Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #61
Uyasemayo ni kweli mkuu, mwili haupo sawa kabisa.Been in such situation
Unakua umejaa hofu 210/120mmhg alafu unakua mzito mwili unasisimka mbayaa
Achana nae huyo mwanga
Endelea na maisha yako
Sjui huwa ni kwann,mchawi unapomchungulia anajua pale pale kwamba kuna mtu kamuona
Puuzia tu mkuuUyasemayo ni kweli mkuu, mwili haupo sawa kabisa.
Nitafanya hivyo mkuuHesabu 23:23 isome hiyo line kwa sauti sana.
Kisha sali
Eye movement yako ndo inamjulisha yan kope zikicheza t anajua kuna mtu ananiangalia au kaamkaSjui huwa ni kwann,mchawi unapomchungulia anajua pale pale kwamba kuna mtu kamuona
Hakuna kitu kama hicho na siku ukijua hizo trick utacheka sanaMzee Mbona umeandika kwa confidence ya SGR πβΊοΈ
Kuna vizika wazima...Bado hujakua wewe..hii dunia Ina mengi..Kuna kafara...Kuna mizimu...wachawi..majini Kuna mambo mengi SANAA kuliko unavyo fahamu..
Nenda hapo kigoma TU kadharau wazee na kuji mwambafy uone jasho la meno litakutoka..
NB.
Kuna mkuu wa mkoa iringa alijikuta yupo makaburini kalala wakati alikua nyumbani kalala.
Sana mkuuTunateswa sana na imani potofu
Mbona mambo yao ni hatari sana, unajua nashangaa nimeamkaje amkaje mpaka kuyashuhudia hayo.Eye movement yako ndo inamjulisha yan kope zikicheza t anajua kuna mtu ananiangalia au kaamka
Sawa mkuuPuuzia tu mkuu
Uzuri hao wanachezea tu hawadhuru hua inashtua ila utakaa sawa
We sahau tu
Hapo jpange kwalolote! au nkupe namba ya mganga wangu wa TANGA KABUKU HAPO?Mbona mambo yao ni hatari sana, unajua nashangaa nimeamkaje amkaje mpaka kuyashuhudia hayo.
Pole sana,Herini ya sikukuu ya Noeli, kwangu naona ilishakuwa mbaya kwa mfululizo wa yanayoendelea na hili lililonifanya niandike hapa muda huu.
Kwanza nianze kwa kusema sina utulivu kabisa usingizi umekata na hauwezi kuja kwahiyo kama ntakosea kwenye kuandika mnivumilie.
Ipo hivi nilikuwa ndotoni ghafla nikashtuka muda ilikuwa saa 04:24 , nilivyoshtuka naona reflections za mwanga wa moto, nikajua labda n mwanga wa taa za gari lakini moyo ukasita kuliamini hilo kwa kuwa mwanga wa gari huwa ni mkali zaidi, nikiwa bado kitandani nashangaa zile reflections ghafla zikaanza kumove na kupotea, nikasogeza kapazia kidogo nione nje kinachoendelea. Nimeona moshi unafoka na nikapigia mstari majibu yangu kuwa ule ni moto.
Moyo ukapiga paa!! Nikazungusha macho upande wa pili wa dirisha nikaangalia kwa kunata bila kupepesa macho kama sekunde 40 na kushuhudia mtu kwa mbali kama kapigwa na butwaa akitazama uelekeo wangu kama vile ameniona (ni kama mita 10-15 kutoka nyumba ilipo) ila sikumtambua ni nani kutokana na giza. Baada ya kuona vile nikarudishia pazia nimefanya maombi na ninaamini nipo salama ila hili limenishtua kwa kiasi fulani.
Wakuu nifanye nini zaidi?
Kuna madhara yeyote kushuhudia hilo?
Mshana Jr muongozo wako ni muhimu mkuu nna taharuki kwa lililotokea.
Bora nisingechunguliaPole sana,
Yes,
ukibainika kupiga chabo mambo ya watu, kwanza ni kosa, lakini pia inaumiza sana.
Na kwahivyo,
Jambo hilo linagharama yake.
Na linahitaji kuchukua tahadhari kubwa na zaidi sana linahitaji ulinzi mkali sana wa kimwili na kiroho.
Omba sana kujawa na roho Mtakatifu wakati wote, vinginevyo pepo wabawa wanaweza kutumwa dhidi yako as a long missile of revenge.
Kawannini unipige chapo inaweza kuambatana na kushikishana adabu kimwili.
Mary Christmas π
Hapana mkuu shukraniHapo jpange kwalolote! au nkupe namba ya mganga wangu wa TANGA KABUKU HAPO?
Nahisi ametumia Bangi aina tofauti na aliyozoea.π kabla ya kulala ulikula? Je kuna aina yoyote ya kinywaji hasa kilevi ulitumia?
Pia je, unatumia Sigara, Mirungi au Bange japo mara moja moja?
Nb: Uchawi upo.
Nikupe siri ya hayo madubwasha.Nitafanya hivyo mkuu
Ninavojua Mimi Hawa watu wakiingia eneo lolote chakwanza kbla ya kufanya chchte watafanya mambo Yao wanayoyajua kuhakikisha wanafanya shughuli zao na kuondoka eneo latukio bila kuonekana..Ikitokea kaonekana inakuwaje?
Gentleman,Bora nisingechungulia
Nimekuelewa vyema kabisa mkuu vita niliyonayo kwa sasa ni HOFU ila nitaishinda na naamini sitodhurika.Nikupe siri ya hayo madubwasha.
- Unapokutana na jini au pepo au kiumbe cha ajabu, usiogope kwa sababu mpaka kinajionesha kwako ni alama kubwa kuwa umeshinda. Shetani ama nguvu za giza zipo kila mahala duniani na zinafanyakazi. Wanaposhindwa kutimiza lengo baya kwako maana yake una ulinzi wa Mungu na hawawezi kukudhuru. Silaha yao ya mwisho ni HOFU YAKO. Wataitafuta hofu ama.uoga wako kwa kujionesha kwako dhahiri. Ukiingia uoga ama hofu unakuwa umefungua mlango waingie kwako. Kumbuka Petro alipoanza kutembea juu ya maji alifanikiwa lakini alipoona upepo (mawimbi) akaona hofu ndipo akaanza kuzama. Usiogope bali pambana kwa maombi ya ushindi
- Wachawi wapo, nao hawana tofauti na celestial beings. Kikubwa hilo tukio uliloliona usiku ni Mungu amekuonesha. Kabla ya kulala hakikisha unasali kuombea familia, ulizi wa mali zako, ulinzi wa miradi yako na kunyunyiza damu ya Yesu kwa maombi. Utaona mengi kama utasisitiza Mungu akupe Hekima ya Roho Mtakatifu wake
- Chonde chonde, achana na maji ya baraka, mafuta ya upako, chumvi na chochote kutoka kwa watumishi maana agizo la YESU ni kutumia neno la kinywa chako. Mungu hana masharti kama wafanyavyo waaguzi wa shetani. Kutumia hizo zana ni kufungua milango ili shetani aingie
Pole mkuu, wewe ni mshindi
Mniombee pia wakuuGentleman,
sasa si tu gekosa huu uzi muhimu sana leo, ili tukumbushane cha kufanya kama wadau na kupeana uzoefu ikiwa itatokea kwa wana JF wengine pia π
Ukiona unakaribia kuwekwa msukule nakuomba ntafute usiogopeHapana mkuu shukrani