakiwauwa ngugu kijinga kwa imani ni wachawi
 
Naomba kuuliza......Hivi Wizara haiwezi kuongozwa na Makatibu Wakuu tu, mpaka kuwa na Waziri na Naibu Waziri ambao wakati mwingine hata hawana weledi/vigezo/ujuzi/maarifa na uzoefu wa Wizara husika? Tukiwa tunajipambanua kujenga nchi, kwanini tusipunguze gharama kama hizo za kuwa na utitiri wa Mawaziri?

Nadhani kama Nchi tutafute mfumo utakao tutoa hapa tulipo na kutupeleka mbali na kwa haraka. Naomba mnijuze umuhimu wa Mawaziri....
Tubadili katiba ili hilo litokee ila nakuhakikishia kabla ya mswada hujauwakilisha mjengoni utakuwa umesharogwa....
 
Suala la uchawi ni la dunia nzima.. cha msingi mawaziri wazingatie wanachohitajika kufanya. Kama ni uchawi kila mtu ni mchawi
Dunia gani unayo zungumzia uchawi wa karne ya 21 ni technology angalia vituo vya anga za mbali ISS wanasayansi wakifanya uchawi wa kuzunguka Dunia kwa dk 90 nyie mumewekeza kwenye ulozi wa karne ya 7, mnategemea maendele kwa akili hizi,maendeleo mtayaona kwenye move ukiona mtu kawekeza kwenye uchawi ujue elimu yake na upeo wake ni ndogo sana
 
Back
Top Bottom