kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Mzee awamu kikubwa angalia watoto zako wanakula basi. Afu hayo maduka ya kubadili fedha ilikuwa ni machaka ya watu kubadili pesa zao chafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LetaHuelewi criteria za kukubali..Ulipanda ndio but at decreasing rate..
Nikuletee data?
Mimi nina mawazo sawasawa na yako. Umekariri clip ya Nape akienda Ikulu kuomba msamaha. Ina maana kuomba msamaha huko kulikuwa hakutoki moyoni bali ilikuwa kujisafishia njia tu baada ya kuona hali ya maisha imekuwa ngumu. Mama inabidi ajiulize kama anayemsifia hivi sasa hatabadilika pindi Mama akitoka madarakani.Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika Magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video Nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua JPM kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa Mererani ili watu wao wezi wa madini yetu Kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika Magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video Nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua JPM kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa Mererani ili watu wao wezi wa madini yetu Kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Mtaongea kila jambo kujifariji Kwa maumivu,uchungu na hasira ila ukweli unabikia kwamba Samia amemfunika vibaya sana legacy..
Nakupa mfano mdogo wakati Mwendazake akijivunia Magomeni Kota ambayo nayo Samia kaikamilisha ,pembeni yake Kuna Magomeni Kota awamu ya 2 inaendelea blocks 5.
Kuna Temeke Kota inaendelea blocks 7 za gorofa 9 Kila Moja.
Sasa hivyo ni Cha mtoto,kubwa lao ni Samia Housing Scheme,ikumbukwe Mwendazake aliua kabisa sekta ya Real estate Samia kafufua kama ifuatavyo 👇
View attachment 2561770View attachment 2561771View attachment 2561772
Unaweza ona kazi kubwa na nzuri ya Samia Kwa miaka 2 tuu hapa kwenye Afya 👇
Umeanza kukubali taratibu pigo za mama 🔥🔥
Asingekuwa raid magufuli leo tusingejuwa sgr maana sidhani kama wafanyabiashara wakubwa wa malori wangekubali maana ndio walikuwa waamuzi.ata bwawa LA Nyerere lisingekuwepo maana wakina mwezi wa kwanza wasingeliweka, R.IP MWAMBAMagufuli hakustahili kubwa rais, alikuwa na upeo mdogo sana kwa madaraka ya urais. Yeye alipaswa kuishia kwenye uwaziri. Mtu mwenye pupa, kiburi na mwenye visasi hapaswi kuwa rais. Ni vyema hatua sahihi zichukuliwe kuondoa ule uhuni aliokuwa anafanya alipopewa madaraka.
Ivi umemsoma vizuri Sylllogist au unakulupuka .kweli Tanzania tunasafali ndefuHamna kitu, jiwe alikuwa mbinafsi na katili sana, angelitumbukiza taifa jalalani. Mungu aliyaona haya akapita nae. Mungu fundi nyie! Alitake advantage ya watanzania mambumbumbu kuwaambia kuwa 'nafanya haya kwa ajili ya watz maskini' basi wagogo na wasukuma woote wakajaa, mtu anabeba mabilioni anapeleka kijijini kwake kila mwezi kugawa??? Ivi kule tunduru ambako alikuwa haendi na wenyewe wangepataje pesa za umma? Mtwara walipelekewa jeshi kuwafilisi korosho eti taifa linanunua korosho za wakulima, akili au matope?? Eti unalazimisha chato kuwe na mbuga za wanyama kwa kusomba twiga nk na malori, umeambiwa ni ng'ombe zile?? Yaani ngosha ngosha tu, unabadilisha Kijiji chako kuwa mkoa Kisha makao makuu ya mkoa??? Yule mzungu aliyeshikilia ndege kule uholanzi tutamlipa ela yake possibly inalingana hata na bei ya hiyo ndege! Miradi kibao imejengwa na kampuni zake au za ndg zake Tena bila kufuata procedure wazi wazi. Ivi JK angejenga uwanja wa ndege Bagamoyo na kampuni ya ujenzi ikawa ya Riz pangekalika? Yule mwamba angekula hai sasa ivi kungekuwa na mradi wa ujenzi wa bandari ya chato na meli ya mv chato! Yaani unapeleka jeshi kwenda kufungia bureau de change kwenye mji wa kitalii Ili watalii waende BOT kubadilisha fedha kwa foleni, what a stupidity!!! Plea bargain, Sabaya, na mambo meengiii, nitakuwa wa mwisho kumsifu jiwe! Na ndiyo maana alikuwa mkali, ukiona mtu mkali sana weka ?????? Ana madudu mengi hataki kuulizwa, Raisi unawaamulia watz majimbo yote wamchague nani awe mbunge? Atakuwaje neutral kuihoji Serikali?? Yaani watu wamekubaliana kule handeni kuwa mgombea wao ni huyu, wewe ambaye kwenu ni chato unawakatalia unawaletea chawa wako kama mwijaku awe mgombea wao????
