Nimesoma kitabu cha Evarist Chahali na kukatishwa tamaa

Nimesoma kitabu cha Evarist Chahali na kukatishwa tamaa

Binafsi nimenunua na always kuna mengi ya kujifunza. Inategemea uelewa wa mtu na uwezo wa kusoma katikati ya mistari

Hapo umesema kweli.Kwangu Mimi kama mwanasheria na mfuatiliaji wa kina kwa mambo yanayoendelea nchini na duniani,kitabu hicho kimejaa fununu na taarifa za kuokoteza zaidi.
 
Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.

Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.

Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.

Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.

Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Chahali bana, huwa simwelewi alisomea wapi intelligence, Magufuli anapendwa na mambumbumbu wachache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.

Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.

Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.

Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.

Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Hao wananchi wanaompenda Mobutu wako wapi, angeacha uchaguzi wa serikali za mitaa akaapata aibu ya karne ambavyo angeangukia pua. Endeleeni kumdanganya na kujifurahusha kwa matumaini hewa.
 
Yaani unapoteza pesa yako kununua kitabu kilichoandikwa na Evarist Chahali ili upate maarifa zaidi?

Mtu anayejielewa na kumuelewa Chahali atanunua kitabu chake ili kujua ni kiwango gani cha ujinga alioweka ndani ya kitabu chake!

Ulichofanya hakina tofauti na mtu kichaa aje achukue nguo zako wakati unaoga bafuni halafu uanze kumkimbiza ukiwa uchi na baadaye useme, nilidhani nitamkamata!

Naomba ujue kuwa ''dish'' la Chahali limeyumba!
Mobutu seseseko kuku wa zabanga tanganyika.
 
Kitu cha kwanza unachotakiwa kupima kwenye merit ya kitabu kabla yakupoteza muda wako angalia nani publisher na reputation ya kampuni.

Ndio maana mzee Mohammed Said huwa anajitapa chake kimechapwa na Oxford University Press. That is a big endorsement ina maana wanakubali research na facts za kitabu.

Hakuna publisher ata back kitabu ambacho hakina merit ya subject matter, even fiction book has to resemble facts.

The mere fact kitabu kakichapa mwenyewe Chahali na kampuni yake ya ‘AdelPhil Consultancy’ tena ni zile kampuni ambazo waafrika wanafungua kuombea hela za kusaidia afrika kwa wazungu. Ina maana humo ndani ya kitabu utakuta upuuzi mtupu kumejaa opinion tu and nothing of substantiation facts.

Kama mtu ana muda wa kupoteza anaweza pata bure tu kitabu chenyewe

 
Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.

Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.

Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.

Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.

Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Kuna mwanaccm anaweza kusoma kitabu akaelewa kweli, ccm kazi yenu ni kusifu na kuabudu
 
Kitu cha kwanza unachotakiwa kupima kwenye merit ya kitabu kabla yakupoteza muda wako angalia nani publisher na reputation ya kampuni.

Ndio maana mzee Mohammed Said huwa anajitapa chake kimechapwa na Oxford University Press. That is a big endorsement ina maana wanakubali research na facts za kitabu.

Hakuna publisher ata back kitabu ambacho hakina merit ya subject matter, even fiction book has to resemble facts.

The mere fact kitabu kakichapa mwenyewe Chahali na kampuni yake ya ‘AdelPhil Consultancy’ tena ni zile kampuni ambazo waafrika wanafungua kuombea hela za kusaidia afrika kwa wazungu. Ina maana humo ndani ya kitabu utakuta upuuzi mtupu kumejaa opinion tu and nothing of substantiation facts.

Kama mtu ana muda wa kupoteza anaweza pata bure tu kitabu chenyewe

Wabongo tu wavivu wa kusoma hadi kinyaa. Kinachozungumziwa sio hicho ulichoweka.
Yaani una comment kwenye kitu tofauti na mada.
 
Hao wananchi wanaompenda Mobutu wako wapi, angeacha uchaguzi wa serikali za mitaa akaapata aibu ya karne ambavyo angeangukia pua. Endeleeni kumdanganya na kujifurahusha kwa matumaini hewa.
Kuna Report moja ilitoka ya TWAWEZA NA NYINGINE KUTOKA KWENYE VYA INTELEJENSIA KUWA JPM AMESHUKA SANA % ZA USHAWISHI KUTOKA 89% KWA MWAKA 2016 HADI 48% KWA MWAKA 2018 ...HII NDO INAMFANYA JPM ATUMIE MABAVU KUKUBARIKA ...JAPO % KUBWA HAKUBARIKI...KUTHIBITISHA HILO AGOMBEE PEKE YAKE 2020 HALAFU TUPIGE KURA YA NDOA NA HAPANA.
 
Back
Top Bottom