Mr IQ
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 1,024
- 1,377
Usikane maandiko mkuu.Hujathibitisha chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikane maandiko mkuu.Hujathibitisha chochote.
Wanaweza kukutafuta wajue umewezaje kuwaona, hivyo kuwa mwangalifu na kujishika na Yesu haswa.Herini ya sikukuu ya Noeli, kwangu naona ilishakuwa mbaya kwa mfululizo wa yanayoendelea na hili lililonifanya niandike hapa muda huu.
Kwanza nianze kwa kusema sina utulivu kabisa usingizi umekata na hauwezi kuja kwahiyo kama ntakosea kwenye kuandika mnivumilie.
Ipo hivi nilikuwa ndotoni ghafla nikashtuka muda ilikuwa saa 04:24 , nilivyoshtuka naona reflections za mwanga wa moto, nikajua labda ni mwanga wa taa za gari lakini moyo ukasita kuliamini hilo kwa kuwa mwanga wa gari huwa ni mkali zaidi,
Nikiwa bado kitandani nashangaa zile reflections ghafla zikaanza kumove na kupotea, nikasogeza kapazia kidogo nione nje kinachoendelea. Nimeona moshi unafoka na nikapigia mstari majibu yangu kuwa ule ni moto.
Moyo ukapiga paa!! Nikazungusha macho upande wa pili wa dirisha nikaangalia kwa kunata bila kupepesa macho kama sekunde 40 na kushuhudia mtu kwa mbali kama kapigwa na butwaa akitazama uelekeo wangu kama vile ameniona (ni kama mita 10-15 kutoka nyumba ilipo) ila sikumtambua ni nani kutokana na giza.
Baada ya kuona vile nikarudishia pazia nimefanya maombi na ninaamini nipo salama ila hili limenishtua kwa kiasi fulani.
Wakuu nifanye nini zaidi?
Kuna madhara yeyote kushuhudia hilo?
Mshana Jr muongozo wako ni muhimu mkuu nna taharuki kwa lililotokea.
Ulishawahi kunyolewa nywele au kuchanjwa bila kujua.mikwara mingi ndugu yangu, hubishagi kwa hoja
huko kwenu visiwani si kawaida tu.Ulishawahi kunyolewa nywele au kuchanjwa bila kujua.
Oya we dogo weehuko kwenu visiwani si kawaida tu.
pole dully najua umepitia mengi.
Sawa mkuu nitazingatia hiloWanaweza kukutafuta wajue umewezaje kuwaona, hivyo kuwa mwangalifu na kujishika na Yesu haswa.
Saa kumi alfajiri?Huko kwenu ni wapi maana sisi wengine huo muda bado wauza chips na mishikaki wapo live na pilika za kusaka shekeli zinaendelea..!
Sikuwa nimekunywa mkuuHaya ndio madhara ya kulewa sana siku kama hizi...😜
Hapana sio pombeMnalala na mipombe vichwani,mnasingizia wachawi
Na iwe hivyo mkuuKama hajakukusudia ww bas halitakupata jambo
Location ni bongo land mkuu jina la Id halina uhusiano wowote ule.ID yako nilidhani location California au chicago
kumbe upo hapa kwetu ......hahahah pole mkuu I wish nione hicho kitu maana mpaka sasa
sina hofu na kifo maana kifo kipo sehemu yoyote ile
Yes mkuuUko salama.
Siwezi kuchukia maoni ya mtu.Pengine utanichukia kwa hili jibu rafiki yangu lakini,
Acha uoga wa kijinga.
Sawa mkuu hofu sina nnaamini hakuna litakalofanyika kunidhuru.Yaani unamuogopa binadamu anaechoma moto sehemu
Kama unamuamini bianadamu basi utahangaika sana kwenye maisha yako
Lakini kama imani yako iko kwa Mungu basi hutapatwa na kitu ila kwa uwezo wake
Hapo mimi ningemtokea na fimbo na kumcharaza kama akizingua
Usimuogope binadamu mwenzio
Na ni bora afe tu shenzi huyo anaacha kulala kazi kuwanga.Macho angavu yana nguvu sana! Kwa kumuona mchawi maana alipungukiwa na kinga hivyo anaweza kufa kwa hofu
Mambo ni hayo hayo ya kishirikinaUko dar ni shda, mara ya kwanza nilishuhudia mtu akipasua nazi adharani huko, pia nilishuhudia kuku akinyofolewa shingo kwa mkono alafu damu inaelekezewa kichwani kwa binti mmoja, sijui ndio alikua anazindikwa!
Kwahiyo shida ni mke 😂bro oa....
Hofu nmeishinda namuomba Mungu nawe niombee pia Jo.Ni kama unahofu 😀😀endelea kumuombe mungu