Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam


Ujuzwe kwamba na wewe unataka au?
 
Wewe huna unalojuwa kaa kimya,,
 
Kama inakukera ulipaswa kuchukua hatua kwa kuripoti kwenye vyombo husika. Otherwise na wewe ni mshiriki wa uvutaji cocaine
 

is Crack cocaine
 
Kuna baadhi humu ndani wamesha jaa hewa. Inaelekea Nchi imefunguka kisawasawa.

Ushoga na mateja usalama wa vijana wetu uko hatarini sana!
 
Basi elewa gram 1 pure cocaine ni sh 50,000 za tanzania,,
Kama unataka kujuwa..

Na mvutaji havuti gram moja ,,atavuta kete moja labda ya sh 5000 ,,

Sasa huo ugharama wa hali ya juu upo wp?
50000/5000=10. Kwa hiyo, 1 kg inaua ubongo wa wavulana na wasichana wetu Karibu elfu 10,000. Na thamani ya ubongo wa vijana wetu hawa wote ni sawa na 50,000 x 1,000= 50,000,000/=.

Ukisikia Shetani kazidiwa keti na mfuasi wake ndiyo hii.
 
Nikikutajia club utaleta info gani, zaidi ya kuchafua biashara za watu? Nafahamu ni cocaine baada ya kuwaona reaction zao, uchangamfu etc...
Achana na muvi unga wowote mweupe mweupe ili majibu yaje kuonyesha ni madawa ya aina gani hua mpaka yapelekwe maabara. Unless kama kuna detailed info kuihusu hiyo kazi.

Now drugs zinatofautiana kuleta high so waweza hisi askari akifika eneo la tukio akisniff/ akilamba tu anajua haya ni madawa gani au siyo? Now what if hicho anacholamba ni sumu? Kwa kuepuka hilo askari in real life hua hawayatambui madawa kwa kuyalamba badala yake huyapeleka maabara.

Hoja yako ya kusema umejua ni cocaine kwaajili ya uchangamfu uliouona naona haiko sawa, kuna crystal meth na LSD na zinaleta uchangamfu kuliko cocaine.

Nafikiri unaona ni ngumu kiasi gani kuamini hitimisho lako la ulichoona ni cocaine simply kwakua umeona watu wamechangamka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…