Nimesikitishwa, huzunishwa na kufadhaishwa na uongo wa Kamati ya PAC! Escrow sio fedha za umma!

Unapojaribu kumfukuza mwizi aliyekwapua pesa nyingi na yuko tayari kuzitawanya nyingi barabarani tatizo ndo inakuwa hivi: wafukuza mwizi wengi wataanza kuokota pesa iliyodondoshwa na kutokomea njia nyingine. Kamwe mwizi huyu hatakamatwa. Akina Pasco wameokota pesa za wizi wameacha kumkimbiza mwizi. Hatumkamati mwizi wa Escrow ng'o!
 
Hee! huyu bwana kalipwa kiasi gani?
... jana alisema taarifa haitasomwa ikasomwa, miaka ya 2007/10 nikiwa huku nnje ya Tanzania nilizependa sana 'articles' zako, kumbe sikukuelewa ulivyo ....uhitaji ni tatizo na shida kubwa ktk utu wa mtu…..
Mkuu Omseza, asante kwa hiyo ya kuzisoma articles zangu ulizipenda hiyo 2007!, ulizisoma kutoka wapi mwaka huo 2007?!.
Pasco
 
Sikuhizi mkaguzi wa hesabu za serikali anakagua hesabu za binafsi..?..sisi tunajua hizo pesa ni za umma na waliozichota ni wezi..wadanganye manyau
 
Pasco ni mtu huru kifikra. Kajibainisha hivyo kwa namna nyingi sana. Ni aibu kumtuhumu bila sababu

Pasco kwanini usiseme CAG ndio wametoa ripoti? kwani PAC wametoa wapi ripoti yao?? Najua billioni 300 ziko mtaani zinanguvu ya kumnunua mtu yeyote mwenye tamaa fisi.
 
Hili swali nimemuuliza uzi mwingine, hakuwahi kulijibu.

Na kwa kuongezea, wapi AG Werema amepata uwezo wa kuwa mshauri wa kodi?

Tatu, ina maana pasco haamini CAG ? Sasa kama PAC wamefanya uhuni, uhuni huo si wameutoa katika taarifa ya CAG

Nne, pesa za binafsi zinatumikaje kwa viongozi wa umma, hadi hapo haoni tatizo

Tano, taarifa imeeleza mitambo ya low speed ndiyo ilihitajika, walileta isiyo katika kiwango hicho, hilo pasco hahisi =kuna tatizo kweli

Sita, kama ni pesa za binafasi, CAG, waziri, katibu mkuu wizara wanaingiliaje masuala binafsi?

Saba, jitihada za serikali kuzuia mjadala zililenga nini iwapo ilikuwa ni pesa binafasi.
 
Tatizo kinacho kuponza ni kutokuwa na msimamo!
 
Pasco kwanini usiseme CAG ndio wametoa ripoti? kwani PAC wametoa wapi ripoti yao?? Najua billioni 300 ziko mtaani zinanguvu ya kumnunua mtu yeyote mwenye tamaa fisi.
Mkuu Mkwawa, hiki ndicho kilichonisikitisha, kilichonihuzunisha na kunifadhaisha kwa sababu Ripoti ya CAG, haikusema kuwa Fedha za Escrow ni fedha za umma!.

Pasco
 
You are real an enemy of the people not a man of the people
 
Mkuu Mkwawa, hiki ndicho kilichonisikitisha, kilichonihuzunisha na kunifadhaisha kwa sababu Ripoti ya CAG, haikusema kuwa Fedha za Escrow ni fedha za umma!.

Pasco

what ??? let me go again on CAG ripoti
 
kama zimetumika kulipa umeme kwahyo waliogawiwa mfano na maaskofu wana husika vp na umeme? wabunge na mawaziri je?? I mean walifanya kazi gani iliyostahili malipo/mgawao? *uma ww
 
tumekozea ... si wewe ulituthibitishia hapa kuwa ripoti ya PAC haitasomwa?
Nae yuko kwenye payrol, ananufaika na system unadhani atasema nini.......but then he is entitle to his/her opinions.

thanks,
Serengeti
 
muelewa yeyote akielezea ukweli kuhusu escrow anambiwa kapata mgao ukisema uchochezi uongo wanakusapoti nchi wanakubali uongo kuliko ukweli na mara nyingi uongo huwa unavuma
 
....Mkuu wewe uko level zingine kabisa na mungu kakupa uwezo wa pekee sana ila katika hili unataka kujishusha mwenyewe mzee...
 

We nawe Toa ukimeo wako hapa
 

Wacheni upuuzi fanyeni kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…