Nimeshuhudia mtu akiwanga, hili limenitisha


Upuuzi, Nenda kalale
 
Sawa mkuu kila lakheli...nakuombea ili siku moja uje hapa utoe shuhuda na ujithibitishie kwa macho na u regret hizi kauli zako na sio mbali toka Sasa.....
Tokea 2008 huko natoa ofa kwa wachawi wote popote pale walipo, waniroge hata kidogo tu ili wanishikishe adabu na kunifunga mdomo, lakini wapi. Hakuna lolote. Bado nadunda na ngebe zangu.

Uchawi haupo.
 
Kufunga pazia na kuanza kusali ni ishara ya kuwa umejawa na hofu kubwa.

Pale pale mkiwa mnakodoleana, ungemkemea kwa imani. Unammaliza nguvu na mngemaliza biashara.

Sasa zidisha maombi. Maana atakurejea.

Achukue hii,

Witches never leave their projects.

Huyo lazima amrudie tu kuhakiki amejua au hajajua yanayoendelea.
Hapo kwa kila mtu atakae mjia kwa story tata ni kujitoa ufahamu tu kama mwehu hajui chochote huku nafsini akinuia na kufanya dua mabaya yasimpate.

Hapo afanye ujasusi wa kiroho.
 
Nizidishe tu maombi sina namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…