Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

[emoji16][emoji16][emoji16] naunga hoja, mwanaume kupambana..alivyokuwa anakatika huku na huko alijua anatafuta almasi?
Umasema tuishi nao kwa Akili kumbe we ndo zezeta huna akili (samahani lakin) kwaio ulivyoambiwa Soda ya coca inazuia mimba nawee ukaamini kwa asilimia zote?? Lea mtoto nmkuu umevuna ulichopata BAADA YA STAREHE NI MAUMIVU)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…