ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sukuma gang mtateseka sana,ndio tayari legacy imefukiwa hivyo 😆😆We Nepi Nnauye acha kubwata hovyo na matakwimu ya kubumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang mtateseka sana,ndio tayari legacy imefukiwa hivyo 😆😆We Nepi Nnauye acha kubwata hovyo na matakwimu ya kubumba.
Sasa msomi tuliwezaje kuingia uchumi was Kati ikiwa jpm hatua alizochukuwa Ni hzo hzoWe mkuu umaskini ndo unakusumbua. Unahisi kwamba ukiwa maskini eti ndo mzalendo wa kweli. Money should be in the hands of people siyo bank kuu kuzifungia. Jpm was totally wrong na angekuwa hai halafu akishastafu angejionea mwenyewe jinsi watu wanavyomfundisha kazi. Umeshasikia federal reserve inafanya biasha za kipumbavu kama alivyokuwa anafanya jpm. Bureau de change zinapaswa kuwa nyingi ili kuongeza liquidity kwenye mzunguko siyo kuzimaliza na eti pesa za kigeni unataka zipitie bank za biashara kama nmb nk.
Fungukeni nyie mitanzania msiojua jua hili na lile ndo mana JPm anapenda na mbumbumbu wengi huwezi kukuta msomi anajadili upuuzi wa jpm ambaye alitaka kuzika uchumi wa Tanzania na mbaya zaidi anatupiga fix hadharani kabisa eti tumeingia uchumi wa kati wakati daily biashara za mahoteli, duka, viwand nk vinafunga biashaza zao. Nenda kule bagamoyo viwanda vya chumvi vilishindwa kufanya biashara kipindi Cha jpm na kuamua kufunga na kurudi kukaa lakini Sasa hivi kila kiwanda kimerudi na mahoteli yanafanya kazi very strongly. Nenda pale manzese uone mahoteli yaliyojifunga yenyewe kwa Sasa yanafanya kazi tena upya na kwa Kasi kwa sababu clients wapo na watu wanalala na kula Bata daily. Umaskini unakusumbua we bwana mdogo
Siyo vzr kumdharau rais nyuma ya kyboad nape Ni msomi wa udsm Sasa Kwan umdharau msomi wa udsmMaushungi wamekutana na Nepi Nnauye ni kama PIPA NA MFUNIKO.
Wote wameishia LA SABA.
Labda udsm ya msoga.nape Ni msomi wa udsm Sasa Kwan umdharau msomi wa udsm
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wamefumua wamezika katika uchumi wetu alioacha shujaaa halafu leo ,anaibuka kujitaka kwao tunakuelewa ni moja ya timu ya walamba asali ,hawafikirii kuhusu wanyongeNimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika Magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video Nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua JPM kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa Mererani ili watu wao wezi wa madini yetu Kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Kumbe Ni kilaza mm nikajuwa amesoma pale udsm kumbe nae Ni walewaleLabda udsm ya msoga.
Ameishia LA SABA.
Pole mjane. Kuimba siku zote ni kwa kupokezana.Wee Nape na Uchumi wapi na wapi??.
Bichwa like Kubwa, hata uliambie , Nape, tupe walau MBINU Moja ya kukuza Uchumi wetu.
Haaaa hanaaa hanaaaaaa hanaaaaaaaaaa
Kama ni za kubambika ziko mahakamani. Angeacha mahakama iamue. Kajionyesha anaingilia mahakama kuachia watu wenye kesi. Kwa hivyo anaendelea kumkamata sabaya akishinikiza ahukumiwe bila kosa. Angemuachia kijana sabaya badala ya kuachia watu wenye kesi mahakamani kinyume cha sheria.Upande wa kesi za Lema ni saw maana ni mmoja wa wanasiasa waliobambikiwa kesi!!
Wenye nacho wakifurahi huku umma unalia ndio unaona kuna utulivu? Utulivu wa bwanyenye?Pole mjane. Kuimba siku zote ni kwa kupokezana.
Mliimba kwa wakati wenu sasa ni zamu ya wengine kuimba huku nyie mkiwa waitikiaji.
Hasira na chuki zako binafsi kwa utawala huu hazitobadili chochote.
Nchi imekuwa na utulivu wa kweli sio ule utulivu wa kulazimisha. Watu wana furaha ya kuendelea kupambana kwasababu hakuna hofu ya vitisho tena.
Issue ya sabaya achana nayo inafany uonekane mjinga! Sabaya uhalifu wake uko waz clips nying zilionyesha akivamia maduka na hotel ya aishi. Pia alikiri mwenyew kua yeye alitumwa tu!! Issue ya Rais kumuachia mtu ni sababu ya katiba yetu imempa mamlaka Rais, hata awamu iliyopita Rais ndo alikua anaamua nan awe gerezani nan atolewe!! Weka hoja zenye mashiko biashara ya sabaya achana nayoKama ni za kubambika ziko mahakamani. Angeacha mahakama iamue. Kajionyesha anaingilia mahakama kuachia watu wenye kesi. Kwa hivyo anaendelea kumkamata sabaya akishinikiza ahukumiwe bila kosa. Angemuachia kijana sabaya badala ya kuachia watu wenye kesi mahakamani kinyume cha sheria.
