Sawa mkuu nimekuelewa,, maana nimekaa kwa stress takriban siku tatu inanisumbua hii ishu.
Ila dunia ina mambo ya kipuuzi sana, yaani hii tarehe siku hio mchana nilikua nimebanwa kinyama na wale mbuzi pori kwa maswali hadi natokwa jasho kumbe kuna mtu anatia mimba huko! DahBaada ya siku hiyo kupita tukakutana tena tarehe 28 mwezi 4 huo huo mchana.
Kama nakuona dogo alivyokuwa anakimbilia dukani kwa Mangi kununua Coca ya baridi, yaaani sehemu ya dakika tano anaona kama vile mwaka, wallah hata angekutana na Simba angemvamia tu muda, yaani akili yote imehamia kwingine kabisaHapo kwenye cocacola kuzuia mimba ndio kituko yani waafrika wengi ndio maana ni wepesi kuamini ushirikina.
Hakika mkuu unayo sema nilienda kasi ya 4G na bahati nzuri nikakuta maduka hayajafungwa.Kama nakuona dogo alivyokuwa anakimbilia dukani kwa Mangi kununua Coca ya baridi, yaaani sehemu ya dakika tano anaona kama vile mwaka, wallah hata angekutana na Simba angemvamia tu muda, yaani akili yote imehamia kwingine kabisa
Kubali tu hayo matokeo, usikatae. Mfariji, huyo kiumbe ni wa kwako na msitoe hio mimba kamweHakika mkuu unayo sema nilienda kasi ya 4G na bahati nzuri nikakuta maduka hayajafungwa.
Basi na wee kaa kwa kutulia [emoji23][emoji23][emoji23].Mimba yenyewe imetulia tu mkuu.
Wakoloni weusiMbuzi pori gani mkuu.
Kwa kipi sasa?Nasumbuka saana
Kam unaamin kafanye Ultra sound itaonesha GA(gestation age) then ucompare na mda ulio mlala but kama Ivi kibaharia tusubiri azaliwe tuta confirme kwa DNA. Jipange kwanza uwahi kuoa.Mimba yenyewe imetulia tu mkuu.
HAhahahahaAs long umekula dry, na mzunguko wake haujui hapo pagumu kujitoa.
Acha mabaharia wake wakupe mbinu manake hawashindwagi kitu.
Binafsi kupitia sredi zako nimeona kwamba wewe bado mdogo na ni 'kadinyaji sana' ila maturity na mindset ya kuingia kwenye ndoa bado bado.
Kama uamin mimba si akoKam unaamin kafanye Ultra sound itaonesha GA(gestation age) then ucompare na mda ulio mlala but kama Ivi kibaharia tusubiri azaliwe tuta confirme kwa DNA. Jipange kwanza uwahi kuoa.
Another single mother in town
Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app