dictson
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 257
- 557
Mi naona umepost saa 4:25am. Mkuu inawezekana tukio lilikua saa 9 ila wenge lile ukashindwa kusoma hata muda 😂Saa 10 alfajiri, nmekuja kuandika humu saa 11 .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naona umepost saa 4:25am. Mkuu inawezekana tukio lilikua saa 9 ila wenge lile ukashindwa kusoma hata muda 😂Saa 10 alfajiri, nmekuja kuandika humu saa 11 .
Sasa sijui nifanyeje kwasababu siwez kumuangalia jamaa usoni nitaona aibu halafu kunishtukia ni mimi.Imani yako imekuponya. Utakayekutana naye leo au baadae akawa anakuonea aibu basi ndio huyo mwanga wako. Fanya sala ondoa hofu.
Mbona inaonekana ni saa 11Mi naona umepost saa 4:25am. Mkuu inawezekana tukio lilikua saa 9 ila wenge lile ukashindwa kusoma hata muda 😂
Cctv huwa zinanasa matukio ya kichawi sana au ni baadhi tu?View attachment 3185429
Mchawi akamatwa live na kamera ya CCTV.
Ahsante sana mkuu
Picha hakuna mkuuHuu uzi bila picha ni batili mzee
Kama ni hivyo wasithubutu kurudi maana nitawafanya kitu kibaya, ile hofu imeisha.Damu yako ni nzito na hawawezi kuja kukudhuru (wachawi wanaogopa kufeli hivyo hawamdhuru mtu anaewazidi uwezo awe na dawa/kinga au asiwe nalo).
Kumbe ni wewe mongolianSasa sijui nifanyeje kwasababu siwez kumuangalia jamaa usoni nitaona aibu halafu kunishtukia ni mimi.
Faak juju
Kwangu inaonesha hiviMbona inaonekana ni saa 11
View attachment 3185479
Basi tatzo ni server za jfKwangu inaonesha hivi View attachment 3185528
Usinitishe mkuu maana nishajaa kujiamini hata siogopi chochote tena ila nimejifunza kuchungulia chungulia nje usiku sio poa.Hahahahahha nimecheka sana, mkuu Half american kwamba ulivyoangalia ukakutana macho kwa macho na mchawi, jiandae na usiku wa leo lazima aje kukutandika fimbo za mgongo umpe sababu tatu kwanini uliamka na kwenda dirishani na kwanini umekuja kutangaza, jiandae mkuu.
Hahahahaha acha uoga mkuu hivyo ni vitu vya kawaida, niliwahi kufika pori fulani na mtoto wa brother usiku nashangaa dogo anapiga kelele ametoa macho kama anataka kufa, huku anavutwa miguu na mimi nikamkamata kifuani na mikononi tukawa tunavutana, halafu anaevuta haonekani.Usinitishe mkuu maana nishajaa kujiamini hata siogopi chochote tena ila nimejifunza kuchungulia chungulia nje usiku sio poa.
Nilikutana nae mara ya kwanza nikarudisha pazia moyo unaenda mbio balaa nikarudia tena kuhakikisha kama nachokiona ni kweli au wenge, bado nikakutana nae akitazama uelekeo nilipo na hapo nikarudishia pazia nikaanza kuomba.
Hakika..... Oa bro oa utakuja kunishukuru 😁Kwahiyo shida ni mke 😂
Karibu zote CcTV zinakamata matukio ya uchawi kwani wachawi hajaweza kujizuia kwa kutoonekana kwa CcTV Camera inawaumbuwa wachawi wanaonekana Live Wakifanya mambo yao usiku. Weka CcTv ukitaka uwaone Wachawi usiku.Cctv huwa zinanasa matukio ya kichawi sana au ni baadhi tu?
Itasaidia sana kuwaumbuaKaribu zote CcTV zinakamata matukio ya uchawi kwani wachawi hajaweza kujizuia kwa kutoonekana kwa CcTV Camera inawaumbuwa wachawi wanaonekana Live Wakifanya mambo yao usiku. Weka CcTv ukitaka uwaone Wachawi usiku.
Sema mabroo huwa mna ushauri mzuri sana sijui niufuate...Hakika..... Oa bro oa utakuja kunishukuru 😁
Mwishowe ikawaje mkuu? Matukio kama haya ndio yanatukomaza.Hahahahaha acha uoga mkuu hivyo ni vitu vya kawaida, niliwahi kufika pori fulani na mtoto wa brother usiku nashangaa dogo anapiga kelele ametoa macho kama anataka kufa, huku anavutwa miguu na mimi nikamkamata kifuani na mikononi tukawa tunavutana, halafu anaevuta haonekani.
Walimuachia tu maana mimi sina chembe ya uoga na sisi tunafundishwa maneno ya kutamka kwaajili ya kujilinda kwenye mazingira yote, so walimuachia ila story nnazo nyingi sana na zimenitokea mwenyewe.Mwishowe ikawaje mkuu? Matukio kama haya ndio yanatukomaza.