Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Hapo kwenye cocacola kuzuia mimba ndio kituko yani waafrika wengi ndio maana ni wepesi kuamini ushirikina.
Kama nakuona dogo alivyokuwa anakimbilia dukani kwa Mangi kununua Coca ya baridi, yaaani sehemu ya dakika tano anaona kama vile mwaka, wallah hata angekutana na Simba angemvamia tu muda, yaani akili yote imehamia kwingine kabisa
 
Kama nakuona dogo alivyokuwa anakimbilia dukani kwa Mangi kununua Coca ya baridi, yaaani sehemu ya dakika tano anaona kama vile mwaka, wallah hata angekutana na Simba angemvamia tu muda, yaani akili yote imehamia kwingine kabisa
Hakika mkuu unayo sema nilienda kasi ya 4G na bahati nzuri nikakuta maduka hayajafungwa.
 
Fanya kumpigia simu na umwambie kuwa "umekubali kuwa baba mtoto wake "na upo naye bega Kwa bega.
Daaah lakini kwa jambo usilo nauhakika nalo kuamini ni ngumu sana mkuu.
 
HAhahahaha
Hapo kwenye kadinyaji Sasa

Umenikumbusha mbali sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…