Nimesikitishwa na huu ubaguzi na udhalilishaji uliofanywa MwanaCHADEMA. Siasa sio uadui

Nimesikitishwa na huu ubaguzi na udhalilishaji uliofanywa MwanaCHADEMA. Siasa sio uadui

Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.

Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.

CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?

Nani kakudanganya kwamba siasa au soka sio uadui?
 
Serikali ya ccm imesababisha vijana wengi kuichukia kutokana na tozo pamoja na ugumu wa maisha.
 
Huyo mzee kafanya nini? Mbona unakuwa hujielewi kwani wale makada si wanajulikana waende huko..

Huyo jamaa wa Chadema kwanza mshamba alivyovaa tu anaonekana mshamba.

Ni mjanja Sana, anapinga chama Cha mafisadi , tozo ,migao ya maji na umeme, mikopo nk
 
Chadema ni wapumbavu sana hawajielewi
CCM inapendwa zaidi na wajinga. CHADEMA inaungwa mkono zaidi na wasomi na vijana (TWAWEZA).

Bila shaka wewe utakuwa miongoni mwa wajinga waliotajwa na watafiti. Maana wajinga na vichaa hakuna wanachoweza zaidi ya kutukana.

Vichaa na wendawazimu huwa hawawezi kutoa hoja yoyote ya maana lakini wanaweza kutukana. Ukiona unapenda kutukana, ujue kuna uwezekano mkubwa umekwishapatwa na ugonjwa wa uwendawazimu. Tafuta msaada wa matibabu, japo magonjwa ya akili hayaponi kwa 100%, lakini unaweza kupata unafuu.

Pole sana kwa maradhi yaliyokukumba.
 
CCM ni waizi ila huyu jamaa alichokifanya ni kitu Cha kipuuzi sana ila ni kawaida ya wakuria asili yao ni ushamba mwingi wakijua kuvuka barabara na kunywa bia huwa wanajiona wajanjaa kinoma yan kumbe ni ma mbanga tu nimekaa Musoma nikawajua vizuri

Punguza dharau na ukabila. Unadharau Sana wakurya na kuwaona hawafai kisa tu jamaa wa CHADEMA kamvua t-shirt huyo mzee?.
 
Kwa unyama ccm mliofanyia wapinzani nchi hii, inatakiwa yatokee machafuko watu walipe kisasi kama wahutu na watusi. Iko siku isiyo na jina hamtaamini macho yenu.

CCM chama Cha kishetani.
 
Wakamfufue Nyerere kwanza wamuombe awape Nchi waiongoze, bila hivyo wasahau kuiongoza hii Nchi

Nikusahihishe kwa Sasa Tanzania Kama nchi inatawaliwa na Wala haiongozwi. Ndio maana wananchi wakilalamika tozo wanaambiwa na serikali wahamie Burundi.
 
Mi mwenyewe kama wewe ni CCM ukija kwangu hupati kazi.
Hicho ni kigezo changu kikubwa zaidi kuhusu dini hapo huwa sina kaubaguzi kabisa lakini ukiwa CCM aisee hata nikikuta unakufa njaa nitakuacha ufe.
Huo ndio ukweli nisifiche.

Umenikumbusha jamaa mmoja alikuwa anaioponda Sana CHADEMA mtandaoni na kuiita majina. Siku moja akaja kuniomba pesa ana shida Sana, nilimtolea nje kimoyo safi.
 
Alipaswa kumheshimu tu kama baba yake! Hii ni ishara ya malezi mabovu kabisa. 🙏🙏🙏

Nadhani mwenye malezi mabovu ni wale wanaopiga watu risasi na kuwapoteza. Sio huyu anayejadiliana kwa maneno.
 
Nikusahihishe kwa Sasa Tanzania Kama nchi inatawaliwa na Wala haiongozwi. Ndio maana wananchi wakilalamika tozo wanaambiwa na serikali wahamie Burundi.
That's true lakini ilianza kwa kuongozwa kabla ya kuongozwa iliyokua ikitawaliwa haikua Tanzania, swali nani alieanza kuiongoza Tanzania? Achana na suala la utawala,
 
Back
Top Bottom