Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Sio sawa, vipi umelaani wanavyofanya CCM ambavyo ni vibaya zaidi?Kwahiyo alichofanya huyo kijana kwako ni sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio sawa, vipi umelaani wanavyofanya CCM ambavyo ni vibaya zaidi?Kwahiyo alichofanya huyo kijana kwako ni sawa?
Udhaifu wa kada moja tena asiye na wadhifa kwenye chama. Ndiyo uifanye msimamo wa chama?!.Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
Halafu wanakuambia siasa siyo uadui
Hayo mazungumzo tuKwahiyo alichofanya huyo kijana kwako ni sawa?
Ni ushamba wa kiwango cha mwisho kabisa ila ndo siasa za bongo zilivyoHii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
CCM ni mataahira kabisa. Wakati wanachadema wakikatwa mapanga na uvccm ulishawahi kusikia viongozi wa CCM wakikemea ushenzi huo. Huyo Mzee wangempasua tu hakuna urafiki wa CCM na Chadema. Na ipo siku tutalipiza kisasi maovu yooooote yaliyofanywa na maccm washenzi wakubwa nyie .Chadema ni wapumbavu sana hawajielewi
KumbeHawa CHADEMA hata wakipewa nchi,mambo yatakuwa yaleyale ya CCM.
Na nyie mnalea upumbavu, washenzi wakubwa nyie.Mbowe analea ujinga
Na bado kila ubaya lazima ulipwe washenzi wakubwa nyieKwahiyo kilichofanywa kwenye hiyo video ni sahihi??
Hebu fananisha na ile ya akina Rage wakimpiga matofali kada wa chadema mbele ya polisi, na hawakuchukuliwa hatua yoyote.Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
Kwani ndiyo kudhalilishwa hapo wanavyofanyiwa wanachadema na CCM na police ulishawahi kuyakemeaHii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
Huyo ni mtoto wa Heche. Pia James Mbowe ni mtoto wa mmiliki wa CHADEMAUdhaifu wa kada moja tena asiye na wadhifa kwenye chama. Ndiyo uifanye msimamo wa chama ?!.
Wewe na mamayenu huko CCM ni wapumbavu majizi ya kura.Chadema ni wapumbavu sana hawajielewi
Huyo mzee kafanya nini? Mbona unakuwa hujielewi kwani wale makada si wanajulikana waende huko..Siasa za kifedhuri na ujeuri mnaanza wenyewe ccm , chadema wamepitia mengi sana inabidi mtulie tu
Ujinga anaulea mamayenu Samia ndio maana mmekuwa majingamajinga ombaomba kwa wahisani wakiwanyima misaada mnawaita mabeberu.Mbowe analea ujinga
CCM ni wajinga sanaHawa CHADEMA hata wakipewa nchi,mambo yatakuwa yaleyale ya CCM.