Nimeshuhudia mtu akiwanga, hili limenitisha

asante sana mkuu uwe na sikukuu njema.
 
Dah hatari sana kaka inaogopesha ila sitaogopa nashukuru mmenipa ujasiri.
 
Hii ni dalili ya ugonjwq wa akili inaanza, wahi kutibu, usije chelewa, pia umaskini unazidi pia anza kujikita kufuta umaskini wako kwa haraka, kwani umaskini ni mojawapo ya chanzo cha ugonjwa wa akili
Sina uo ugonjwa mkuu
Usipende kuchungulia dirishani kila usikiapo mambo ya nje nyakati za usiku unaweza pigwa upofu.
Hili nimejifunza mkuu sirudii tena.
 
Vitu vya kawaida sana wala hakuna haja ya kuogopa maana havina madhara
 
Njoo sumbawanga uibe
 
Haina shida kabisa hiyo na ni dalili kwamba nguvu zako kiroho zilikuwa kubwa kuliko zake.. Na kama angekuwa juu ya ungo angepiga bonge la mweleka
Vibaya ni kama ungewaona paka weusi tii wakifanya matusi.. Lakini pia nao siku hizi hawana madhara kivile kwakuwa nao wanakula kitimoto kiwe roast au hata kile cha kuchoma! Mbichi hawali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…