Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Hapa nisha ibiwa kabisa,, jana nimembana sana kuhusu mzunguko wake akawa ananiletea hesabu za hovyo, nikamwambia kama kweli una mimba ama mimba ni yangu ama si yangu itajulikana tu, nikamwambia subili miezi 2 tukapime maana mchawi ni "Ultra sound " nashangaa leo asubuhi saa moja mapeema inaingia sms kuwa nimsamehe hana mimba alikuwa ananipima, nimemuulza kwanini ulikuw unanipima anasema kawaida tu,, nimemsii kama ameamua kusema hivyo labda me nisimwache, nimemsii asitoe mimba kama kweli anayo.
Mbona maigizo sasa? Ebu mucall uje umpime mwenyewe uhakikishe asije kuwa anataka kutoa
 
Sasa uwakika gan unaoutaka wakati ulimwaga ndani? Mimba inaweza tungwa na single sperm sasa kama ww uliona zimetoka usijipe uwakika kuwa zilitoka zote. Lea mimba akiisha jifungua ukapime DNA sasa
Pamoja sana mkuu
 
Wewe bado dogo, hujawa mwanaume bado. Unachotuangaisha hapa ni wivu wako wa kitoto. Mimba yako hiyo. Labda utuambie huna uwezo wa kutungisha mimba.

Jaman kazi iendelee
 
Mtege, muulize kabla ya hapo alianza cycle yake tarehe ngapi, lakini siku nyingine ni muhimu sana kujua mzunguko wa mpenzi au mke wako.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Asante sana, akikwepa kwepa ntajua tu, lakini kwa hili la leo kunitumia ujumbe kuwa hana mimba alikuwa akinitega tu, ndo nazidi kutomwamini kabisa kumbe anaweza kunidanganya hata tukiwa ndoani
 
Wewe bado dogo, hujawa mwanaume bado. Unachotuangaisha hapa ni wivu wako wa kitoto. Mimba yako hiyo. Labda utuambie huna uwezo wa kutungisha mimba.

Jaman kazi iendelee
Kwa hiyo mkuu unaamua kunichomesha?
 
Sawa mkuu ntampa moyo niwe nae asije chkua maamzi tofauti
Kabisa boss maana akichukua maamuzi yasiyo sahihi ni wewe mtuhumiwa wa kwanza kwahiyo maintain calmness wakati huu mpaka ajifungue.
 
kabisa boss maana akichukua maamuzi yasiyo sahihi ni wewe mtuhumiwa wa kwanza kwahiyo maintain calmness wakati huu mpaka ajifungue
Sawa mkuu, niulee tu uja uzito?
 
Habari za Jumapili njema wapendwa, sifa zote apewe Mungu muumba mbingu na nchi. Amina.

Soma kwa makini kuna fundisho hapa

Jamani nimekuja humu ndani kupata suruhisho la masaibu yanayo nisumbua na kunipa stress zaidi katika wakati huu.

Hii changamoto naona inanilemea tofauti na kupata msaada wenu ntaishia pabaya.

Maada:

Me nimekuwepo na girl friend ambae tumezoeana takriban mwezi mmoja, tumezoeana siku hadi siku baadae mwafaka ukawa baadaye tuoane.

Amekuwa akija kunitembelea kama kawaida geto,, lakini tokana na nguvu ya shetani kutuvaa tulijikuta tumeanguka.

Ilikuwa tarehe 24 ya mwezi wa 4 usiku ndo tulishiriki ngono lakini pia katika kushiriki binti aliniambia nikanunue soda ya Coca Cola kwa ajili ya kutumia kama kinga.

Basi sikuwa na hiana nikafata baada ya kunikazia kuwa yupo kwenye siku za hatari yasije tokea mengine ya mimba.

Nilipoileta basi tukaendelea na mambo mengine baada ya kumaliza alimimina na kuanza kunywa taratibu,,nikamuuliza kazi yake, anadai anapokunywa zile shahawa zinatelemka zenyewe tu.

Basi na kweli zikawa zinatelemka anajifuta.

Baada ya siku hiyo kupita tukakutana tena tarehe 28 mwezi 4 huo huo mchana.

Baada ya kumaliza, siku hiyo akaanza kudai tumbo linamuuma,nikamwambia itakuwa hali tu ya tumbo,, siku ya pili hivyo hivyo basi ikafika tarehe 6 ya mwezi wa 5 akadai haoni siku zake na siku ya pili yake hakuaona ambayo ni tarehe 7,mpaka sasa anasema yupo dry.