Umesomeka.
Hujui kitu wewe, wapo watu malalamiko yao yapo mezani kwa Mama Samia na anayefanyia kazi maana wapo waliotekwa na kufukuzwa kazi wapo TISS.Mbona hawajitokezi. Tuliona kesi za sabaya malalamiko kuteswa watu na sabaya. Wamepewa chance kujitokeza ili sabaya aunganishiwe mashtaka. Hakuna watu wamejitokeza. Mtu akitumbuliwa au kubanwa au kutemeshwa maslahi ya kipigaji lazima azue maneno na kuweka chuki.
Asingekuwa raid magufuli leo tusingejuwa sgr maana sidhani kama wafanyabiashara wakubwa wa malori wangekubali maana ndio walikuwa waamuzi.ata bwawa LA Nyerere lisingekuwepo maana wakina mwezi wa kwanza wasingeliweka, R.IP MWAMBA
Kabla ya kutawanya hivyo pesa saizi tungekuwa tunakalibia kumaliza Bandari kubwa ya Afrika hivyo huto tubandari twingine tungesubiria.Bila magufuli kuamua kutanuwa bandali zetu Tanga na mtwara .tungekuwa na bandari mfilisi ya bagamoyo na alikaataa na kusema tuta tanuwa bandari zetu sisi wenyewe ya Tanga, darna mtwara
Bandari ya afrika wizi wa watanzania kidaaadeki chuma kikatustuwa mmeshindwa kutuibia Sasa tutasubili kwenye umeme wa Nyerere teyari mmeshaweka mikono au mama kawastukia,tutajuwa likianza tawanya umemeKabla ya kutawanya hivyo pesa saizi tungekuwa tunakalibia kumaliza Bandari kubwa ya Afrika hivyo huto tubandari twingine tungesubiria.
Wizi gani? Bagamoyo port itajengwa kama LPG ya Lindi na tutazima porojo zenu za kijinga hizo.Bandari ya afrika wizi wa watanzania kidaaadeki chuma kikatustuwa mmeshindwa kutuibia Sasa tutasubili kwenye umeme wa Nyerere teyari mmeshaweka mikono au mama kawastukia,tutajuwa likianza tawanya umeme
Acha upumbavu by mkapa ,umeshaoni garama za unit zimepungua na iyo he's au ujuwi kunaumeme wa heyo tunatumia ,unajuwa zumunu la bwawa LA Nyerere wwSGR ni mradi alikuta umeshasainiwa chini ya utawala wa Kikwete. Jitahidi usiwe mpotoshaji. Bwawa la Mwalimu Nyerere halikuwa na sababu kwani tayari bomba la gas lilishafika hapa Dar. Kuliko kuweka 7t kwenye hilo bwawa ili kupata 2,115m, ni bora ingewekezwa 3t hapa kwenye mradi wa gas tungepata umeme mwingi kuliko huo, na hela nyingine ingetumika hata kuinua kilimo ama ujenzi wa viwanda.
Sisi atupingi tunachopinga mikataba ya kimangungu.uwe unatumi a akili kidogoWizi gani? Bagamoyo port itajengwa kama LPG ya Lindi na tutazima porojo zenu za kijinga hizo.
Hakuna mangungo ni uzushi na hisia zenu tuu.Sisi atupingi tunachopinga mikataba ya kimangungu.uwe unatumi a akili kidogo
Subirini siku 'mkikua' ndiyo mtajua namna nchi hii ilivyonurika kimaajabu ajabuNimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika Magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video Nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua JPM kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa Mererani ili watu wao wezi wa madini yetu Kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Kuhusu Magufuli najua kitu kimoja tu.Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika Magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video Nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua JPM kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa Mererani ili watu wao wezi wa madini yetu Kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Kutengeneza matajiri wengi ni sifa kwa kiongozi wa nchi and not otherwise km unavyofikiria! Nchi ikiwa na matajiri wengi maana yake ajira ni nyingi pia maana hao ndio waajiri.Kuna matajiri wapya wanatengenezwa. Baada ya mwinyi SASA ni Samia kutengeneza mabilionea wezi wa Mali Za umma.
Matajiri wengi unaowsona SASA walitengenezwa na mwinyi. Na hawatataka kumwacha maza Maana Ni pazia tu.
Acha upumbavu by mkapa ,umeshaoni garama za unit zimepungua na iyo he's au ujuwi kunaumeme wa heyo tunatumia ,unajuwa zumunu la bwawa LA Nyerere ww