Nimeshtushwa na maneno ya msingi sana ya Biblia Takatifu!!

Nimeshtushwa na maneno ya msingi sana ya Biblia Takatifu!!

kissa anyigulile

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
1,550
Reaction score
1,742
Baada ya kuona mwaka 2021 umemalizika, na muda mrefu sana sijajihusisha na mambo ya dini, nikatahayari sana.
Asubuhi mapema nikatafuta boksi langu ninalotunzia vitabu vyangu vya dini.
Nikapekuapekua, paap!, nikakutana na Biblia kubwa kabisa nyeusi nilipewaga na mama yangu.
Nikafumba macho. Nikafunua paap! katikati. Macho yangu yakaangukia maneno yafuatayo:
"Siku za miaka yetu ni miaka sabini,
Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini;
Na kiburi chake ni taabu na ubatili,
Maana chapita upesi tukatokomea Mara."
Daa! Nika- Google, nikatambua kitabu hicho kiliandikwa 460 B. C. E (miaka 2,480 hivi iliyopita)
Sasa nimebaki najiuliza, kama mambo yako wazi hivi kwa muda mrefu hivyo, kwa nini binadamu tunahangaikia sana maisha kiasi cha kutoana uhai? (kitabu ni Zaburi ya 90, 10 Union version)
 
Baada ya kuona mwaka 2021 umemalizika, na muda mrefu sana sijajihusisha na mambo ya dini, nikatahayari sana.
Asubuhi mapema nikatafuta boksi langu ninalotunzia vitabu vyangu vya dini.
Nikapekuapekua, paap!, nikakutana na Biblia kubwa kabisa nyeusi nilipewaga na mama yangu.
Nikafumba macho. Nikafunua paap! katikati. Macho yangu yakaangukia maneno yafuatayo:
"Siku za miaka yetu ni miaka sabini,
Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini;
Na kiburi chake ni taabu na ubatili,
Maana chapita upesi tukatokomea Mara."
Daa! Nika- Google, nikatambua kitabu hicho kiliandikwa 460 B. C. E (miaka 2,480 hivi iliyopita)
Sasa nimebaki najiuliza, kama mambo yako wazi hivi kwa muda mrefu hivyo, kwa nini binadamu tunahangaikia sana maisha kiasi cha kutoana uhai? (kitabu ni Zaburi ya 90, 10 Union version)
Soma kitabu cha Mithali kuna vitu vyakujenga sana ufahamu na maarifa makubwa ndani yetu,na kwa ujumla vitabu vyote vya Neno la Mungu hutupa kujua na kujifunza mengi sana ni muhimu kuwajengea mfumo vijana wetu hata watoto zetu kusoma sana vitabu hivyo
 
Baada ya kuona mwaka 2021 umemalizika, na muda mrefu sana sijajihusisha na mambo ya dini, nikatahayari sana.
Asubuhi mapema nikatafuta boksi langu ninalotunzia vitabu vyangu vya dini.
Nikapekuapekua, paap!, nikakutana na Biblia kubwa kabisa nyeusi nilipewaga na mama yangu.
Nikafumba macho. Nikafunua paap! katikati. Macho yangu yakaangukia maneno yafuatayo:
"Siku za miaka yetu ni miaka sabini,
Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini;
Na kiburi chake ni taabu na ubatili,
Maana chapita upesi tukatokomea Mara."
Daa! Nika- Google, nikatambua kitabu hicho kiliandikwa 460 B. C. E (miaka 2,480 hivi iliyopita)
Sasa nimebaki najiuliza, kama mambo yako wazi hivi kwa muda mrefu hivyo, kwa nini binadamu tunahangaikia sana maisha kiasi cha kutoana uhai? (kitabu ni Zaburi ya 90, 10 Union version)
Usishangae mkuu ibilisi nae hachezi mbali!
Kumbuka Mungu aliipiga kibiriti sodoma na Gomora kwa kusodomana!
Lakini hadi leo watu wanapumuliana kama wana wazimu
 
Usishangae mkuu ibilisi nae hachezi mbali!
Kumbuka Mungu aliipiga kibiriti sodoma na Gomora kwa kusodomana!
Lakini hadi leo watu wanapumuliana kama wana wazimu
Na Quran ukitaka busara usome kitabu kipi?
 
Hakuna cha ajabu hapo hayo ni mawazo yako tu isitoshe hiyo ndio miaka halisi ya kuishi kwa mtu achana stori za kina Nuhu kuwa waliishi miaka 910 hizo ni hadithi za kutunga hakuna mtu anayeweza kuishi miaka kama hiyo tokea dunia itokee
 
Hakuna cha ajabu hapo hayo ni mawazo yako tu isitoshe hiyo ndio miaka halisi ya kuishi kwa mtu achana stori za kina Nuhu kuwa waliishi miaka 910 hizo ni hadithi za kutunga hakuna mtu anayeweza kuishi miaka kama hiyo tokea dunia itokee
Utafiti umeonyesha kiwango cha umri cha kuishi enzi za akina nuhu ni wastan wa miaka 35 tu,,
Huyu aliesema watu waliishi miaka 900 ,alikua kanywa
 
Utafiti umeonyesha kiwango cha umri cha kuishi enzi za akina nuhu ni wastan wa miaka 35 tu,,
Huyu aliesema watu waliishi miaka 900 ,alikua kanywa
Ukisoma mwanzo 9: 28 eti biblia inasema Nuhu aliishi miaka mia 350 hapa ndio unaona vituko vya biblia
Hadithi kama hizi ni stori za kutunga hazikuwahi kuwepo wala kutokea huwezi kuishi miaka hiyo
 
Utafiti umeonyesha kiwango cha umri cha kuishi enzi za akina nuhu ni wastan wa miaka 35 tu,,
Huyu aliesema watu waliishi miaka 900 ,alikua kanywa
Kweli mkuu....miaka hii ndiyo life expectancy insongezeka baada ya kupata fumbuzi kwenye matibabu,na kupungua kwa baa la njaa
 
Ukisoma mwanzo 9: 28 eti biblia inasema Nuhu aliishi miaka mia 350 hapa ndio unaona vituko vya biblia
Hadithi kama hizi ni stori za kutunga hazikuwahi kuwepo wala kutokea huwezi kuishi miaka hiyo


Kipi unahisi ni hadithi ya kutungwa hapo Mkuu.

Hiyo miaka 350 mbona ni michache mno.

Mbona Kobe anapiga miaka zaidi ya hiyo
 
Kipi unahisi ni hadithi ya kutungwa hapo Mkuu.

Hiyo miaka 350 mbona ni michache mno.

Mbona Kobe anapiga miaka zaidi ya hiyo
Hakuna binadamu anayeweza kufika miaka zaidi ya 200 miili yetu cell zake hazina uwezo huo that's why modern life pamoja na improvement ya medicine lkn watu hata miaka 100 issue sembuse zamani ambapo watu walikuwa wanakufa mapema kwa magonjwa we hujiulizi kwanini population growth inaongezeka daily
Bible ni hadithi za waebrania na si za kweli
 
Back
Top Bottom