juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,040
Mkuu Nkwesa Makambo, mpaka hapa uko right 100%, kwa feddha zilipokuwa ndani ya escrow ni "no mans land", "no ones money!". Si mali ya yeyote!, zikiisha kuwa sii mali ya yoyote maana yake sii mali ya IPTL wala sii mali ya serikali! mpaka muafaka upatikane!. Fedha hizo zilikuwa ni fedha za umma zikiwa Tanesco, baada ya kuwa deposited kwenye escrow, sio fedha za Tanesco tena!. Ripoti ya CAG ya ukaguzi wa kawaida wa hesabu za Tanesco, ulionyesha Tanesco wanaihesabu escrow account kama current asset yao, CAG akawaambia no!, kwa sababu hizo fedha wameisha zi expense!. Sasa hapa kwanza tukubaliane fedha za escrow sio fedha chafu!, hazikuibiwa kuingizwa escrow bali zimelipwa !. Jee unakijua ni nini kilichofanyika hadi hizo fedha to change hands from "no mans money to IPTL Money?!). Tanesco walikaa chini na IPTL, waka work out viwango vipya, japo bado vilikuwa juu na Tanesco kuendelea kuvilalamika, lakini walikubali pesa zitoke na bado wana deni kubwa kwa IPTL na kuandaa schedule ya namna ya kulipa. Hivyo fedha zote zilizokuwemo ndani ya escrow hazikutosha kumaliza deni inalodaiwa na mpaka leo, na mpka kesho Tanesco bado inadaiwa!. Hali hiyo ikapelekea fedha zote kwenye escrow kuwa ni mali ya IPTL!. Fedha za shares transfer sio sehemu ya fedha za escrow!, hizi ni fedha zilizopaswa kulipwa na singa singa from his own sorces na sio kosa la jinai, ni kosa la madai, deni lililokwepa linakuwa established linalipwa!.Pasco
Kafanye uchunguzi mkuu,hicho kikao hakikuwa conclusive,hivyo hakiwezi kutumika kama authority ya kutoa pesa ya escrow.
And by the way,hata tukikifanya conclusive,hicho kikao kilifuata taratibu zinazotakiwa ili kutambulika kama kikao chenye status ya kuidhinisha jambo kubwa hivi?
Mnajitoa ufahamu bure lakini ukweli mnaujua,uko wazi tu.
Anyway,time will tell my friend.