MkuuAliangamiza taifa kivipi wakati hata imf na world bank wachumi walikubali uchumi umepanda hadi nchi tukaingia lower middle icome nation.
Shida yetu elites watz ubinafsi. Kila mtu anaangalia binafsi alipigika vipi kukutwa 18 za jpm. Alichukua maamuzi yanatakiwa bila kumuangalia mtu yeyote usoni.
Samia ameleta nini badala ya kurudisha ujanjaujanja kuzungusha hela za umma mitaani kwa upigaji. Wajanja kupata kipato bila kutoa thamani kwenye uchumi.Magufuli Kuna mambo amedhubitu kufanya mf kuanzisha hii miradi mikubwa , ilikua sahihi kabisa, lakini alishindwa kujua uchumi ndio unatoa fedha za kukamilisha hiyo miradi, uendeshaji mbaya WA uchumi ungepelekea miradi kukwama, ni bahato sana mh Samia alikuja kwa mda sahihi
Mbona hawajitokezi. Tuliona kesi za sabaya malalamiko kuteswa watu na sabaya. Wamepewa chance kujitokeza ili sabaya aunganishiwe mashtaka. Hakuna watu wamejitokeza. Mtu akitumbuliwa au kubanwa au kutemeshwa maslahi ya kipigaji lazima azue maneno na kuweka chuki.Huwezi kujua kitu, ametesa watu wengi sana na familia zimeumia sana tunaushahidi usuo na shaka.
Ndio nape anatamba eti mama karufisha hali ya chief executives taasisi za umma kuzungusha hela za umma kwenye mabenki kwa manufaa binafsi.Shida ya hawa watu ni kuishi kwenye uongo wao. Yaani wanajiaminisha vitu ambavyo havipo kuhalalisha ufisadi.
Sababu ya Magufuli kutaka hela za taasisi za umma kuwekwa hazina kwanza ni mapato ya serikali ambae ni 100% shareholder wa hizo taasisi, hao ma DG, sijui commissioners ni waajiriwa tu wa serikali ambae ina mamlaka ya kuamua ifanye nini na mapato yake sio mtu mwingine yeyote.
Popote mapato yalipo mwisho wa mwaka serikali inatakiwa kupewa faida kama imepatikana na kuwaachia reserves za kujiendesha na kufanya uwekezaji hizo taasisi.
Sasa unakuta wao hizo hela za ziada badala ya kuipa serikali mwenye mali wanaweka bank on savings account. Huko bank wakipata interest ya savings ndio wanatumia kujiendesha au kujilipa marupurupu.
Hela hizo hizo za serikali kwa sababu zimewekwa kama savings kwenye mabank, hiyo inawapa guarantee na wao kuzichezesha kwa faida. Uwekezaji wenye risk ndogo ni kununua government bonds za muda mfupi zenye riba za 14% kwa ivyo serikali inakopeshwa kwa mapato ya taasisi zake ambapo ni hela zao kama wangekuwa wanaangalia assets zao, mtu mwenye akili zako timamu uwezi kuona ujinga huu uliokuwa ukiendelea.
UNACHOSEMA UPO SAHIHI KWANI NCHI GANI ULAYA UNAWEZA KUBADILISHA FEDHA UKAPEWA HRD CURRENCY BILA YA KUTOA PASSPORT KW AJILI YA RECORD? TANZANIA ULIKUWA UNABADILI DOLA AU EURO BILA HATA YA KITAMBULISHO. WENYE KUJUA UCHUMI WANAFAHAMU MCHEZO WA WENYE BUREAU DE CHANGE WLICHOFANYA MPAKA TANZANIA IKAISHIWA FEDHA ZA KIGENI. KUZIFUMGIA ILIKUWA NI LAZIMA KWA MUSTAKABALI WA NCHI ILA KWA MAFISADI JPM ALIKOSEANimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika Magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video Nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua JPM kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa Mererani ili watu wao wezi wa madini yetu Kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Acha undezi wewe, nimeenda Istanbul ukinunua kitu chochote hata dukani kwa mangi unaulizwa currency unayolipia bila kuulizwa pasport na unapata chenji kwa currency yoyote kati ya pesa Yao, USD, euro na UK pound na kila mfanyabiashara Yuko sensitive na daily exchange rates! Usituletee facts za kishamba zenye uongoUNACHOSEMA UPO SAHIHI KWANI NCHI GANI ULAYA UNAWEZA KUBADILISHA FEDHA UKAPEWA HRD CURRENCY BILA YA KUTOA PASSPORT KW AJILI YA RECORD? TANZANIA ULIKUWA UNABADILI DOLA AU EURO BILA HATA YA KITAMBULISHO. WENYE KUJUA UCHUMI WANAFAHAMU MCHEZO WA WENYE BUREAU DE CHANGE WLICHOFANYA MPAKA TANZANIA IKAISHIWA FEDHA ZA KIGENI. KUZIFUMGIA ILIKUWA NI LAZIMA KWA MUSTAKABALI WA NCHI ILA KWA MAFISADI JPM ALIKOSEA