mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,002
- 1,891
Asante mkuu, na mimi nilitaka kumtumia mleta mada hii picha,
Namuona johnthebaptist amebeba jiwe hapo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu, na mimi nilitaka kumtumia mleta mada hii picha,
Alieweka ni James Laizer, sio MboweHuyo ni mtoto wa Heche. Pia James Mbowe ni mtoto wa mmiliki wa CHADEMA
Kwahiyo alichofanya huyo kijana kwako ni sawa?
Wakamfufue Nyerere kwanza wamuombe awape Nchi waiongoze, bila hivyo wasahau kuiongoza hii NchiHawa CHADEMA hata wakipewa nchi,mambo yatakuwa yaleyale ya CCM.
Mbona una akili nzito sana kuelewa mambo rahisi hivyo? Au wewe ni mmoja wa wale wafuasi wa yule Fashisti, mana siyo kwa akili hiziKwahiyo alichofanya huyo kijana kwako ni sawa?
alie weka ni james laizer, sio mbowe
Unamdhalilisha sana Mh. Rais Samia kwa kutumia jina na picha yake huku ukipost mambo ya kipuuzi na kimalaya malaya tu.Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
Ndugu Sagai mbona umekuwa mpuuzi kiasi hiki? Au ndo Mbowe aliwaelekeza muwe mnaingia mitandaoni kutukana?Unamdhalilisha sana Mh. Rais Samia kwa kutumia jina na picha yake huku ukipost mambo ya kipuuzi na kimalaya malaya tu.
Alipaswa kumheshimu tu kama baba yake! Hii ni ishara ya malezi mabovu kabisa. 🙏🙏🙏Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
Wewe ndiye mpumbavu unatumia jina na picha ya Rais ilhali maudhui ya threads na post zako ni ya kimalaya malaya,au mwenyekiti mwenyewe anabariki huu udhalilishaji unaomfanyia? Nakushauri usitumue hiyo picha kwenye avatar yako na hiyo jina badili kwa kulinda heshima ya Mh. Rais. Moderators please take note.Ndugu Sagai mbona umekuwa mpuuzi kiasi hiki? Au ndo Mbowe aliwaelekeza muwe mnaingia mitandaoni kutukana?
Wewe ulishasikia matukio yoyote yasio sawa waliyofanyiwa CHADEMA, au hili ndilo tukio pekee ulilowahi kuona hadi likakufanya ukimbilie hapa kuonyesha unafiki wako ulivyo?Kwahiyo alichofanya huyo kijana kwako ni sawa?
Chama cha tozo! Kweli kabisa. Huyo mzee naye anatakiwa kujitambua. Hata mimi siwezi kuvaa dekio bhana.Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
Unauliza swali, au jibu? Ni sahihi ndiyo. Kwani shida iko wapi?Kwahiyo kilichofanywa kwenye hiyo video ni sahihi??
Kakazia kwenye majina hapo Heche na Mbowe.Udhaifu wa kada moja tena asiye na wadhifa kwenye chama. Ndiyo uifanye msimamo wa chama ?!.