Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
CCM watu wake ni wasitahimilivu
Sijui ni video ya lin lkn huo ni ukosefu WA uvumilivu WA kisiasa
Kwanini mnataka kuhalalisha hicho kitendo kiovu alichafanyiwa huyo mzee?
What ever the case two evils doesn't make it right, if all parties are bad basi hatuna chaguo lililosahihii..
Kwahiyo na ninyi mnaiga uovu?
Hapo ni digala wa kokoto, siku akiwa digala wa shaba sijui kiburi chake kitachemka kiasi gani? Mbaya zaidi ni wanafamilia wa viongozi waandamizi wa CDM wakipongezana katika kutenda udhalimu. Mithali 16:5
Mzee hakutumia busara Mimi siwezi kwenda nyumbani kwa ridhiwani na t-shirt ya CHADEMA kufanya kibarua ni uchochezi.
Ni kweli kabisa CHADEMA inapendwa na wasomi ndo maana mitandaoni ina nguvu sana. Ila hao unaowaita wajinga wa CCM ndo ikifika siku ya kupiga kura wanaiadhibu CHADEMA. Badilikeni. Msiwabague watu. Bila kuhakikisha watanzania wote wanajua sera zenu hamtaweza kushika dola. Hakainde Hichilema wa Zambia mwaka jana alikuwa akiwaambia wananchi wasiache kuchukua kanga, tshirts, mashati hata pesa toka chama tawala ila siku ya kupiga kura wasifanye kosa. Ilimsaidia akashinda. Ninyi CHADEMA mnafanya upumbavu mkubwa.CCM inapendwa zaidi na wajinga. CHADEMA inaungwa mkono zaidi na wasomi na vijana (TWAWEZA).
Bila shaka wewe utakuwa miongoni mwa wajinga waliotajwa na watafiti. Maana wajinga na vichaa hakuna wanachoweza zaidi ya kutukana.
Vichaa na wendawazimu huwa hawawezi kutoa hoja yoyote ya maana lakini wanaweza kutukana. Ukiona unapenda kutukana, ujue kuna uwezekano mkubwa umekwishapatwa na ugonjwa wa uwendawazimu. Tafuta msaada wa matibabu, japo magonjwa ya akili hayaponi kwa 100%, lakini unaweza kupata unafuu.
Pole sana kwa maradhi yaliyokukumba.
Vijana wa CHADEMA wanatakiwa wapate semina kuhusu haya mambo ya siasa. Huyo mzee ni mpiga kura muhimu sana. Watu wa rika hilo ndo huwa wanaiweka CCM madarakani. Cha kushangaza BAVICHA ndo wanawadhalilisha... kusema CHADEMA kinapendwa na wasomi huku kwenye kupiga kura wasomi hawaonekani ni ujinga uliokubuhu.Vaa viatu vya huyo Mzee inawezekana hana nguo nyengine. Huyu Mcdm angetakiwa amuulize kulikoni na sikumdhalilisha. Je siasa ni uadui hata kama wako wanaofanya siasa kuwa uadui huyo kijana Chacha alitakiwa ashinde hilo kwa kutokufikia kumkunja shati Mzee mwenye umri wa kumzaa.
Umpige wa watu atakuwa na akili timamu kweli?Ni mjanja Sana, anapinga chama Cha mafisadi , tozo ,migao ya maji na umeme, mikopo nk
Hakuna haja ya kupeleka siasa kweny nyumba au kaz ya mtu!!Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
Hakupi jibu sahihi!! Tupo hapa 🤣🤣🤣Sio sawa, vipi umelaani wanavyofanya CCM ambavyo ni vibaya zaidi?
Hakuna usahihi wa uovo! But ukiua kwa upanga nawe utauawa kwa upanga, ni vitabu vya dini vinasema!!Kwahiyo kilichofanywa kwenye hiyo video ni sahihi??
Huu Ni uhuni yaani tukianza hivi nadhani Mtaani hakutakalika..Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
Fukara wa Mali Hadi akili 😜😜Chadema utafikiri jamaa katoa ajira ya ukandarasi kumbe mzee anaponda kokoto tu
Mapolisiccm ndiyo wanashiriki wizi wa kura ili ccm iendelee kutawalaNi kweli kabisa CHADEMA inapendwa na wasomi ndo maana mitandaoni ina nguvu sana. Ila hao unaowaita wajinga wa CCM ndo ikifika siku ya kupiga kura wanaiadhibu CHADEMA. Badilikeni. Msiwabague watu. Bila kuhakikisha watanzania wote wanajua sera zenu hamtaweza kushika dola. Hakainde Hichilema wa Zambia mwaka jana alikuwa akiwaambia wananchi wasiache kuchukua kanga, tshirts, mashati hata pesa toka chama tawala ila siku ya kupiga kura wasifanye kosa. Ilimsaidia akashinda. Ninyi CHADEMA mnafanya upumbavu mkubwa.
CCM TUNAIOGOPA KAMA UKOMAHii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila kujua kwamba wazee kama hao ndo wapiga kura muhimu.
Natumaini uongozi wa CHADEMA utakemea huu ujinga uliofanywa na hawa vijana. Ikumbukwe vibarua wengi kwenye miradi mbalimbali ni vijana ambao wengi wao huipenda CHADEMA na hata kuvaa sare zao. Lakini huwa ni ngumu sana kuona wakitendewa vitendo vya hovyo kama alivyofanya Chacha.
CHADEMA kama chama cha kudumu cha upinzani lazima mhakikishe mnatuonyesha kwa vitendo mambo ambayo mmekuwa mkihubiri kwa muda mrefu. Mmekuwa mkipinga ubaguzi ila kupitia hii video mtajikana?
Inasikitisha sana