Nimesikitishwa na huu ubaguzi na udhalilishaji uliofanywa MwanaCHADEMA. Siasa sio uadui

Nimesikitishwa na huu ubaguzi na udhalilishaji uliofanywa MwanaCHADEMA. Siasa sio uadui

Hapo ni digala wa kokoto, siku akiwa digala wa shaba sijui kiburi chake kitachemka kiasi gani? Mbaya zaidi ni wanafamilia wa viongozi waandamizi wa CDM wakipongezana katika kutenda udhalimu. Mithali 16:5
 
Hapo ni digala wa kokoto, siku akiwa digala wa shaba sijui kiburi chake kitachemka kiasi gani? Mbaya zaidi ni wanafamilia wa viongozi waandamizi wa CDM wakipongezana katika kutenda udhalimu. Mithali 16:5

Mzee hakutumia busara Mimi siwezi kwenda nyumbani kwa ridhiwani na t-shirt ya CHADEMA kufanya kibarua ni uchochezi.
 
Mzee hakutumia busara Mimi siwezi kwenda nyumbani kwa ridhiwani na t-shirt ya CHADEMA kufanya kibarua ni uchochezi.

Vaa viatu vya huyo Mzee inawezekana hana nguo nyengine. Huyu Mcdm angetakiwa amuulize kulikoni na sikumdhalilisha. Je siasa ni uadui hata kama wako wanaofanya siasa kuwa uadui huyo kijana Chacha alitakiwa ashinde hilo kwa kutokufikia kumkunja shati Mzee mwenye umri wa kumzaa.
 
Ukiweka pembeni siasa,yule ni aidha Baba yake au Babu yake.Vijana wa CHADEMA hawana adabu!
 
CCM inapendwa zaidi na wajinga. CHADEMA inaungwa mkono zaidi na wasomi na vijana (TWAWEZA).

Bila shaka wewe utakuwa miongoni mwa wajinga waliotajwa na watafiti. Maana wajinga na vichaa hakuna wanachoweza zaidi ya kutukana.

Vichaa na wendawazimu huwa hawawezi kutoa hoja yoyote ya maana lakini wanaweza kutukana. Ukiona unapenda kutukana, ujue kuna uwezekano mkubwa umekwishapatwa na ugonjwa wa uwendawazimu. Tafuta msaada wa matibabu, japo magonjwa ya akili hayaponi kwa 100%, lakini unaweza kupata unafuu.

Pole sana kwa maradhi yaliyokukumba.
Ni kweli kabisa CHADEMA inapendwa na wasomi ndo maana mitandaoni ina nguvu sana. Ila hao unaowaita wajinga wa CCM ndo ikifika siku ya kupiga kura wanaiadhibu CHADEMA. Badilikeni. Msiwabague watu. Bila kuhakikisha watanzania wote wanajua sera zenu hamtaweza kushika dola. Hakainde Hichilema wa Zambia mwaka jana alikuwa akiwaambia wananchi wasiache kuchukua kanga, tshirts, mashati hata pesa toka chama tawala ila siku ya kupiga kura wasifanye kosa. Ilimsaidia akashinda. Ninyi CHADEMA mnafanya upumbavu mkubwa.
 
Vaa viatu vya huyo Mzee inawezekana hana nguo nyengine. Huyu Mcdm angetakiwa amuulize kulikoni na sikumdhalilisha. Je siasa ni uadui hata kama wako wanaofanya siasa kuwa uadui huyo kijana Chacha alitakiwa ashinde hilo kwa kutokufikia kumkunja shati Mzee mwenye umri wa kumzaa.
Vijana wa CHADEMA wanatakiwa wapate semina kuhusu haya mambo ya siasa. Huyo mzee ni mpiga kura muhimu sana. Watu wa rika hilo ndo huwa wanaiweka CCM madarakani. Cha kushangaza BAVICHA ndo wanawadhalilisha... kusema CHADEMA kinapendwa na wasomi huku kwenye kupiga kura wasomi hawaonekani ni ujinga uliokubuhu.
 
Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.

Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.

CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?

Hakuna haja ya kupeleka siasa kweny nyumba au kaz ya mtu!!
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-124014.png
    Screenshot_20221130-124014.png
    319 KB · Views: 2
Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.

Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.

CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?

Huu Ni uhuni yaani tukianza hivi nadhani Mtaani hakutakalika..

Ila mtoa mada kusema kwamba siasa sio uadui sio.kweli Ni uadui..

Huyo jamaa wa Chadomo angethubutu kuigeuza hiyo tisheti ya c na kuidekia Kama alivyosema angeona Moto huko jela..

Mwisho Chadema hawawezi lazimisha wapendwe Kama hawakubaliki Ni hawakubaliki tuu.
 
Ni kweli kabisa CHADEMA inapendwa na wasomi ndo maana mitandaoni ina nguvu sana. Ila hao unaowaita wajinga wa CCM ndo ikifika siku ya kupiga kura wanaiadhibu CHADEMA. Badilikeni. Msiwabague watu. Bila kuhakikisha watanzania wote wanajua sera zenu hamtaweza kushika dola. Hakainde Hichilema wa Zambia mwaka jana alikuwa akiwaambia wananchi wasiache kuchukua kanga, tshirts, mashati hata pesa toka chama tawala ila siku ya kupiga kura wasifanye kosa. Ilimsaidia akashinda. Ninyi CHADEMA mnafanya upumbavu mkubwa.
Mapolisiccm ndiyo wanashiriki wizi wa kura ili ccm iendelee kutawala
 
Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.

Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.

CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?

CCM TUNAIOGOPA KAMA UKOMA
 
Back
Top Bottom