Nikamsihi itakuwa mabadiliko ya hali ya hewa lakini ananambia hii itakuwa mimba,, wakati huo sipo nae maana yupo kwao alisafiri hiyo tarehe 6 tokana na changamoto alizokuwa akipata alipo kuwa anaishi.

Mimi nikamsisitiza kapime tuone tatizo nini(yupo kwao mda huu) anasema ntapima tu lakini itakuwa mimba.

Nimemtolea uvivu nikamtega maswali, alidai breed aliingia tarehe 6 mwezi wa nne akatoka tarehe 9 na mimi nilikutana nae tarehe 24 kwa kinga ya soda,tarehe 28 bila kinga,.

Nimefatilia kuhusu mzunguko maana me si kweli alikuwa kwenye hatari ya kupata mimba, na nimemhusisha imekuwa kesi,nikamwambia aniambie ukweli kama hakuwa na mahusiano huko nyuma kabla yangu lakini kakana.kalia sana eti hakutegemea kama ntamwambia mambo kama hayo.

Mara mimi najua hii mimba niyako hata ukikataa,, lakini mimi moyo wangu hauna amani kabisa juu ya swala hili,, nahisi kubambikiwa mzigo usiyo kuwa wangu.

Ilikuwa imebaki kidogo tu tuanze maisha ya ndoa maana wazazi taarifa wanazo kuwa runataka kuoana,,

lakini amani moyoni mwangu haipo nahisi harufu ya usaliti imepita.

Nisiwachoshe sana wakuu swali langu.

Kwa wataalamu wa mzunguko wa hedhi hasa wanawake mnisaidie je nikweli huu mzigo ni wangu?

Maana mimi nikiangalia siku zote tulizo shiriki siyo siku za kushika mimba kufatana na huo mzunguko wake.

Asije ikawa mimba alikuwa nayo halafu kaja kutegesha kwangu.

Nikomee hapo wakuu, msaada wenu ni mhimu sana.

Asanteni.

Pole sana.

1. Kwanza ujue kutofautisha kati ya "manii"(semen) na "shahawa"(sperm).
2. Sikuwahi kujua soda inaweza kuzuia sperm zisifikie yai na kurutubisha.
3. Kuna wanawake wanaweza kuwa na mzunguko wa hedhi usio wa kawaida (28 days). Kwa hivyo ni vigumu kutoa hukumu mapema.
4. Uwezekano wa kubambikiziwa upo. Ila kwa namna alivyokuonya kabla, chances ni ndogo.
5. Unaweza pia ukawekewa mtego wa kupigwa pesa hapo. Mimba labda hana. Ila anakwambia ipo na atakuja na wazo la kuitoa....pesa hapo itahitajika.
6. Nakushauri kabla ya kufanya chochote, mtafute kwanza mkapime mkiwa wote (maabara) ili kuwa na uhakika kama mimba ipo ama la.
 
Pole sana.

1. Kwanza ujue kutofautisha kati ya "manii"(semen) na "shahawa"(sperm).
2. Sikuwahi kujua soda inaweza kuzuia sperm zisifikie yai na kurutubisha.
3. Kuna wanawake wanaweza kuwa na mzunguko wa hedhi usio wa kawaida (28 days). Kwa hivyo ni vigumu kutoa hukumu mapema.
4. Uwezekano wa kubambikiziwa upo. Ila kwa namna alivyokuonya kabla, chances ni ndogo.
5. Unaweza pia ukawekewa mtego wa kupigwa pesa hapo. Mimba labda hana. Ila anakwambia ipo na atakuja na wazo la kuitoa....pesa hapo itahitajika.
6. Nakushauri kabla ya kufanya chochote, mtafute kwanza mkapime mkiwa wote (maabara) ili kuwa na uhakika kama mimba ipo ama la.
Sawa mkuu nimekuelewa sana,, lakini mkuu baada ya mimi kumkazia jana na kumwambia kuwa akae miezi miwili tukapime umri wa mimba, alinikubalia lakini leo ananiambia nimsamehe kwa yale aliyo niambia kuwa ana mimba ,, leo anasema hana mimba alikuwa ananipima,,

Mkuu mtu kama huyu utamfanyeje?!!
Naona kama anacheza na akili yangu mkuu
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Back
Top Bottom