Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #241
Hapo ningekuwa ni mimi na ndio mara ya kwanza ningeamsha vibaya mno πWalimuachia tu maana mimi sina chembe ya uoga na sisi tunafundishwa maneno ya kutamka kwaajili ya kujilinda kwenye mazingira yote, so walimuachia ila story nnazo nyingi sana na zimenitokea mwenyewe.
Hahahaha wewe ni mwoga sana mkuu, umewahi kufika idomolangubi? hapo kuna pori la kufa mtu na mjerumani aliacha mambo yake kwenye mapango basi watu wananyooshwa sana hapo kuna mauza uza usipime.Hapo ningekuwa ni mimi na ndio mara ya kwanza ningeamsha vibaya mno π
Sijawahi kufika, mjerumani nae si haba kwa hayo mambo.Hahahaha wewe ni mwoga sana mkuu, umewahi kufika idomolangubi? hapo kuna pori la kufa mtu na mjerumani aliacha mambo yake kwenye mapango basi watu wananyooshwa sana hapo kuna mauza uza usipime.
Mimi nilifika kwenye shimo la mwanzo nataraji January inshaallah ntaelekea huko kwenyewe nikatembee japo wenyeji wanaogopa sana.
Huko ni mbali sana mkuu bodaboda kutoka hapo mpaka kilosa ni elfu 50, naam kuna mambo huko.Sijawahi kufika, mjerumani nae si haba kwa hayo mambo.